Russia full brain anampiga Ukraine tartib bila yeye kuathirika Wala kuchoka ,bse
1. Anatumia zaidi oldest USSR military equips
2.Anauza gesi,mafuta,mazao,mbolea,silaha kwa faida kubwa kuliko kwa rubble
3.Anatumia zaidi silaha anazoteka Ukraine za NATO na USA
4. Anaingiza pesa mingi kwa maeneo aliyoteka Ukraine strategically kachukua maeneo ya viwanda vikubwa, bandari zote karibia eneo lote karibia na mpaka wake analicontrol
5.Alijiandaa na hii Vita na vita nyinginezo for long time of past decades kwa. Silaha, jeshi, chakula etc
6. Ana nuclear warhead nyingi na kubwa kuliko Taifa lolote duniani.
7.Anga la Russia ukiondoa S-500-600 ambayo nj mifumo Bora kuliko mifumo yote ya ulinzi wa anga duniani, wameadd nuclear ktk mifumo hiyo ya anga,kiasi ukimuattach russia mifumo inauwezo was kuditect na kulipuua Auto nuke,
8.Russia ana eneo la kilometer za mraba 17million (USA+China )