hizo avatar zimepata kitu ya arusha au?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hizi comments sasa
Kiraru raru sio lazima ngono, ni hali yoyote ya kukosa utulivu.Unenge ni njaaa
Swagire ni Swaga
Usikae kiree ni usikae kijinga/kiboya
Kiraruraru ni ukame au kiu ya kufanya ngono
Wewe mjanja wa wapWashamba wa Arusha hao
Wewe takataka ya wap..takataka za arusha hizo
DSM....Wewe mjanja wa wap
Ahaa kumbe mwanaume wa dar.DSM....
Wanaendesha maisha yao na ndo walivyochagua..huelewi wanachokiimba unaachana nao na unafanya mambo yakoHamna kitu wanachoimba weusi zaidi ya uharo mtupu...sorry lakn ni ukweli mchungu..watafte tu kaz nyingine ya kufanya
Naaam mwanaume wa dar tunaofukua mitaro ya akina amber ruttyAhaa kumbe mwanaume wa dar.
Kama hujaelewa jua hujalengwa, huelewi Hip Hop tega sikio kwenye Taarabu - Msodoki the SonWanaendesha maisha yao na ndo walivyochagua..huelewi wanachokiimba unaachana nao na unafanya mambo yako
Hahaha ni shidaaaKama kuna mdau ana "ngusu" afanye mpango aisee.
Daa,Unga Limited,Kona ya Mbauda ni maeneo ya watemi wa Arusha(tukale wapi)Ukitaka kujifunza hizo lugha njoo Arusha halafu nenda kaishi maeneo ya Daraja 2 karibu na pande za Bwawa la Mavi au UNGA LIMITED wao wanaita pande za NGALIMI!
Haaaaaaaa aaaahaahhhahahaa Jina la aliyetafsir sasa hahahhhaaaaaaaaaaaaaaa karibun maji wadauUnenge ni njaaa
Swagire ni Swaga
Usikae kiree ni usikae kijinga/kiboya
Kiraruraru ni ukame au kiu ya kufanya ngono