Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Mleta mada hivi unajua kuwa kwa sasa zaidi ya 40% ya pato la taifa linazalishwa na Dar pekee.
Sasa ni vipi Dar ididimie halafu huko maporini paweze kuinuka?
Wewe fahamu tu, Ubongo, Uti wa mgongo na moyo wa taifa la Tanzania ni Dar, bila Dar hii nchi kiuchumi haiwezi kuikaribia hata Sudani kusini wala Burundi.
Sasa ni vipi Dar ididimie halafu huko maporini paweze kuinuka?
Wewe fahamu tu, Ubongo, Uti wa mgongo na moyo wa taifa la Tanzania ni Dar, bila Dar hii nchi kiuchumi haiwezi kuikaribia hata Sudani kusini wala Burundi.