Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Mleta mada hivi unajua kuwa kwa sasa zaidi ya 40% ya pato la taifa linazalishwa na Dar pekee.
Sasa ni vipi Dar ididimie halafu huko maporini paweze kuinuka?
Wewe fahamu tu, Ubongo, Uti wa mgongo na moyo wa taifa la Tanzania ni Dar, bila Dar hii nchi kiuchumi haiwezi kuikaribia hata Sudani kusini wala Burundi.
 
Umeona wawekezaji bado wanapendelea maeneo yaliyo karibu na bandari

Ndio maana kumekuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda mkoa wa Pwani hasa hapo Kibaha na Bagamoyo kwa sababu ni karibu na bandari ya Dar
Waliwekeza hivyo kutokana na watu wengi walikua dar na malighafi nyingi zilikua zinakuwa imported we fikilia kama tu makaa ya mawe nayo yalikuwa imported kutoka sauz afrika. Sasa kwanini wawekezaji wajenge mbali na dar lakini for now mambo ni tofauti kutokana na machine za kichina za bei nafuu kama vile xcmg , snlg watu hata wengine ni wazao wanajishughulisha na uchimbaji madini na uvunaji resources.
 
Waliwekeza hivyo kutokana na watu wengi walikua dar na malighafi nyingi zilikua zinakuwa imported we fikilia kama tu makaa ya mawe nayo yalikuwa imported kutoka sauz afrika. Sasa kwanini wawekezaji wajenge mbali na dar lakini for now mambo ni tofauti kutokana na machine za kichina za bei nafuu kama vile xcmg , snlg watu hata wengine ni wazao wanajishughulisha na uchimbaji madini na uvunaji resources.
Sio waliwekeza yaani tunapoongea sasa hivi mkoa wa Pwani viwanda vinajengwa kwa kasi sana.

Hatuzungumzii wakati uliopita tunazungumzia kinachoendelea sasa
 
Mleta mada hivi unajua kuwa kwa sasa zaidi ya 40% ya pato la taifa linazalishwa na Dar pekee.
Sasa ni vipi Dar ididimie halafu huko maporini paweze kuinuka?
Wewe fahamu tu, Ubongo, Uti wa mgongo na moyo wa taifa la Tanzania ni Dar, bila Dar hii nchi kiuchumi haiwezi kuikaribia hata Sudani kusini wala Burundi.
40% ya Pato la taifa? Mkuu sources please
 
Sio waliwekeza yaani tunapoongea sasa hivi mkoa wa Pwani viwanda vinajengwa kwa kasi sana.

Hatuzungumzii wakati uliopita tunazungumzia kinachoendelea sasa
Mkuu hiyo nikawaida kutokana viwanda vingi vya hapa bongo vinategemea marighafi kutoka nje lakini Kwa siku zinavyo zidi kwenda uvunaji wa malighafi unakuwa Kwa Kasi hivi we fikilia kama mradi wa ludewa ukikamilika sidhani kama kunamwekezaji atajenga kiwanda Cha nondo dar au pwani. Viwanda vikubwa sikuzote hufuata Cha kwanza huwa ni malighafi kiwanda Cha mufundi paper na dangote vimeprove haya.
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji dar es salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya mtwara na ya mbambabay pia ujenzi wa reli ya mbambabay Hadi mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile mwanza, makambako na dodoma kutapunzuza umaarufu wa dar.


Karibu Kwa mjadala
Unaongea ukiwa mkoa gani kwanza maana km ungekuwa dar usingethubutu hata kuwaza kuandika hii thread..
 
Njoo ukae mjini hata Mwaka mmoja utajiona jinsi gani ulivyoandika pumba hizi.
Yaani Nije huko ambako vijana wenzangu walioko huko wanaomba niwakope elfu tatu ya kula. Nije huko ambako vibarua wanalipwa elfu nne Kwa siku. Nije huko ambako mtu mpaka anazeeka Hana nyumba.
 
Yaani Nije huko ambako vijana wenzangu walioko huko wanaomba niwakope elfu tatu ya kula. Nije huko ambako vibarua wanalipwa elfu nne Kwa siku. Nije huko ambako mtu mpaka anazeeka Hana nyumba.
Kumbe unadeal na watu wenye kiwango hicho cha maisha, ndio maana umepuyanga.
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji dar es salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya mtwara na ya mbambabay pia ujenzi wa reli ya mbambabay Hadi mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile mwanza, makambako na dodoma kutapunzuza umaarufu wa dar.


Karibu Kwa mjadala
Nakataaa...........bado sana ..........hebu nitajie mtu au watu au taasisi au kikundi kinachomiliki rolls loyce curinan? Huko mkoani? Je bahkresa wa mkoani yupo? Masham love minyonyo yupo huko? Wale wanao oga barabarani pia huko mkoani wapo?
 
Back
Top Bottom