NATO wanaiweza Urusi tu kwenye kutatuliwa marinda. Kwani 90% ya wanato na mashabiki zao hawana marinda
Si useme tu ukweli kuwa wanamuogopa[emoji1787][emoji1787][emoji16], hakuna hili wala lile kuwa mkeli tumimi napenda miakili ya UE wanamchora tu na kumjaza wao wanatunga sheria zao wakiingia wameingia, leo Russia anatumia nguvu nyingi na mipesa mingi wakija NATO ni ambush ya wiki moja tu chali
super pawa la Kibisa.
linapelekeshwa
Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu.
wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua.
walitegemea Ukraine itaweka nguvu zote pale Donbass na kuacha sehemu kubwa ya Ukraine au kyiv haina Ulinzi wa kutosha. Mayokeo yake wamefail. wenzao hadi leo wanapigana kwa majavelin tu. hawana strong air defence wala midege sana sana mizinga ya kisoviet.
etbwanapewa misaada na zaid ya nchi 40
waulize misaada gani?
jibu: Javeline na vifaru.
so unamaanisha silaha zote za russia znapambana na hvi visilaha visivo kua hata na jina.
ukraine ipo Naked maana ilikuwepo Toka USSR na silaha za USSR Rusia inajua zinapo hifadhiwa achilia mbali kambi za kijeshi. na mtu unajua zelensky anaish ikulu. Maliza mchezo basi. wewe si una hypersonic Intercontinental Missaels wewe.
matokeo yake unafumbata mikombora usijue unashambulia wapi.
Sipati picha siku zikija yale madude ya Nato
zikija F-35 mbili tu zikipenya pale russia kutakua na cremlin tena kweli?
ikiwa helicopta mbili za ukraine zinaingia russia na kutoka utafkir nchi haina Su3000.
supapawa anashambuliwa kwa Drones.
seriously?
shame on you Russia
Russia umenivunja Moyo.
mimi napenda miakili ya UE wanamchora tu na kumjaza wao wanatunga sheria zao wakiingia wameingia, leo Russia anatumia nguvu nyingi na mipesa mingi wakija NATO ni ambush ya wiki moja tu chali
Pro nato now mmeshakuwa wapuuz kias hksuper pawa la Kibisa.
linapelekeshwa
Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu.
wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua.
walitegemea Ukraine itaweka nguvu zote pale Donbass na kuacha sehemu kubwa ya Ukraine au kyiv haina Ulinzi wa kutosha. Mayokeo yake wamefail. wenzao hadi leo wanapigana kwa majavelin tu. hawana strong air defence wala midege sana sana mizinga ya kisoviet.
etbwanapewa misaada na zaid ya nchi 40
waulize misaada gani?
jibu: Javeline na vifaru.
so unamaanisha silaha zote za russia znapambana na hvi visilaha visivo kua hata na jina.
ukraine ipo Naked maana ilikuwepo Toka USSR na silaha za USSR Rusia inajua zinapo hifadhiwa achilia mbali kambi za kijeshi. na mtu unajua zelensky anaish ikulu. Maliza mchezo basi. wewe si una hypersonic Intercontinental Missaels wewe.
matokeo yake unafumbata mikombora usijue unashambulia wapi.
Sipati picha siku zikija yale madude ya Nato
zikija F-35 mbili tu zikipenya pale russia kutakua na cremlin tena kweli?
ikiwa helicopta mbili za ukraine zinaingia russia na kutoka utafkir nchi haina Su3000.
supapawa anashambuliwa kwa Drones.
seriously?
shame on you Russia
Russia umenivunja Moyo.
Hivi unajua USA anetumia SH ngapi mpaka sasa kuisaidia ukrain. Haijawai kutokea kwenye historia ya marekani. Hivi unajua kuwa bunge la usa limegawanyika mpaka sasa kuhusu kuisaidia ukrain. Acha kuongea utumbo kama hujuimimi napenda miakili ya UE wanamchora tu na kumjaza wao wanatunga sheria zao wakiingia wameingia, leo Russia anatumia nguvu nyingi na mipesa mingi wakija NATO ni ambush ya wiki moja tu chali
mimi napenda miakili ya UE wanamchora tu na kumjaza wao wanatunga sheria zao wakiingia wameingia, leo Russia anatumia nguvu nyingi na mipesa mingi wakija NATO ni ambush ya wiki moja tu chali
Leo duniania ipo huru mitandao mpaka maiti wanawasiliana kaburini kwa sanbabu tuu Russia kanyang'anywa umwamba.Russia full brain anampiga Ukraine tartib bila yeye kuathirika Wala kuchoka ,bse
1. Anatumia zaidi oldest USSR military equips
2.Anauza gesi,mafuta,mazao,mbolea,silaha kwa faida kubwa kuliko kwa rubble
3.Anatumia zaidi silaha anazoteka Ukraine za NATO na USA
4. Anaingiza pesa mingi kwa maeneo aliyoteka Ukraine strategically kachukua maeneo ya viwanda vikubwa, bandari zote karibia eneo lote karibia na mpaka wake analicontrol
5.Alijiandaa na hii Vita na vita nyinginezo for long time of past decades kwa. Silaha, jeshi, chakula etc
6. Ana nuclear warhead nyingi na kubwa kuliko Taifa lolote duniani.
7.Anga la Russia ukiondoa S-500-600 ambayo nj mifumo Bora kuliko mifumo yote ya ulinzi wa anga duniani, wameadd nuclear ktk mifumo hiyo ya anga,kiasi ukimuattach russia mifumo inauwezo was kuditect na kulipuua Auto nuke,
8.Russia ana eneo la kilometer za mraba 17million (USA+China )
acha mrusi achapwe na NATO la sivyo pasingekuwa na demokrasia duniani wala maraisi kutawala kwa term mbili au moja. pangekuwa na mtawalla mmoja madarakani anatwala milele. soma kitabu kiitwa cho Rise and fall of soviet empire kimetungwa na Brian Crozier. utashangaa malengo ya Boris Pugo na wenzake.wewe kama mpaka leo hujui madhara ya mtu mmoja kutawala wenzake milele basi" kama wewe ni mkubwa i huo ni mkoooosi eeenh"!Hivi unajua USA anetumia SH ngapi mpaka sasa kuisaidia ukrain. Haijawai kutokea kwenye historia ya marekani. Hivi unajua kuwa bunge la usa limegawanyika mpaka sasa kuhusu kuisaidia ukrain. Acha kuongea utumbo kama hujui
Watanzania muvi za vita zimetuharibu Sanaaa muvi ya kivita si ndani ya lisaa limoja imeisha.
Ukimaliza kuota uamkeLeo duniania ipo huru mitandao mpaka maiti wanawasiliana kaburini kwa sanbabu tuu Russia kanyang'anywa umwamba.
Zile sera za operesheni vijiji , sogeza, kamatakamata wazururulaji na kuimbia viongozi zote zilifanya Urusi kuwa na siraha kama hizo.
Utashangaa hapo utakapo shuhudia Russia inagawanywa vipande vipande mara nne na hayo masilaha yote kubaki kama makumbusho tuu. Hivi jamani hatuja jifunza jinsi Mjerumani alivyo sambaratishwa mwaka 1945 na nchi hiyo kugawiwa mashariki na magharibi? Ujerumani ilikuwa na siraha kubwa na kali sana kupita nchi zote za Ulaya lakini leo hii ipo wapi? usicheze na mataifa yaliyomtangaza mungu na mwanaye yesu kristo duniani(NATO) yakiamua kukuliza.
Mrusi nae anatumia shilling ngapi kupambana na ka nchi kadogo jirani yakeHivi unajua USA anetumia SH ngapi mpaka sasa kuisaidia ukrain. Haijawai kutokea kwenye historia ya marekani. Hivi unajua kuwa bunge la usa limegawanyika mpaka sasa kuhusu kuisaidia ukrain. Acha kuongea utumbo kama hujui
Neutral km nchi yanguUko upande wa nani? Nato or urusi?