Hivi yule "Baba wa Demokrasia" wa kuigwa na TZ kutoka nchi jirani ni NANI TENA?

Hivi yule "Baba wa Demokrasia" wa kuigwa na TZ kutoka nchi jirani ni NANI TENA?

Wale walionengua na kuishinikiza TZ iige mfano mzuri wa "Baba wa Demokrasia" wa Afrika kutoka nchi jirani waje hapa wajieleze.

Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la [HASHTAG]#MezaYaWazalendo[/HASHTAG] lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.

Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu. Sasa msifieni tena huyu baba yenu wa demokrasia anaewatusi majaji walioamua uchaguzi urudiwe.
Wamekua mabubu ghafla,kiherehere ni tabia mbaya sana
 
Lakini ni ruksa
- kumuua mkuu wa TEHAMA wa tume ya uchaguzi,
- kuchukua nywila (vidole na kiganja) zake,
- kudukua mtandao wa matokeo ya uchaguzi,
- halafu mkatae seva zenu zikaguliwe na mahakama.

Yote haya kwa jina la demokrasia, eh?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo ruksa hata kidogo. hayo ni makosa makubwa kwa mauaji, Lakni angalau wamejaribu sana democrasia hapa afrika. Tumeoza kwa viwango tofauti, huwezi linganisha na hapa. Ben yuko wapi? kusema phd ina matatizo akapotea mpaka leo. Roma ...na wengine wa masandarusi yanayookotwa pwani ya wavuvi.
 
WAMETOKA KWENYE KUNDI LA SHETANI SASA WAKO KUNDI LA MALAIKA, WAKIRUDI TU HUKO WANAKUWA MASHETANI TENA. ANGALIA UONEVE, UVUNJWAJI WA KATIBA, SHERIA, UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU, UONEVU, UKATILI UNAOFANYIKA SASA. BADO NI CHAMA HICHO HICHO....
Hebu Zinduka kijana, kwa umri huo kufanywa msukule inasikitisha
 
We niite vyovyote tu. Nimechoka na hii tabia ya upinzani kila siku kusifia mambo ya nje na kuwasaidia wezi wa nje dhidi ya nchi yao. Mmeumbuka leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la kusaidia wezi koma kabisa tena usirudie. Wezi mmewaleta wenyewe na baba yenu mnayemtukuza akiunga mkono Leo mnasingizia watu? Muulizeni Braza K (WAKUKURUPUKA) anajua vizuri kilichotokea msitufanye wajinga hapa.

ACHA nikae KIMYA...!
 
Hakuna alichogonga, bado Kenya wamejitahidi. Huwezi kumkamata mpinzani kwa uonevu kama ilivyo hapa, katiba haivunjwi hovyo hovyo kama hapa, haki za binadamu hazivunjwi wazi wazi kama hapa. Bado pamoja na mapungufu yao, wako mbele afrika nzima. Tumeoza wote, lakini kunuka tunatofautiana.
Hakuna haki bila wajibu ndugu..watz mnapenda sana habari za haki..ila hampendi kutekeleza wajibu..huko mnakokusema wenzenu wanajua kutekeleza wajibu kwanza kabla ya kudai haki..ni juzi tu mlisusia uchaguzi Zanzibar mkitaka ushindi wa mezani wakati mpira ulirudishwa kati..
Hao wapinzani mnaowatetea ni hao hao ndani ya miaka nane walitulisha matango pori kuwa lowasa ni mchafu mwizi fisadi..ikiwezewekana achomwe moto..ni hao hao tena wakasema lowasa msafi anafaa kuwa rais..ni wajibu wa serikali kutulinda dhidi ya sumu kama hizo za upinzani..isiache tena tufanyiwe kitendo kama kule cha miaka nane..yule waliowaongoza kumtukana na kumuita dhaifu leo wanawaambia tena alikuwa rais bora..hao sidhani kama wanatakiwa kuachwa
 
Nadhani mikataba haikusainiwa na chama, inasainiwa na watu. Na hao watu wengine wako CCM na wengine wako CHADEMA
Halafu MTU hawezi kujiita mukaruka akawa mpumbavu.

ACHA nikae KIMYA...!
 
Siyo ruksa hata kidogo. hayo ni makosa makubwa kwa mauaji, Lakni angalau wamejaribu sana democrasia hapa afrika. Tumeoza kwa viwango tofauti, huwezi linganisha na hapa. Ben yuko wapi? kusema phd ina matatizo akapotea mpaka leo. Roma ...na wengine wa masandarusi yanayookotwa pwani ya wavuvi.

Tanzania ina mapungufu mengi kiutawala. At least Magufuli anajaribu kurekebisha uozo uliokuwepo hapo nyuma. Lakini ninachokisikia kutoka upinzani ni kumkalia kooni tu kwa kila jema analofanya.

Nchi hii ilikuwa imepamba kasi kuelekea kusiko. Tumepata rubani alieamua "kutobadilisha gia angani" bali kupiga kona ya nguvu kuelekea tunapopaswa kwenda.

Sasa katika huu mbadiliko wa ghafla wa mwelekeo abiria lazima wayumbe ndani ya chombo. Hili ni la mpito tu.

Tukishazoea muelekeo mpya tutatulia na wengi wataelewa kwa nini tunapitia huu msukosuko.

Hakikisha tu kuwa umefunga mkanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya haijawahi kuwa mfano wa demokrasia sababu ya ukabila.
Bila kuutokomeza ukabila na ufisadi mkubwa itakuwa sawa sawa na hakuna.
 
Hilo la kusaidia wezi koma kabisa tena usirudie. Wezi mmewaleta wenyewe na baba yenu mnayemtukuza akiunga mkono Leo mnasingizia watu? Muulizeni Braza K (WAKUKURUPUKA) anajua vizuri kilichotokea msitufanye wajinga hapa.

ACHA nikae KIMYA...!
Kwa hiyo ndio maana Lissu alikuwa (pengine bado) anatoa msaada wa kisheria kwa hawa "wezi"?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu MTU hawezi kujiita mukaruka akawa mpumbavu.

ACHA nikae KIMYA...!
Typical Jita type of pronounciation

Kadeki lami, Lawassa anakuja Musoma huko ndo kuna wataalamu wa hizo kazi
 
Kwa hiyo hii ndio sababu ya kumuita Uhuru "Baba wa demokrasia"?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru Kenyatta ndie Baba wa Democracia, hata hayo aliyoyazungumza kuhusu Majaji ndio sehemu ya Democrasy yenyewe, kwakuwa ametoa mawazo yake kuhusu hukumu lakini hakuuingilia mchakato wa kuifikia hukumu yenyewe. Majaji hao hawakupewa 'Maagizo kutoka juu!'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo ndio maana Lissu alikuwa (pengine bado) anatoa msaada wa kisheria kwa hawa "wezi"?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe chanzo cha thread yako ni kulekule kwa Lisu. Mnakwenda kumfokea mtoto Wa jirani wakati chanzo cha matatizo mnacho ndani ya nyumba yenu? Mwambieni mtoto wenu (WAKUKURUPUKA) umetusababishia hasara halafu ndo mumfuate mpiga filimbi Lisu. Mnamwacha aliyezini mnamkomalia anayetangaza uzinzi Wa baba yenu?

ACHA nikae KIMYA...!
 
Tanzania ina mapungufu mengi kiutawala. At least Magufuli anajaribu kurekebisha uozo uliokuwepo hapo nyuma. Lakini ninachokisikia kutoka upinzani ni kumkalia kooni tu kwa kila jema analofanya.

Nchi hii ilikuwa imepamba kasi kuelekea kusiko. Tumepata rubani alieamua "kutobadilisha gia angani" bali kupiga kona ya nguvu kuelekea tunapopaswa kwenda.

Sasa katika huu mbadiliko wa ghafla wa mwelekeo abiria lazima wayumbe ndani ya chombo. Hili ni la mpito tu.

Tukishazoea muelekeo mpya tutatulia na wengi wataelewa kwa nini tunapitia huu msukosuko.

Hakikisha tu kuwa umefunga mkanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kifyatu, unapoint nzuri, lakini mapenzi yanakuzidi. Huwezi rekebisha kwa kuwaua watu, kuwapoteza "kuwalaza" hapana. Kuvunja haki za binadamu, kuwaonea wapinzani, kuwaita watu vilaza (wakati na wewe ulikwama form six ndiyo maana ukaenda ualimu), kuvunja katiba, sheria etc. Jitofautishe na Idd Amin please. nadhani wewe ni wa karibu naye, mshauri. Kumekuwa na indiscriminate killings kwa siku hizi! (najua utakataa kuwa hakuna kitu kama hicho). Kimara bomoa bomoa, wana haki ya kuwa pale, amewavunjia bila kufuata sheria. Rudisha basi na nyumba za serikali tulizowagawia hawala zetu na wadogo zetu!
Nakushukuru kuwa you are arguing your position without matusi kama wenzako akila Liza and the company
 
Hakuna haki bila wajibu ndugu..watz mnapenda sana habari za haki..ila hampendi kutekeleza wajibu..huko mnakokusema wenzenu wanajua kutekeleza wajibu kwanza kabla ya kudai haki..ni juzi tu mlisusia uchaguzi Zanzibar mkitaka ushindi wa mezani wakati mpira ulirudishwa kati..
Hao wapinzani mnaowatetea ni hao hao ndani ya miaka nane walitulisha matango pori kuwa lowasa ni mchafu mwizi fisadi..ikiwezewekana achomwe moto..ni hao hao tena wakasema lowasa msafi anafaa kuwa rais..ni wajibu wa serikali kutulinda dhidi ya sumu kama hizo za upinzani..isiache tena tufanyiwe kitendo kama kule cha miaka nane..yule waliowaongoza kumtukana na kumuita dhaifu leo wanawaambia tena alikuwa rais bora..hao sidhani kama wanatakiwa kuachwa
Kweli kabisa. Sijui wanadhani sisi ni wajinga kiasi gani.

Kama ulivyosema awali, watu hawana demokrasia ndani ya chama lakini kila uchweo wanaidai demokrasia itendeke na kuwataka Watanzania wawape ridhaa waiongoze nchi katika misingi ya demokrasia. Eh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe chanzo cha thread yako ni kulekule kwa Lisu. Mnakwenda kumfokea mtoto Wa jirani wakati chanzo cha matatizo mnacho ndani ya nyumba yenu? Mwambieni mtoto wenu (WAKUKURUPUKA) umetusababishia hasara halafu ndo mumfuate mpiga filimbi Lisu. Mnamwacha aliyezini mnamkomalia anayetangaza uzinzi Wa baba yenu?

ACHA nikae KIMYA...!
UMENENA
 
Chama ndicho kinatawala nchi! ILANI YA CCM ndiyo iliyofanya haya na bado iko madarakani. Walio CDM walitoka CCM
Kwahiyo kama kama walitoka CCM maana yake makosa Walioyafanya yamefutika. Ndo maana siku hizi mnaitwa chama cha kutetea wezi. Yaani sasa hvi unaiba CCM halafu unakimbilia CDM kwenda kusafishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom