Hivi yanga ikicheza na Simba Queens nani anachapwa?

Mm ningeshauli ichezwe mechi ya hisani ....yanga ya wanawake itoe wachezaji wa 5 na wakiume watoe watano wa wachanganye wote iwe timu moja ....na Simba nao wafanye hivyohivyo ala tucheki mbungi......#marehemu kufariki na mavuzi ni uzembe wa ndugu....
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna swali la kijinga duniani.Mleta uzi ajibiwe.
Kwakua Simba ameshakubali kuwa mke wa kudumu wa Yanga kitendo Cha kuileta Simba queen [emoji146] kwenye mjadala nisawa na kumkabidhi Yanga mke wa pili ambaye anaundugu na mke mkubwa. Uzuri wake ndugu awawezi gombana [emoji1][emoji1]
 
Kwakua Simba ameshakubali kuwa mke wa kudumu wa Yanga kitendo Cha kuileta Simba queen [emoji146] kwenye mjadala nisawa na kumkabidhi Yanga mke wa pili ambaye anaundugu na mke mkubwa. Uzuri wake ndugu awawezi gombana [emoji1][emoji1]
Haya m-cc mleta uzi.
 
Nafikiri unaongea huku ukiwa kitu matakoni, yaani unachotamka kinategrmeana na umeingiliwaje
 
Kama simba ya wanaume wana kandwa na Yanga je ukileta ao mapanya watafungwa goli 200000000000000000000000000000000768549437
Na hivi watacheza wote kwa pamoja zidi ya makambo peke yake yaani yeye ndo atakuwa cocha pia kipa
 
swali la kiutani si ndio?au uko serious mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…