Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hakuna mkoa unaoifukuzia Dar,imeiacha mbali hiyo mikoa,we sema dodoma soon itazipota mwanza na arusha
Shida mmeamua kubishana ila ukweli ni kwamba serikal ikiamua kuacha uchumi flani ubaki kweny asili yake...trust me baada ya 10 years gap la dar na mikoa mingne litakua dogo kabisa.

Mikoa inayongoza kuwa na ongezeko kubwa la watu kwa sas ni dom,mwanza na dar tofauti na miaka ya nyuma unakuta dar ndo inaongoza kwa ongezeko la watu.

Sijui bandar kavu zitaopperate vipi ila nahisi kuna mapato ya bandar ya dar yatapungua.

Kanda ya ziwa ni nyumbani kwa madini ila HQ ziko dar na kodi zinalipa dar.Some changes zinafanyika hili la HQ kubaki sehem ya mradi itaipunguzia dar ushawishi kiuchumi.

Kuna watu huongelea NEW YORK NA WASHINGTON MARA ABUJA NA LAGOS SIJUI MUMBAI NA NEW DELHI HAO SIO TANZANIA SIS NI NI WALE ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI.

DODOMA ITAIPUNGUZIA POWER DAR HUKU MIKOA MINGINE IKIZIDI KUISOGELEA DAR NA KUIPITA KABISA.

SAIV MWANZA NDO MKOA UNAOONGOZA KWA NYUMBA ZINAZOENDELEA KUJENGWA HII NI ISHARA MWANZA INAKUA KULIKO SEHEM YOYOTE NCHINI
Duniani kote coastal cities huwa zinachangia sana uchumi wa nchi na ndipo miji mikubwa ya kibiashara ilipo na wawekezaji hupendelea kuwekeza kwa sababu ya uwepo wa bandari

Dar haitakuja kupigwa bao hata siku moja mkuu na hiyo mikoa uliyotaja
Vipi kuhusu nairobi na mombasa
 
Hali ya hewa ya Dodoma peke yake ni kichapo, mtu unapauka kama mdudu sometimes! Waliojiwekeza Dar toka mkoloni hawakukosea, sema ndio hivyo tena, kunavigezo waliona (kimtazamo wangu lakini), ndiyo maana mji huu umeendelea kdg. Dar ukidondoka tu, wiki mbili nyingi, unatakata!
Kuna watu nawajua tumesoma nao chuo, walikuwa wakienda likizo wakirudi wamebadilika rangi, ngoja wakae Dar wiki moja tu wameng'aa tena..,kuna mmoja anakovu maana ni mweusi akienda kwao Mbeya kovu huwa halionekana ila akija Dar wiki tu ngozi inang'aa na kovu linaonekana!
 
Shida mmeamua kubishana ila ukweli ni kwamba serikal ikiamua kuacha uchumi flani ubaki kweny asili yake...trust me baada ya 10 years gap la dar na mikoa mingne litakua dogo kabisa.

Mikoa inayongoza kuwa na ongezeko kubwa la watu kwa sas ni dom,mwanza na dar tofauti na miaka ya nyuma unakuta dar ndo inaongoza kwa ongezeko la watu.

Sijui bandar kavu zitaopperate vipi ila nahisi kuna mapato ya bandar ya dar yatapungua.

Kanda ya ziwa ni nyumbani kwa madini ila HQ ziko dar na kodi zinalipa dar.Some changes zinafanyika hili la HQ kubaki sehem ya mradi itaipunguzia dar ushawishi kiuchumi.

Kuna watu huongelea NEW YORK NA WASHINGTON MARA ABUJA NA LAGOS SIJUI MUMBAI NA NEW DELHI HAO SIO TANZANIA SIS NI NI WALE ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI.

DODOMA ITAIPUNGUZIA POWER DAR HUKU MIKOA MINGINE IKIZIDI KUISOGELEA DAR NA KUIPITA KABISA.

SAIV MWANZA NDO MKOA UNAOONGOZA KWA NYUMBA ZINAZOENDELEA KUJENGWA HII NI ISHARA MWANZA INAKUA KULIKO SEHEM YOYOTE NCHINI

Vipi kuhusu nairobi na mombasa
Ukiachana na HQ za hayo makumpuni kama serikali isenge ingia mikataba na makampuni ya kinyojaji. Kwa Sasa wazao wangeweza kuyachimba kutokana Sasa machine nyingi za kichina ni bei nafuu zamani ulikuwa hukwepi CAT na mwenzee KOMOTSU ila sahivi machine nizakichina kama vile XCMG, n.k
 
Sijasemea dodoma itaipita dar Bali dodoma itapunguza makali ya dar hivyo inaweza pitwa na mikoa mingine ambayo inaifukuzia
Mkuu wanabisha tu Ila hadi sasa Dar imepungua influence na Serikali ikihamia fully Dodoma itapungua zaidi.

Bandari kama Tanga na Mtwara zikifikia full operation na bandari kavu nyingine zikajengwa mikoa kama dodoma, nguvu yake kibishara itapungua zaidi unless bandari ya bagamoyo ije full kuzipiga stop

Bomba la mafuta Tanga, tourism na port vinaweza kurudisha supremacy ya Tanga kwenye viwanda

Hospitali mfano Bugando na Benjamin na zingine zilizojengwa kipindi cha Magu. Nyingi zinajifua kufanya huduma za kiafya kubwa tu kama upasuaji, nani ataifikiria muhimbili

Vyuo ndo kama hivyo Udom ishaarishaondoa supremacy ya Udsm kwenye ukubwa na inaanza kuifukuzia kwenye Quality.

Kiufupi kuna dalili nyingi tu zinaonesha Dar kupungua influence
 
Shida mmeamua kubishana ila ukweli ni kwamba serikal ikiamua kuacha uchumi flani ubaki kweny asili yake...trust me baada ya 10 years gap la dar na mikoa mingne litakua dogo kabisa.

Mikoa inayongoza kuwa na ongezeko kubwa la watu kwa sas ni dom,mwanza na dar tofauti na miaka ya nyuma unakuta dar ndo inaongoza kwa ongezeko la watu.

Sijui bandar kavu zitaopperate vipi ila nahisi kuna mapato ya bandar ya dar yatapungua.

Kanda ya ziwa ni nyumbani kwa madini ila HQ ziko dar na kodi zinalipa dar.Some changes zinafanyika hili la HQ kubaki sehem ya mradi itaipunguzia dar ushawishi kiuchumi.

Kuna watu huongelea NEW YORK NA WASHINGTON MARA ABUJA NA LAGOS SIJUI MUMBAI NA NEW DELHI HAO SIO TANZANIA SIS NI NI WALE ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI.

DODOMA ITAIPUNGUZIA POWER DAR HUKU MIKOA MINGINE IKIZIDI KUISOGELEA DAR NA KUIPITA KABISA.

SAIV MWANZA NDO MKOA UNAOONGOZA KWA NYUMBA ZINAZOENDELEA KUJENGWA HII NI ISHARA MWANZA INAKUA KULIKO SEHEM YOYOTE NCHINI

Vipi kuhusu nairobi na mombasa

Mkuu hali ipo wazi watu wanabisha bure tu. Dar ilikuzwa haikukua kama miji mingine, imagine shughuli zote za nchi zilikuwa Dar yaani mikoa mingine iliachwa yatima kabsaa. Kwa hii decentralization inayofanyika ni mtu asiye visionary ndo ataona Dar haitopungua influence

Imagine serikali iondoke fully, ina maanisha agencies zote zinazoitegemea serikali kwa tenders na vitu vingine zitahamia Dodoma

Wafanyakazi wooote watahamia dom

Msalato ikiisha huku embassies na mashirika ya kimataifa yahamie Dodoma ina maanisha hotel kubwa na real estates companies lazma ziione Dodoma kama sehemu ya kuwekeza

Hapo hujafikiria kama shughuli za kiuongozi na kiserikali zikihamia Dom, lazma ianzishwe media kubwa au zilizopo baadhi zihamie hapo ili kutoa taarifa nchi nzima

Haya kuna bandari kavu, SGR itapita, lazma biashara zitachanganya

Uzuri dom inakua kwa plan kwa hiyo sitegemei siku Dom iwe vagalanti kama Dar

Na uzuri serikali ikisema kitu kuhusu dom lazma kifanyike japo wasiwasi wangu tu ni kuwa dom inakuzwa na serikali, siku ikiacha kuiingizia hela ndo tutapata picha halisi kama itaweza kukua kwa kasi on its own. Japo kuwa kwenye top 3 ya majority kwa Tanzania haiepukiki
 
Mwana makambako unachekesha Sana
Dar inawaumiza Sana vichwa na mnajilaumu kwann hamkuzaliwa dar,
Lakini mamdogoo, nauli ya kutoka huko ulipo hadi huku dar si haifiki hata laki? Sasa si uje tu huku au nenda hata majiji mengine kama Mwanza na Arusha maana wenzako kibao wako huku wanafanya maisha,
Toka huko jangwani na porini uje huku mjini wanapoishi watu ,
Unaishi jangwani kwani we ngamia unataka kupandwa baasi tutakupanda,
Pori waachie simba,swala na wazee wa wrong turn tu we njoo jijini
 
Mashine zote zilizo katika viwanda hivyo zilipitia bandari ya Dar na wanunuzi wengi wako Dar na Mchina aki-export atatumia bandari ya Dar

Mchina alichofuata hapo ni urahisi wa uwepo wa malighafi
Wanunuz wakubwa wa mbao za mafinga wapo dar, zabibu za dodoma wapo dar, machungwa ya morogoro wapo dar, sato na sangara wale wataamu wanunuz wakuu wapo dar. Unakuta mtu anaduka la spea za magari mwanza anakuja kukunua kariakoo ndio akauze kwa watu mwanza huko yan leo kuna ligendaeke limeshiba maarage linakuja na statistics zake za kipuuz, me siwaelewag kwakweli. Hata mama Samia ikulu ipo dodoma ila akimaliza ziara yake anarudi dar hivi hawa watu hawashtuki tu ?…Rais wa kwanza Tanzania wakati anaumwa alikuwa dar, mwinyi yupo dar , kikwete yupo msoga ila everynow and then yupo dar , magufuli alidondoka akiwa dar na sio chato, Mo yupo dar, Simba na ya Yanga dar, Rais wa fifa kaja dar, Bakhresa yupo dar, Rostam Aziz yupo dar, Reginald Mengi alikuwa dar, aisee nilimwona K lyn juz msasani yupo na Range kali nae alipewa nyumba machame hataki yupo dar, jitu patel yupo dar, Jay Z alikuja dar, Obama alikuja Dar, sasa hata kama mtu kusoma hujui hata picha huoni ?
 
Wanunuz wakubwa wa mbao za mafinga wapo dar, zabibu za dodoma wapo dar, machungwa ya morogoro wapo dar, sato na sangara wale wataamu wanunuz wakuu wapo dar. Unakuta mtu anaduka la spea za magari mwanza anakuja kukunua kariakoo ndio akauze kwa watu mwanza huko yan leo kuna ligendaeke limeshiba maarage linakuja na statistics zake za kipuuz, me siwaelewag kwakweli. Hata mama Samia ikulu ipo dodoma ila akimaliza ziara yake anarudi dar hivi hawa watu hawashtuki tu ?…Rais wa kwanza Tanzania wakati anaumwa alikuwa dar, mwinyi yupo dar , kikwete yupo msoga ila everynow and then yupo dar , magufuli alidondoka akiwa dar na sio chato, Mo yupo dar, Simba na ya Yanga dar, Rais wa fifa kaja dar, Bakhresa yupo dar, Rostam Aziz yupo dar, Reginald Mengi alikuwa dar, aisee nilimwona K lyn juz msasani yupo na Range kali nae alipewa nyumba machame hataki yupo dar, jitu patel yupo dar, Jay Z alikuja dar, Obama alikuja Dar, sasa hata kama mtu kusoma hujui hata picha huoni ?
Umemaliza mkuu 🤣🤣🤣🙌
 
Wanavyosema hizo bandari kavu (ICDs) sijui zitafanya bandsri ya Dar idolole utafikiri hiyo mizigo itakuwa linashushwa kwejye hizo ICDs na ndege

ICDs zikiongezeka basi wajue na bandari ya Dar ina maana itakuwa busy zaidi
Si ndio manaake hii barabara ya mandela road iko busy sana wanataka waipunguzie majukumu miroli ni ming sana yan wanataka kwakifupi kuwapunguzia watu wanaoenda mbagala, tabata, na gonz mzigo wa folen sababu saivi hamna barabara ina folen kama hiyo ya ubungo buguruni masta, sa mtu yupo huko igwechana hajawah fika dar anatapika uharo hapa unamwangalia unacheka kimoyo kimoyo…
 
Back
Top Bottom