King Leon 1
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 245
- 342
La liga!??? [emoji3]
La liga hawana muda wa kupost vitu vya mchongo mchongo
Kamuone doktaLa liga!??? [emoji3]
La liga hawana muda wa kupost vitu vya mchongo mchongo
Kongole kaka umeweka takwimu, anaebisha awe na hoja.Mkuu mara ya mwisho Young Africans kupoteza mchezo ilikuwa ni tar 25/42020 walifungwa gori 1 na Azam, Tangu hapo hawakupoteza mchezo tena, hiyo ilikuwa round ya 28 msimu wa 2020/21. Takwimu zake ni kama ifuatavyo
1. Round ya 29 alicheza na Namungo tar 15/5 akatoka Sare ya 0-0,
2. Round ya 30 akacheza na Jkt Tanzania tar 19/5 akashinda 2-0
3. Round ya 31 akacheza na Ruvu shooting tar 17/6 akashinda 3-2,
4. Round ya 32 akacheza na Mwadui tar 20/6 akashinda 3-2
5. 3/7 Simba 0- Young Africans 1 gori la zawadi mauya( Hii game ilipangiwa hii tarehe baada ya kuhailishwa tarehe ambayo ilipangiwa kuchezwa ndo maana haijawa kwenye mtiririko wa round)
6. Round ya 33 akacheza na Ihefu tar 15/7 akashinda 2-0,
7. Round ya 34 akacheza na Dodoma jiji tar 18/7 wakatoka 0-0..
Generally, msimu wa 2020/21 baada ya kufungwa na Azam alicheza game 7 mbele bila kupoteza, msimu wa 21/22( NBC premier League) amecheza game 30 bila kupoteza na msimu huu 2022/23 amecheza game 12 bila kupoteza..7+30+12=49
NB
Ready to be corrected
Outcrop Rock( mwamba kipara)
Mkuu, hiyo ndio maana halisi ya mbumbumbuuKwa kifupi wewe hujui ata izo unbeaten uwa inahusisha michezo gani, yaani kama ni darasani mwalimu inabidi aanze Moja Ili darasa lisikuache nyuma.
Hapa JF shabiki WA Simba anajua mpira ni Scars, wengine ni oya oya tupuKuna siku Nilikuwa napembua mashabiki nikakuorodhesha lakini Mtu mmoja akanambia Huyo ni Mshangiliaji siyo shabiki. Leo nimeamini, yaani hata kinachoongelewa hujui Ila umelipuka tu.
Ukishakua shabiki WA Simba chances are you are an idiot, wala usipate tabu mkuu.Huna akili
Kwa akili hizi tutapata kweli katiba mpya? Kwani ukiuliza tu unbeaten game 49 wamehesabu mashindano gani utakua umepungukiwa nini?WATU WANAJIITA UNBEATEN.
WAMEPIGWA NA SIMBA KIGOMA.
WAMEPIGWA NA ZESCO.
WAMEPIGWA NA LIVER UNITED.
WAMEPIGWA NA ZANACO.
WAMEPIGWA NA AL HILALY OMDUMAN.
WAMEPIGWA NA IBENGE
SOMALIA NK
Mods nipigeni Ban lakini hiki ni kiazi. Angalieni unbeat ya Arsenal..Aisee.WOTE MLIO NIONA MJINGA.
UNBEATEN NI JUMLA YA MICHEZO YOTE ULIYOCHEZA BILA KUPOTEZA NDANI YA KIPINDI FLAN.
UNBEATEN YA ARSENAL ILIKUWA.
Bakrays/ EPL LEAGUE.
UEFA.
FA.
CARABAO CUP.
SIO MICHEZO YA LIGI EPL TU.
FICHENI UJINGA.
Kwahiyo arsenal msimu wa unbeaten alibeba adi uefa ,carabao,fa na community shield au mnajitoa ufahamuNi upuuzi na upayukaji tu si unajua watanzania wengi si wadadisi, hata ile ya mabingwa wa kihistoria ina tashwishwi sema tu Oya Oya mwana.
Ukiangalia washakanyagwa kombe la azam pale, walishakanyagwa mapinduzi zenj na washakanyagwa kimataifa kule kwa wanubi na kirafiki hapa kwa Mkapa ila wanapiga janja janja tu kukwepesha uhalisia. Maana ya unbearten ni iwe hujawahi kushindwa mechi yeyote ile katika mashindano yeyote yale.