Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sawa mkuu siku njema siku nyingine leta hoja nzito usilete hoja za kishabika kama ulizotoa tuziamini

Kisaikolojia sio rahisi ukakili/ku Surrender mbele za watu, so next day think before publishing [emoji404][emoji404]
Mwanang @Mechanic97 sina baya na ww[emoji846][emoji846]
 
Kisaikolojia sio rahisi ukakili/ku Surrender mbele za watu, so next day think before publishing [emoji404][emoji404]
Mwanang @Mechanic97 sina baya na ww[emoji846][emoji846]
Ni surrender Kwa hoja zenu za kuwa na bahari beach ndio kuwa na uchumi mkubwa siju haytt regency aaah! Ngoja niendelee na Uzi wewe kwako umeshasema case closed.
 
Yaani njombe mbwana. Viwanda vya playwood ndio kwanza vinaanza, parachichi ndio usiseme. Kule ludewa kumenoga miti ya Makete nayo imepanda nau. Hafu ipo katikati ya matajiri yaani Ruvuma ng'o, iringa ng'o na mbeya ng'o. Ndio maana maji ya kitulo yanapeta, ikonda naye ananufaika kuwa katikati Nosci naye mnufaika. Makambako Nako mambo ni mengi. Hafu Dar isipigwe bao.
Hata ivo viwanda ya playwood na mbao ndoto zao ni Kuuza Dar hata ulima viazi ndoto zako ni kuja Kuuza Dar
 
Hata ivo viwanda ya playwood na mbao ndoto zao ni Kuuza Dar hata ulima viazi ndoto zako ni kuja Kuuza Dar
Mbona unakujikuta mjuaji sana wewe playwood zinaenda hadi china. mahindi wakenya wanakuja kung'ang'aniana. Parachiparachi Hadi ulaya Kuna viazi vinaenda Hadi uarubuni makaa ya mawe Dunia nzima chai na kahawa ulaya. NDIO MAANA SERIKALI HUWA INAFUNGA MIPAKA ILI WATU WA DAR WASIJE KUFA NJAA MAANA NI WATEJA WAHELA NDOGO
 
Mbona unakujikuta mjuaji sana wewe playwood zinaenda hadi china. mahindi wakenya wanakuja kung'ang'aniana. Parachiparachi Hadi ulaya Kuna viazi vinaenda Hadi uarubuni makaa ya mawe Dunia nzima chai na kahawa ulaya. NDIO MAANA SERIKALI HUWA INAFUNGA MIPAKA ILI WATU WA DAR WASIJE KUFA NJAA MAANA NI WATEJA WAHELA NDOGO
Komaa kulima matosa kwanza maana kwa upeo wako huwezi kuwa mfanyabiashara
 
Ukiijui ndo tutaongea kwa hoja kwasasa komaa kulima matosa na maparachichi kwanza
Kumbe umekariri kuwa mkoani Kuna kulima tu. Kwa akili hizi kama zako wacha wazungu na wachina waneemeke na nchi isiyo Yao huku wenye nchi wapo Dar sehemu ambako vijana wanashindia mlo mmoja huku wengine wakilala nje na waonajitahidi wapo kubeti kumtajirisha muhindi huku wengine wakilipwa buku nne Kwa muhindi wacha tu. Wahindi wawe matajiri wa dar na wakiwadharau juu. AFRICAN MENTALITY
 
Komaa kulima matosa kwanza maana kwa upeo wako huwezi kuwa mfanyabiashara
Checheche biashara zenu hizihizi za uchuuzi, udalali, kubeti, madawa ya kulevya, ukahaba, wanaume kuolewa au hamjui kuwa tunajua kuwa biashara nyingi hapo zenye kutumia akili na maarifa sio zenu ni za wageni
 
Kumbe umekariri kuwa mkoani Kuna kulima tu. Kwa akili hizi kama zako wacha wazungu na wachina waneemeke na nchi isiyo Yao huku wenye nchi wapo Dar sehemu ambako vijana wanashindia mlo mmoja huku wengine wakilala nje na waonajitahidi wapo kubeti kumtajirisha muhindi huku wengine wakilipwa buku nne Kwa muhindi wacha tu. Wahindi wawe matajiri wa dar na wakiwadharau juu. AFRICAN MENTALITY
Kwa akili zako na mawazo yako huwezi kuwa hata umewahi kufanya biashara achia mbali kujaribu
 
Checheche biashara zenu hizihizi za uchuuzi, udalali, kubeti, madawa ya kulevya, ukahaba, wanaume kuolewa au hamjui kuwa tunajua kuwa biashara nyingi hapo zenye kutumia akili na maarifa sio zenu ni za wageni
Ukahaba upo Kila mahali mkuu Hadi kwa walima matosa harafu huku sisi ndo wageni mlima matosa wenyeji wazaram
 
Kwa akili zako na mawazo yako huwezi kuwa hata umewahi kufanya biashara achia mbali kujaribu
Kama ni biashara ya uchuuzi nimewahi ifanya nasiji fanya tena siwezi fanya kitu kinachotumia akili NDOGO KAMA ZAKO. Afu ni chepesi Kila Mtu akijiskia anafanya.
 
Kama ni biashara ya uchuuzi nimewahi ifanya nasiji fanya tena siwezi fanya kitu kinachotumia akili NDOGO KAMA ZAKO. Afu ni chepesi Kila Mtu akijiskia anafanya.
Kwaiyo parachichi na matosa ndo unajiona umetumia akili kubwa unaweza kuwa ulitaka machinga wa leso mbili
 
Back
Top Bottom