Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 854
- 1,296
- Thread starter
-
- #21
Sijaseme dodoma itaipita dar Bali dodoma inapunguza makali ya dar hivyo inakuwa rahisi mikoa inayoingimbiza dar kuipitaDodoma itaifikia dar ya sasa hivi miaka 100 ijayo. Na wakati huo dar itakuwa imekua zaidi.
Hakuna mkoa unaoifukuzia Dar,imeiacha mbali hiyo mikoa,we sema dodoma soon itazipota mwanza na arushaSijasemea dodoma itaipita dar Bali dodoma itapunguza makali ya dar hivyo inaweza pitwa na mikoa mingine ambayo inaifukuzia
Sijasema dodoma itaipita dar Bali dodoma itapunguza makali ya dar hivyo itasaidia mikoa ambayo inaifukuzia kuipitaBora hata ungesema Mwanza lakini Dodoma badoooo sana
Umejuaje kua wewe ni mtoto mzuri? umetumia vigezo gani kujitambua kua wewe ni mzuri? wewe ni mzuri kwa kulinganishwa na nani?Kumbuka watoto wazuri wote tupo dar
Bata zote za kueleweka zipo dar
Haiwezi kupunguza kihivyo. Watu wanaongezeka na jiji linazidi kukua.Sijaseme dodoma itaipita dar Bali dodoma inapunguza makali ya dar hivyo inakuwa rahisi mikoa inayoingimbiza dar kuipita
Umeona statistics za iringa mkuuHakuna mkoa unaoifukuzia Dar,imeiacha mbali hiyo mikoa,we sema dodoma soon itazipota mwanza na arusha
Iringa umewahi kufika??hamna mji pale,bora mbeyaUmeona statistics za iringa mkuu
Asante sana mkuu nilikua naitafuta hii
Na bila kusahau California ndio state inayo changia pakubwa katika uchumi wa marekaniNew York haijawahi pitwa na Washington
Lagos haijawai pitwa na Abuja
Hiyo mizigo inatokea wapi?Zikijengwa hizi bandari kavu za kahama,makambako ,dodoma na tunduma ni wazi msongamano dsm utapungua na hata matokeo ya sensa yameongea tayari dsm ukuaji umepungua
INatoka dsm kumbuka mfumo wa usafirishaji unakuwa ni WA tren ko dar unatua na kutembea process zote zinaenda kwenye bandari hizoMiaka 1000 ijayo huenda utabiri wako ukatimia
Bandari ya kusafirisha mixigo. Nayo itajengwa DodomaWakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.
1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji dar es salaam.
2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.
3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya mtwara na ya mbambabay pia ujenzi wa reli ya mbambabay Hadi mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko mtwara.
4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.
5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile mwanza, makambako na dodoma kutapunzuza umaarufu wa dar.
Karibu Kwa mjadala
Mbona ipo inayopanuliwa ya mtwaraBandari ya kusafirisha mixigo. Nayo itajengwa Dodoma