DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Aah wapi,No one like Him
Ni sawa na useme NO ONE LIKE RUNGWE (mzee WA ubwabwa)
Wakati Wewe unaona mwamba kabarikiwa kuhamasisha UBWABWA nchi nzima kwasababu una njaa zako.
Wenzio tunaona jamaa Ni kama kadata, Hana sera, analeta kampeni za kitoto kabisa.
Nchi Ina matatizo lukuki, yeye kakomaa tu na ubwabwa nchi nzima