February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
IndeedVery stupid thread
Acha zalauMIHOGO FC wanakalia kidude kwa hawa madada
Wewe ni yangeerMm ni simba ila huu uzi ni wa kipuuzi. Hii labda ingekuwa ni comment ila sio kuanzishia uzi.
Kweli kabisa. Anajaza server za JF kwa mambo ya hovyo.Mm ni simba ila huu uzi ni wa kipuuzi. Hii labda ingekuwa ni comment ila sio kuanzishia uzi.
Kwakua Simba ameshakubali kuwa mke wa kudumu wa Yanga kitendo Cha kuileta Simba queen [emoji146] kwenye mjadala nisawa na kumkabidhi Yanga mke wa pili ambaye anaundugu na mke mkubwa. Uzuri wake ndugu awawezi gombana [emoji1][emoji1][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna swali la kijinga duniani.Mleta uzi ajibiwe.
Haya m-cc mleta uzi.Kwakua Simba ameshakubali kuwa mke wa kudumu wa Yanga kitendo Cha kuileta Simba queen [emoji146] kwenye mjadala nisawa na kumkabidhi Yanga mke wa pili ambaye anaundugu na mke mkubwa. Uzuri wake ndugu awawezi gombana [emoji1][emoji1]
Nafikiri unaongea huku ukiwa kitu matakoni, yaani unachotamka kinategrmeana na umeingiliwajeHii ni serious debate niliikuta kwenye kijiwe cha kahawa. Kina mwamnyeto watachomoka kwa opa?
Kina Kibwana watamuweza Aisha?
Kina mayele wazee wa kuruka ruka watamuona Gelwa? Kina aziz Ki na kina Aucho watatoboa kwa kina Sarive, Jacki na kina Joelle kweli?
Mimi sidhani.
Kitu gani, mwiko au?Nafikiri unaongea huku ukiwa kitu matakoni, yaani unachotamka kinategrmeana na umeingiliwaje
ukisikia umbumbumbu ndo huoMm ni simba ila huu uzi ni wa kipuuzi. Hii labda ingekuwa ni comment ila sio kuanzishia uzi.
swali la kiutani si ndio?au uko serious mkuu,Hii ni serious debate niliikuta kwenye kijiwe cha kahawa. Kina mwamnyeto watachomoka kwa opa?
Kina Kibwana watamuweza Aisha?
Kina mayele wazee wa kuruka ruka watamuona Gelwa? Kina aziz Ki na kina Aucho watatoboa kwa kina Sarive, Jacki na kina Joelle kweli?
Mimi sidhani.