Hivi yule "Baba wa Demokrasia" wa kuigwa na TZ kutoka nchi jirani ni NANI TENA?

And what is Magufuli You just done describing Uhuru, Tell me about Autistic, Coward Dictator Magufuli are you not vexed by him also?

kujibu huku unaonesha kuwa umekubaliana na Mimi kuwa Uhuru Kenyatta siyo democratic kama wengi walivyodhani.

kuhusu Magufuli nashauri ufungue Uzi (topic or thread) wake mpya. lkn Yeye ni mdemokrasia kiasi fulani. na Mimi binafsi sitaki demokrasia uchwara eti mtu akikosea halafu anachekewa. nampenda Magufuli anavyofanya anapambana nao kisawasawa. sasa kwa kiasi kikubwa hakuna ujinga kama huu.
1. wizi wa makontena bandarini.
2. uuzaji wa madawa ya kulevya
3. uuzaji meno ya tembo
4. uzembe kwa watumishi wa umma
5. rushwa za waziwazi
na mengine mengi tu hata wewe unaweza kuongezea.
 
I C Nimekuleta Nilipokutaka,
1) Vile Vichwa vya Treni Kanunua nani
2) Anayechukia Rushwa anahonga Wabunge!
3) Anayechukia Uzembe anakingia Kifua mwenye vyeti feki
4) Air port Chato ni ya nini?
5) Anaweza asiuze tembo ila anaiba hazina na kumoa Lipumba

Magufuli is Useless, Mnafiki, Sadist na Incapable president. Ni Ovyo kuliko hata Amin Dada amejaa hila na Unyama zaifi ya Nyoka!
 
Umetema mapovu mengi sana. Pole sana mr. Ila iweke hili akilini, zile dili uchwara ktk awamu hii hakuna
 

Labda naweza jibu kama ifuatavyo:
1. Vyote hivyo hapo juu ulivyovitaja sina uhakika navyo, I need to work on them.
2. Halafu ni vyema tukawa na uzi mahsusi wa JPM, maana hapa siyo compare and contrast ya hao marais wawili.
3. Lingine ni kwamba kwa vyovyote hakuna kati ya wale walozuiliwa madili bandarini na kwingineko atakaye mpenda Magufuli, hata wewe binafsi sijajua JPM kakubana sehemu gani. Siajabu nawe ni mhanga wa utawala huu ambao haupendi utendaji wa kimazoea.
 
Kasage chupa unywe, nyoka yupo hadi 2025. Jaribu revolution uone raia watakavyokuchuna ngozi
 
Hii ndio inadhihirisha kabisa kuwa wewe ni punguani.
Zaidi ya punguani huyu jamaa, hana facts analeta maneno ya vijiweni kabisa, muulize aanze na hilo la vichwa vya train atueleze yeye anaelewa nini na serikali imekosea wapi?
 
Umetema mapovu mengi sana. Pole sana mr. Ila iweke hili akilini, zile dili uchwara ktk awamu hii hakuna

vijakazi wa mafisadi wanatamani ARDHI ipasuke waingie. wanapinga kila kitu bila hoja. vijakazi hawa walizoea kutumwa na mafisadi kupeleka mahitaji na noah kwa michepuko yao. nao walikuwa wanajipatia ulaji humo humo.
 

Tukikuomba ushahidi wa haya yote uliyoorodhesha, hutakuwa hata na mmoja zaidi ya porojo za wanasiasa wenu uchwara wanaowalisha matango poli maana hawana pa kutokea kwa sasa.
 
Tukikuomba ushahidi wa haya yote uliyoorodhesha, hutakuwa hata na mmoja zaidi ya porojo za wanasiasa wenu uchwara wanaowalisha matango poli maana hawana pa kutokea kwa sasa.

Mimi huwa nawashauri wakubaliane na hali, halafu wabadirike pia waache kulalamika kila wakati mambo yatawaendea shwaari kabisa.
 
focus on ur country...vilaza nyinyi
FYI, kila nchi hungazia masuala ya nchi nyingine! Inapobidi kudukua basi inafanyika!


Labda nikuilize, kuna tv station au radio hapo kwenu haina habari za kimataifa kwenye taarifa yake ya habari?

Ushajiuliza hili lina umuhimu gani au huwa unaona tu na kuondoka?
 
Kikundi cha mungiki ni cha nani?
 
Bahati mbaya like ni moja tu, unastahili likes 1,000 hivi
 
Bahati mbaya like ni moja tu, unastahili likes 1,000 hivi
Usijali hata Kidogo, Masokwe na Misukule wa CCM, the Sleepwalkers ni wengi hapa, hawaijui Dunia! Magufuli Angekuwa Nchi za Maana angekuwa Jela Tangu January!
 
Achana nae uyo kwasababu chadema wana mapenzi nae ndio maana wamenyamaza kimya mkuu.
Na nyie CCM Mna mapenzi na yule Dictator Uchwara asiye na Balls ndio maana hamwoni Uhalifu wake, Hila zake na Unafiki wa kufa Mtu!
 
Bs Huna hoja Unaleta Matusi? Kuna nililosema ambalo Maduduli hajalifanya?
 
Umetoka Kumtukana Mama yangu, Sasa unaniombea! ccm! Masikini za mashetani nyie unafiki Wenu hauna Mfano!
Kwanza acha kuleta mambo ya vyama hapa, wewe umeleta hoja sisi tunaipinga tunataka ujenge hoja kuthibitisha uliyosema, kwa hiyo kila anayekupinga ni CCM?, wewe eleza kuhusu vichwa vya train wewe unaona tatizo liko wapi?, uwe na ushaidi na kila unalosema, sio kuleta habari za watu wanachozungumza.

Pili inaonekana hata huna kumbukumbu, aliyeanza kuzungumza kuhusu habari za wazazi ni nani baada ya kukuambia utakuwa umelewa ulipoandika haya?, ninarudia tena, nina wasiwasi sana na uwezo wako wa akili
Kawatusije??

Mungu akusaidie, tutaendelea kukuombea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…