Nadhani Judgement ya hili itategemea na mtazamo wako, sio lazima kila mtu awe katika mtazamo huo. Bila shaka ukibadilisha angle ulio simamia, unaweza kuona picha tofauti. It is just an angle of observation.
mkuzi Miaka 7 ni ile ya kesi ya kutaka kuuza nyumba,Jamaa ana nyingine ya UHUJUMU UCHUMI! aka KUTAKASISHA PESA ambayo kesi inaunguruma na akipatikana na hatia sii pungufu ya miaka 20 akitoka Babu na Kajala CHOKEST ZAIDI!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.