Hivi wenzangu huyu ‘Super Power’ Urusi mnamwelewa?

Hivi wenzangu huyu ‘Super Power’ Urusi mnamwelewa?

Mrengwa wa kulia

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,091
Reaction score
3,695
Super pawa la Kibisa. linapelekeshwa
Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu.

Wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua.

Walitegemea Ukraine itaweka nguvu zote pale Donbass na kuacha sehemu kubwa ya Ukraine au kyiv haina Ulinzi wa kutosha. Mayokeo yake wamefail.

Wenzao hadi leo wanapigana kwa majavelin tu. Hawana strong air defence wala midege sana sana mizinga ya kisoviet.

Eti wanapewa misaada na zaid ya nchi 40 waulize misaada gani?
jibu: Javeline na vifaru. na hivi karibuni HIMARS za Kilomita 40!!!!!

So unamaanisha silaha zote za Russia znapambana na hvi visilaha visivo kua hata na jina.

Ukraine ipo Naked maana ilikuwepo Toka USSR na silaha za USSR Rusia inajua zinapo hifadhiwa achilia mbali kambi za kijeshi. na mtu unajua zelensky anaish ikulu. Maliza mchezo basi. wewe si una hypersonic Intercontinental Missaels wewe.

Matokeo yake unafumbata mikombora usijue unashambulia wapi.

Sipati picha siku zikija yale madude ya Nato.

Zikija F-35 mbili tu zikipenya pale russia kutakua na cremlin tena kweli?

ikiwa helicopta mbili za ukraine zinaingia russia na kutoka utafkir nchi haina Su3000.

Supa pawa anashambuliwa kwa Drones. Seriously? drone za Millardayo zinasumbua front line balaa.

Shame on you Russia. Russia umenivunja Moyo.
 
super pawa la Kibisa.
linapelekeshwa
Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu.
wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua.
walitegemea Ukraine itaweka nguvu zote pale Donbass na kuacha sehemu kubwa ya Ukraine au kyiv haina Ulinzi wa kutosha. Mayokeo yake wamefail. wenzao hadi leo wanapigana kwa majavelin tu. hawana strong air defence wala midege sana sana mizinga ya kisoviet.

etbwanapewa misaada na zaid ya nchi 40
waulize misaada gani?
jibu: Javeline na vifaru.
so unamaanisha silaha zote za russia znapambana na hvi visilaha visivo kua hata na jina.

ukraine ipo Naked maana ilikuwepo Toka USSR na silaha za USSR Rusia inajua zinapo hifadhiwa achilia mbali kambi za kijeshi. na mtu unajua zelensky anaish ikulu. Maliza mchezo basi. wewe si una hypersonic Intercontinental Missaels wewe.

matokeo yake unafumbata mikombora usijue unashambulia wapi.

Sipati picha siku zikija yale madude ya Nato
zikija F-35 mbili tu zikipenya pale russia kutakua na cremlin tena kweli?
ikiwa helicopta mbili za ukraine zinaingia russia na kutoka utafkir nchi haina Su3000.
supapawa anashambuliwa kwa Drones.
seriously?

shame on you Russia
Russia umenivunja Moyo.
Super power la kibisa kweli ujakosea.
 
super pawa la Kibisa.
linapelekeshwa
Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu.
wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua.
walitegemea Ukraine itaweka nguvu zote pale Donbass na kuacha sehemu kubwa ya Ukraine au kyiv haina Ulinzi wa kutosha. Mayokeo yake wamefail. wenzao hadi leo wanapigana kwa majavelin tu. hawana strong air defence wala midege sana sana mizinga ya kisoviet.

etbwanapewa misaada na zaid ya nchi 40
waulize misaada gani?
jibu: Javeline na vifaru.
so unamaanisha silaha zote za russia znapambana na hvi visilaha visivo kua hata na jina.

ukraine ipo Naked maana ilikuwepo Toka USSR na silaha za USSR Rusia inajua zinapo hifadhiwa achilia mbali kambi za kijeshi. na mtu unajua zelensky anaish ikulu. Maliza mchezo basi. wewe si una hypersonic Intercontinental Missaels wewe.

matokeo yake unafumbata mikombora usijue unashambulia wapi.

Sipati picha siku zikija yale madude ya Nato
zikija F-35 mbili tu zikipenya pale russia kutakua na cremlin tena kweli?
ikiwa helicopta mbili za ukraine zinaingia russia na kutoka utafkir nchi haina Su3000.
supapawa anashambuliwa kwa Drones.
seriously?

shame on you Russia
Russia umenivunja Moyo.
Hivi Russia nao super power!!!? ,unatukosea adabu aisee
 
Russia full brain anampiga Ukraine tartib bila yeye kuathirika Wala kuchoka ,bse
1. Anatumia zaidi oldest USSR military equips

2. Anauza gesi,mafuta,mazao,mbolea,silaha kwa faida kubwa kuliko kwa rubble

3. Anatumia zaidi silaha anazoteka Ukraine za NATO na USA

4. Anaingiza pesa mingi kwa maeneo aliyoteka Ukraine strategically kachukua maeneo ya viwanda vikubwa, bandari zote karibia eneo lote karibia na mpaka wake analicontrol

5. Alijiandaa na hii Vita na vita nyinginezo for long time of past decades kwa. Silaha, jeshi, chakula etc

6. Ana nuclear warhead nyingi na kubwa kuliko Taifa lolote duniani.

7. Anga la Russia ukiondoa S-500-600 ambayo nj mifumo Bora kuliko mifumo yote ya ulinzi wa anga duniani, wameadd nuclear ktk mifumo hiyo ya anga, kiasi ukimuattach russia mifumo inauwezo was kuditect na kulipuua Auto nuke.

8. Russia ana eneo la kilometer za mraba 17million (USA+China )
 
super pawa la Kibisa.
linapelekeshwa
Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu.
wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua.
walitegemea Ukraine itaweka nguvu zote pale Donbass na kuacha sehemu kubwa ya Ukraine au kyiv haina Ulinzi wa kutosha. Mayokeo yake wamefail. wenzao hadi leo wanapigana kwa majavelin tu. hawana strong air defence wala midege sana sana mizinga ya kisoviet.

etbwanapewa misaada na zaid ya nchi 40
waulize misaada gani?
jibu: Javeline na vifaru.
so unamaanisha silaha zote za russia znapambana na hvi visilaha visivo kua hata na jina.

ukraine ipo Naked maana ilikuwepo Toka USSR na silaha za USSR Rusia inajua zinapo hifadhiwa achilia mbali kambi za kijeshi. na mtu unajua zelensky anaish ikulu. Maliza mchezo basi. wewe si una hypersonic Intercontinental Missaels wewe.

matokeo yake unafumbata mikombora usijue unashambulia wapi.

Sipati picha siku zikija yale madude ya Nato
zikija F-35 mbili tu zikipenya pale russia kutakua na cremlin tena kweli?
ikiwa helicopta mbili za ukraine zinaingia russia na kutoka utafkir nchi haina Su3000.
supapawa anashambuliwa kwa Drones.
seriously?

shame on you Russia
Russia umenivunja Moyo.
Sawa ,ila hata kyv tunaenda kuichukua kama kuokota dodo chini ya mwarobaini😆😆😆
 
Wewe una fikiri US na NATO wana furahia ndugu yao Ukraine kuuliwa kama kuku kule Butcha?, ukweli ni kwamba US na NATO zina ogopa maumivu watakayo pata kutoka kwa Urusi, wewe unafikiri ile Urusi ingekuwa Syria sasa hivi ingekuwaje wale NATO wangekuwa wamesha mchapa
 
Russia ni masikini mjeuri na 'supa-pawa wa makaratasi'....ni nchi inayoendeshwa kwa uongo na propaganda nyingi ili kujikweza kwa walimwengu.
Russia angekuwa Iraq muda mrefu ameshapigwa na NATO, ila ule mziki NATO anaishia kulaani na kupeleka silaha, maana maumivu ambayo watapata wakiua askari wa Russia ni afadhali Ukraine wote wafe
 
Kwani hizi ni habari za kweli au maoni ya mtu maana nashangaaga utakuta mtu anakurupuka anaanza kuiponda NATO & USA na mwingine pia anaiponda RUSSIA.

Ukijakuchunguza hizi habari wanazipata wapi ukienda bbc , Dw, Voa, rfi, unakuta hakuna habari kama hizo nabaki kuamini kwamba mungu kutupa Lana ya sisi kuwa watumwa kwa wazungu hakukosea. Watanzania wezangu balansini shobo zenu mtu mweupe sio rafiki kwa mtu mweusi tujadilini mama (raisi wetu) anakwama wapi kuzibiti mfumuko wa bei wa bidhaa.
 
Umejaza pumba na ushabiki, eti javelin tuu wakati kamepewa silaha mpaka watoaji hawawezi kuzireplace in near future, nchi 31 zimetoa silaha we unataja 2 pekee,shame upon you unalisha wanajamvi pumba ili kujiliwaza.
super pawa la Kibisa.
linapelekeshwa
Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu.
wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua.
walitegemea Ukraine itaweka nguvu zote pale Donbass na kuacha sehemu kubwa ya Ukraine au kyiv haina Ulinzi wa kutosha. Mayokeo yake wamefail. wenzao hadi leo wanapigana kwa majavelin tu. hawana strong air defence wala midege sana sana mizinga ya kisoviet.

etbwanapewa misaada na zaid ya nchi 40
waulize misaada gani?
jibu: Javeline na vifaru.
so unamaanisha silaha zote za russia znapambana na hvi visilaha visivo kua hata na jina.

ukraine ipo Naked maana ilikuwepo Toka USSR na silaha za USSR Rusia inajua zinapo hifadhiwa achilia mbali kambi za kijeshi. na mtu unajua zelensky anaish ikulu. Maliza mchezo basi. wewe si una hypersonic Intercontinental Missaels wewe.

matokeo yake unafumbata mikombora usijue unashambulia wapi.

Sipati picha siku zikija yale madude ya Nato
zikija F-35 mbili tu zikipenya pale russia kutakua na cremlin tena kweli?
ikiwa helicopta mbili za ukraine zinaingia russia na kutoka utafkir nchi haina Su3000.
supapawa anashambuliwa kwa Drones.
seriously?

shame on you Russia
Russia umenivunja Moyo.
 

Attachments

  • Screenshot_20220625-235238.jpg
    Screenshot_20220625-235238.jpg
    43.8 KB · Views: 7
Kwani hizi ni habari za kweli au maoni ya mtu maana nashangaaga utakuta mtu anakurupuka anaanza kuiponda NATO & USA na mwingine pia anaiponda RUSSIA . Ukijakuchunguza hizi habari wanazipata wapi ukienda bbc , Dw, Voa, rfi, unakuta hakuna habari kama hizo nabaki kuamini kwamba mungu kutupa Lana ya sisi kuwa watumwa kwa wazungu hakukosea. Watanzania wezangu balansini shobo zenu mtu mweupe sio rafiki kwa mtu mweusi tujadilini mama (raisi wetu ) anakwama wapi kuzibiti mfumuko wa bei wa bidhaa
Unafikili hivyo vyanzo vya habari ulivovitaja hawajui nin kinaendelea?

Hii game haipo upande wao washapigwa k.o. so usitarajie chochote kutoka kwao @siasamakini Instagram anazo habari zote na zinaaminika
 
Back
Top Bottom