Hivi weupe ndio urembo au?

Siku hizi kuna hadi Herbal lightening cream,yaani wamejua serikali inapinga kwasababu ya madhara ya kiafya sasa wanakuwekea picha au hata kutumia papai na parachichi na ndani kuna hydroquinone inayokuchubua.
Tatizo letu ni kulazimisha vitu jamani,mwanaume kama anavutiwa na weupe muachie huyo mwanaume weupe waliozaliwa hivyo,gharama ya kujichubua na matokeo ya hizo kemikali hakuna mwanaume mwenye thamani hiyo. Si hawa wa sayari hii.Kesho hushindwi kumkuta na baamedi mweusi.
 
Nmeona umeweka profile ya MTU mweupe so inaonekana wee unapendelea vyeupe nahii inaonyesha naww nimweupeeee hahahhshshshshsh khantwe
Sijamweka kwa sababu ni mweupe. Huyo dada ni mwigizaji wa kikorea nampenda sana
 
Exactly lady
 
Shukrani naendelea kujifunza
sure mkuu! Watu weusi waliopo marekani wanajaribu kukumbuka walikotoka...majina kama Sasha ni watu weusi kwa kule, sasa dadaako huku achelewi kujiita Daisy....!
Wamarekani weusi wana tamasha la kukumbuka asili yao kwa jina linaitwa "Kwanza festival" Derived from Swahili word "Mti wa kwanza" wakimaanisha asili.
 
Kujichubua hata kwa watu wenye ngozi nyeupe hasa waAsia kupo sanaa...uzuri wanaona ni pale unapokua mweupe zaidi...
To me uzuri sio mchubuo kwa kweli..uzuri wa ngozi ni bringing the best out of the skin shade you have kwa ngozi kuwa na rangi moja,smooth,youthful na yenye afya...
 
Majina tuitwe sisi aibu uone wewe
 

Waarabu na mhindi wenyewe wanajichubua tu. Tena mwarabu ukimwambia u look like white anafurahi sana.
 
Waafrika tujue kuwa vyovyote tufanyavyo kutaka kuwa kama wazungu mfano urembo, majina na utamaduni, kamwe hatuwez kuwa wazungu milele na milele. unajichubuaje wakati ngoz nyeusi haizeeki haraka. Ndo maana wanasema Blacks dont crack. mcheki Usher, will smith, etc Lakini tujue kadri tunavoelimika na kujua historia yetu ndo tutarud tulipotoka. tuboreshe tulivyonavyo.
 
Well said mkuu
 
Sijawahi kusikia sababu yoyote ile iliyo na mashiko.

Nyingi ambazo huwa nazisikia huwa hazina mashiko kabisa.

Naweza kusema nyingi ya hizo sababu zinatokana na ujinga [ignorance] tu.
Mkuu naona ili swalaa linakukeraa sanaaa...by da way unaongea fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…