Hivi yupo wapi msanii Tekno wa kipindi cha nyuma

Huyo tekno ni wa nchi gani mkuu? Anapiga nyimbo gani?
 
Kuna wakati tekno nimekuwa obsessed naye kabisa.
Yaani bila kusikia ngoma yake nilikuwa sielewi kabisa mpaka wadau wakaniitaga tekno chuoni.
Tekno aliugua koo, inaweza ikawa ndo sababu amekaa sana bila kuimba tena lakin vile vile ni producer, kaproduce ngoma kali kibao tu.
 
kama unaongelea kiki na kutrend kwenye Media basi jamaa yuko kimya kwa muda, ila kama unaongelea ngoma kali jamaa bado yupo vizuri sana isikilize ngoma yake mpya Skeletum utajua jamaa bado yupo vizuri
 
Tecno me namuelewA Sana tena mno. Alikuwa anaumwa cancer ya koo nadhan saizi yupo vizuri
 
Diana na where, ndio nyimbo nzuri nazozikubali mpaka kesho. Duro beat limetulia sana hasa ukisikilizia kwenye home theatre. If, ikawa nyongeza, sijui jamaa ndio alipiga beat la follow ya davido!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…