Hivi, yupo Mwanafalsa kumzidi anayeitwa Yesu?

Hivi mkuu Ile habari ya mabikra 72 nayo Ni falsafa mtume s.a.w au kina shehe kipozeo Huwa wanatupanga🤔
 
Hitler akataka alipe kisasi kwa kuwafyeka wayahudi wote
Sio wayahudi TU, Hitler alikua psychopath yule. Ulaya nzima walionja joto lake.

Isingekua USA na RUSSIA kuingilia kati, ulaya nzima wangetawaliwa kikoloni Kama ilivokua Kwa AFRICA.

Maana by that time,mwamba alkua mbali Sana kijeshi Hadi kiteknolojia.

KIBURI NA TAMAA TU NDO VILIMPONZA
 
Nguruwe genisis yao ni watu kama mimi na wewe (wayahudi) kisa kimesimuliwa ktk quraan, na walimuomba nabii wapo (kama kumbu kumbu zangu zipo sawa alikua mtume Issa (a.s) , ALLAH (s.w) akawapa kile walicho omba na wakapewa sharti, lakini waka vunja hayo mashart, walipo amka asubuhi wanajiona nguruwe na manyani, mtume wao akawasemesha na kuwauliza mbona mmefanya tofauti basi walishindwa kuongea wakatoa ishara za kukubali kosa, waliishi siku kadhaa then wakafa wote.
Note nguruwe ana shaabiana na binaadamu ki biology (proved by science)
 
Unajua maana ya "mwanafalsafa(phylosopher)"? Kama basis ya ku mterm kama mwanafalsafa ni majibu ya mafumbo aliyokuwa anatumia basi wanafalsafa ni wengi tu kuna hawa pamoja na kazi zao zilizojaa mafumbo

1. Socrates – The Allegory of the Cave

2. Laozi – Tao Te Ching

3. Buddha – Parables from the Dhammapada and the Jataka Tales (e.g., The Parable of the Mustard Seed)

4. Rumi – Masnavi (filled with parables and allegorical stories)

5. Søren Kierkegaard – Either/Or and Fear and Trembling (e.g., The Clown and the Fire)

6. Friedrich Nietzsche – Thus Spoke Zarathustra (contains allegorical teachings)

7. Franz Kafka – Before the Law (a parable from The Trial)

Na hao niliokutajia kuna wenye title ya phylosophers .
 
Masharti gani ayo?
 
Haina haja ya nantiki ya yeyote zaidi ya kumsoma Mwenyewe Mwenyezi Mungu aliyeharamisha. Sababu ipo wazi kabisa:

Qur'an 6:145. Sema: Sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho harimishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayo mwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hiyo ni uchafu; au kwa upotofu
kwa jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini mwenye kushikwa na dharura, bila ya kutamani wala kupita mipaka, basi hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu. 145
 
Katika Tamathali za semi za jamii ya Yesu. Ukizungumzia tundu ya sindano ni kweli alikimaanisha tundu ya sindano. ?
 
Mh huyo si mungu kwa makanisa ,,,, sasa vipi mnamlinganisha na wanadamu alio waumba,,,?🙂
 
Masharti gani ayo?
Ok, waliomba wapewe chakula chenye hadhi, siyo tu chakula bali iwe meza iliyosheni Vyakula vizuri sna tena itoke mbinguni direct (kwa ALLAH s.w) , yaani hawa kutaka chakula kipikwe duniani, nabii wao aka waombe hao watu wake (wayahudi) meza ikaja wakala Na wakatosheka na ilikua almost wiki lakini waliambiawa na Allah wasifiche hicho chakula badala yake wawapelekee wenzao, walipopewa sharti wali kubali lakini kama Kawaida yao, wakaamua kuficha chakula, ndipo Allah akawafanya kuwa nguruwe na manyani. Mkuu hyo ni quraan nimekumegea at least
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…