Hivi Yanga ingekuwa ni CHADEMA ndiyo wanazuia CCM kufanya mkutano wao kingetokea nini?

Hivi Yanga ingekuwa ni CHADEMA ndiyo wanazuia CCM kufanya mkutano wao kingetokea nini?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Nimeangalia Clip Moja inayoonesha jinsi makomando wa Yanga walivyokuwa wanazuia timu ya Simba kuingia uwanja wa Mkapa kufanya mazoezi usiku wa Jana ikanifikirisha Sana.

Pale kwenye eneo la tukio kulikuwa na Polisi lakini walikuwa nao kama ni waangaliaji tu wa purukushani ile.

Nikawaza ingekuwa tukio lile ni wanachama wa CHADEMA ndiyo wanawazuia CCM kufanya mkutano kwenye eneo waliloruhusiwa kufanya mkutano, wale polisi wangewafanya nini hao wanachadema?

Nawaza tu.
 
Kwani mechi itachezwa mchana..? Hata hivyo usiitopoloshe hii hoja.

Hapa tunataka kujua kama wale makomando wa Yanga wangekuwa ni wanachadema wanawazuia CCM kufanya mkutano, wale Polisi wangekuwa wanawaangalia tu?
kwani chaha deema ni yanga?
 
Nimeangalia Clip Moja inayoonesha jinsi makomando wa Yanga walivyokuwa wanazuia timu ya Simba kuingia uwanja wa Mkapa kufanya mazoezi usiku wa Jana ikanifikirisha Sana.

Pale kwenye eneo la tukio kulikuwa na Polisi lakini walikuwa nao kama ni waangaliaji tu wa purukushani ile.

Nikawaza ingekuwa tukio lile ni wanachama wa CHADEMA ndiyo wanawazuia CCM kufanya mkutano kwenye eneo waliloruhusiwa kufanya mkutano, wale polisi wangewafanya nini hao wanachadema?

Nawaza tu.
Wanachadema wangeliuwawa na polisiccm
 
Sidhan kama una akili timamu wewe na siamini kama umeisoma ile barua ya simba na ukaitafakari, moja hujui kwmb simba wamekili meneja wa uwanja ndiye alikataa simba wasiingie uwanjani sababu hakuwa na taarifa yoyote toka kwa kamishna kwmb simba watakuja fanya mazoezi, pili hao wanaosemwa mabaunsa walikuwa nje ya uwanja au ndani ya uwanja jbu ni walikuwa nje na milango ya uwanja imefungwa sa waliwazuiaje simba kuingia wkt na wao wako nje ya uwanja mwny funguo ni meneja ambaye si mwajiliwa wa yanga, tatu kanuni mnadai imevunjwa je ni wp panasema ikivunjwa msusie mechi? Mwsho je yanga mechi ya dabi iliyopta waliruhusiwa kufanya mazoez hapo jbu ni hapana sa hiki kihelehele cha simba knatoka wp.
 
Hata hii Tume ambayo sio HURU ya Uchaguzi ni sawa sawa na waamuzi mchezo wa Yanga na Simba wawe na wao ni kutoka Yanga bao moja la Yanga wanaandika ni mabao matano Simba ilifunga bao wanalikataa.

Halafu Simba wakisema wanataka kuwe na REFORMS kwenye waamuzi wa Mchezo Makala anaibuka huko na kupiga mikwara.
 
Labda tukitolea mifano hii Watanzania watatuelewa zaidi mifano ya Yanga Simba na hali ya kisiasa ilivyo nchini.
 
Tuwekee hiyo clip. Simba kaweka mpira kwapani. Yanga nendeni uwanjani mida ya jioni mkazoe pointi za bwerere
 
Sidhan kama una akili timamu wewe na siamini kama umeisoma ile barua ya simba na ukaitafakari, moja hujui kwmb simba wamekili meneja wa uwanja ndiye alikataa simba wasiingie uwanjani sababu hakuwa na taarifa yoyote toka kwa kamishna kwmb simba watakuja fanya mazoezi, pili hao wanaosemwa mabaunsa walikuwa nje ya uwanja au ndani ya uwanja jbu ni walikuwa nje na milango ya uwanja imefungwa sa waliwazuiaje simba kuingia wkt na wao wako nje ya uwanja mwny funguo ni meneja ambaye si mwajiliwa wa yanga, tatu kanuni mnadai imevunjwa je ni wp panasema ikivunjwa msusie mechi? Mwsho je yanga mechi ya dabi iliyopta waliruhusiwa kufanya mazoez hapo jbu ni hapana sa hiki kihelehele cha simba knatoka wp.
Ooooh
 
Labda tukitolea mifano hii Watanzania watatuelewa zaidi mifano ya Yanga Simba na hali ya kisiasa ilivyo nchini.
Kabisa.

Maana hii itawafanya waone nini CHADEMA huwa wanamaanisha. Hapo polisi walikuja na kuondoka bila ya mtu hata mmoja kuzabwa hata Kibao tu.

Leo polisi wakiulizwa ni kwa nini hawajachukua hatua za kuingilia ule mzozo watasema "yalikuwa mambo ya Mpira hayawahusu".
 
Back
Top Bottom