Wale walionengua na kuishinikiza TZ iige mfano mzuri wa "Baba wa Demokrasia" wa Afrika kutoka nchi jirani waje hapa wajieleze.
Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la [HASHTAG]#MezaYaWazalendo[/HASHTAG] lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.
Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu. Sasa msifieni tena huyu baba yenu wa demokrasia anaewatusi majaji walioamua uchaguzi urudiwe.
Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la [HASHTAG]#MezaYaWazalendo[/HASHTAG] lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.
Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu. Sasa msifieni tena huyu baba yenu wa demokrasia anaewatusi majaji walioamua uchaguzi urudiwe.