Hivi wenzangu huyu ‘Super Power’ Urusi mnamwelewa?

Jamaa hili halina focus limevurugwa kama binti wa pwani limebaki kubwabwaja tu
 
Neutral km nchi yangu
Duhh, watu mnaroho ngumu sana.
Hao hao waliouwa maelfu ya civilians nchi za kiislamu, wameuwa viongozi wao (saddam na gadafi) na kuwaacha raia wakiuwana wao kwa wao na wengine kuyakimbia makazi yao!!!
 
Kwani Marekani kapigana na wale wavaa sendo na kanzu kwa muda gani mpaka kuamua kuwakimbia na kuwaachia n hi, unajua ni majeneza kiasi gani yalikua yanarudishwa Marekani kwa siri siri bila wao kutangaza, ama unadhani uamuzi wao wa kuwaachia nchi Taliban ni wa kijinga na wamekurupuka tu. Niambie wamepigana na Taliban kwa miaka mingapi tena hawana misaada ya silaha kama Ukraine. Ukraine ana silaha na kila leo anapewa, je wangepewa Taliban ingekuwaje? Watu walipigana na Marekani hawana hata kombati, wao wana sendo na kanzu tena sendo zimechoka hatari na bado wamewatoa kamasi
 

hayo majeneza ya siri wewe mtu wa makutupora umeyajuaje.
watu wa mkoga mimba vingunguti mna intelijensia kali sana.

unafkri kisa USA anapigana na taliban ndo ahatarishe maisha ya askar wake watukufu kizembe?

au ulisha skia ndege ngap za USA zilidunguliwa Afgastan?
 
Toka ndotoni mabeberu wote, ulaya na America wamewekezamo nguvu zao na Bado vikwazo uchwara ila Bado Mwamba anawabananisha,unaleta porojo zako hapa,angalia TU hapo Zaponhrihnzia,hajaamua TU kumaliza kazi pale Kyvi🤔.ukitaka kujua muulize BoJo kakutwa na nini,Akina Gragi,mjanja TU ni victor Orban na Recep Erdogan wengine wote mapoyoyo pamoja na beberu mkuu marekani 🤸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…