Hivi "Weusi" wanaimba lugha gani wadau kwenye nyimbo zao?

Hivi "Weusi" wanaimba lugha gani wadau kwenye nyimbo zao?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hizi comments sasa
 
Ukitaka kujifunza hizo lugha njoo Arusha halafu nenda kaishi maeneo ya Daraja 2 karibu na pande za Bwawa la Mavi au UNGA LIMITED wao wanaita pande za NGALIMI!
Daa,Unga Limited,Kona ya Mbauda ni maeneo ya watemi wa Arusha(tukale wapi)
 
Waarusha na kiswahili chao sasaaaa ahhhaaahaaaaahaaaaaaahaahahhhhahaahhhhaah karibun maji wadauuuuuu
IMG-20171119-WA0044.jpeg
 
Back
Top Bottom