Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
focus on ur country...vilaza nyinyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru havunji Nyumba za Watu kwa kuwa tu Ni wachagga!
Uhuru hatumi brainless kuvamia TV
Uhuru havunji Bustani za mboga za Raila
Uhuru hakamati watu walioota ndoto
Uhuru hapigi watu Risasi (Najua issue ya Kisandu, he wanted Kuiba Uchaguzi for Raila kwa alogarithm kama Yule Rev. Alivyoiba wa Tanzania kwa Alogarithm 2015 na akazawadiwa Vikali)
Uhuru hakamati kamati wapinzani ovyo!
Uhutu hazuiii watoto wakike kusoma Kisa Mimba! Tena Mimwaname inayowapa watoto mimba ndio iamue hilo?
Uhuru hateki watu
Kama hukuwa umelewa wakati unaandika haya, basi akili yako haipo sawa sawaUsilete Propaganda ni Kweli Uhuru alikosea sana Kuwatisha Majaji, Nadhani alikuwa amelewa huo ni udhaifu wake. Ila Angekuwa ni Magufuli Watu wasiojulikana ( his stooges) wangeshamfyatua huyo Jadge Kama Tundu Lissu! Ukweli ni Kuwa Uhuru hazuii Mikutano, hakamatikamati watu ovyo ukiacha Babu owino! Na hana Ukauzibe wa Kisiasa wa kujifanya ati siasa mpaka uchaguzi Mkuu wakayi yeye ni Siasa 24/7
Uhuru havunji Nyumba za Watu kwa kuwa tu Ni wachagga!
Uhuru hatumi brainless kuvamia TV
Uhuru havunji Bustani za mboga za Raila
Uhuru hakamati watu walioota ndoto
Uhuru hapigi watu Risasi (Najua issue ya Kisandu, he wanted Kuiba Uchaguzi for Raila kwa alogarithm kama Yule Rev. Alivyoiba wa Tanzania kwa Alogarithm 2015 na akazawadiwa Vikali)
Uhuru hakamati kamati wapinzani ovyo!
Uhutu hazuiii watoto wakike kusoma Kisa Mimba! Tena Mimwaname inayowapa watoto mimba ndio iamue hilo?
Uhuru hateki watu
No Tulikuwa tunakunywa na Mama yako Jana Usiku, Yeye akili yake ikoje?Kama hukuwa umelewa wakati unaandika haya, basi akili yako haipo sawa sawa
una uhakika na unayoyasema??
Nani kamuua Musando mkurugenzi wa tehama.
nani aliyemfyatulia risasi yule mbunge wa kule Mombasa.
nani anayefyatulia risasi waandamanaji?
nani anayegonga na gari wakenya masikini.
tafakari kwa kina bila kuegemea upande wowote.
Achana nae uyo kwasababu chadema wana mapenzi nae ndio maana wamenyamaza kimya mkuu.una uhakika na unayoyasema??
Nani kamuua Musando mkurugenzi wa tehama.
nani aliyemfyatulia risasi yule mbunge wa kule Mombasa.
nani anayefyatulia risasi waandamanaji?
nani anayegonga na gari wakenya masikini.
tafakari kwa kina bila kuegemea upande wowote.
Kawatusije??Wale walionengua na kuishinikiza TZ iige mfano mzuri wa "Baba wa Demokrasia" wa Afrika kutoka nchi jirani waje hapa wajieleze.
Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la [HASHTAG]#MezaYaWazalendo[/HASHTAG] lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.
Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu. Sasa msifieni tena huyu baba yenu wa demokrasia anaewatusi majaji walioamua uchaguzi urudiwe.
Naunga mkono mkuu.Basi watu wote walioko upinzani ni MALAIKA wa NURU, Na INNOCENT wakombozi wanapigania wanyonge kuliko hata maisha yao binafsi na hawajawahi kulikosea TAIFA HILI
Ipo kama ya yule aliyemfanya babayoko nyumaNo Tulikuwa tunakunywa na Mama yako Jana Usiku, Yeye akili yake ikoje?
U wish, Unavyotumia Rectum kama mtaji ccm na Makalio yako kama Ngao kwa kuwa huna kifua basi unadhani kila mtu ni Anainamiwa kama wewe! Na kufanyiwa mambo ya aibu! By the way Matusi ni Ishara ya nini unajua? Mini nadhani vimiminika za Wakina bashite vimekosea njia na kukuingia kwenye ubongo! Which brain? Sorry namaanisha vikmekuingia kwenye fuvu!Ipo kama ya yule aliyemfanya babayoko nyuma
Mungu akusaidie, tutaendelea kukuombeaU wish, Unavyotumia Rectum kama mtaji ccm na Makalio yako kama Ngao kwa kuwa huna kifua basi unadhani kila mtu ni Anainamiwa kama wewe! Na kufanyiwa mambo ya aibu! By the way Matusi ni Ishara ya nini unajua? Mini nadhani vimiminika za Wakina bashite vimekosea njia na kukuingia kwenye ubongo! Which brain? Sorry namaanisha vikmekuingia kwenye fuvu!
Bye!
Mimi nimebaki kujibu hoja zao za hovyo hovyo tu,kila kukicha, kwa sababu zinatokana na:We niite vyovyote tu. Nimechoka na hii tabia ya upinzani kila siku kusifia mambo ya nje na kuwasaidia wezi wa nje dhidi ya nchi yao. Mmeumbuka leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyamaza tu juu unaongea UjingaUsilete Propaganda ni Kweli Uhuru alikosea sana Kuwatisha Majaji, Nadhani alikuwa amelewa huo ni udhaifu wake. Ila Angekuwa ni Magufuli Watu wasiojulikana ( his stooges) wangeshamfyatua huyo Jadge Kama Tundu Lissu! Ukweli ni Kuwa Uhuru hazuii Mikutano, hakamatikamati watu ovyo ukiacha Babu owino! Na hana Ukauzibe wa Kisiasa wa kujifanya ati siasa mpaka uchaguzi Mkuu wakayi yeye ni Siasa 24/7
Uhuru havunji Nyumba za Watu kwa kuwa tu Ni wachagga!
Uhuru hatumi brainless kuvamia TV
Uhuru havunji Bustani za mboga za Raila
Uhuru hakamati watu walioota ndoto
Uhuru hapigi watu Risasi (Najua issue ya Kisandu, he wanted Kuiba Uchaguzi for Raila kwa alogarithm kama Yule Rev. Alivyoiba wa Tanzania kwa Alogarithm 2015 na akazawadiwa Vikali)
Uhuru hakamati kamati wapinzani ovyo!
Uhutu hazuiii watoto wakike kusoma Kisa Mimba! Tena Mimwaname inayowapa watoto mimba ndio iamue hilo?
Uhuru hateki watu
Nipe corruption case moja Kuoe bongo ama Bribery case moja kule bongo ambayo ina ushahidi !!....smh do you know how bribery works??? The essence is to not get caught in the act....this is whyHayo mambo ya mitaani huwa sifwatilii kwani huwa hayana ushahidi
Nyamaza tu juu unaongea Ujinga
Simple change you twitter location to Kenya and see what is trending Uhuru is worse than Magufuli...
Uses lawyers to And Majority in parliament to change laws to favour his party
Kills demonstrators and Teargasses children in schools anyway....We have no Legitimate leaders in East Africa ...maybe sychelles ......
Nakubali Unahoja, Uhuru Alitaka kuiba Ushindi na Raila pia hivyo hivyo, Ila walizidiana. Mimi sio Mnafiki. Na anayofanya Uhuru na Ruto sasa sio sawa! Ila he was real Democratic!
Nicheki hapa! Nilishamsema Tangu mapema!
And what is Magufuli You just done describing Uhuru, Tell me about Autistic, Coward Dictator Magufuli ,are you not vexed by him as well? Tanzania was so calm whe he took over look what yall got now!le me help you to conclude.
uhuru has, never at any point in time, been democratic leader. what made him to look like a democratic President was a prevailed situation. the country had no tension, was calm. and if we recall an old adage a calm sea never made a skilful sailor. so what you see now is a true Kenyatta.