Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Exactly hazilingani kiuchumi lakini ni majiji yenye hadhi yake.

Mfano mwingine ni jo'burg, Durban and Pretoria

Kitu ambacho ni tofauti na huku ambapo dar ni kama lonely city maana serikali iliwekeza kila kitu katika mji mmoja.

Yaani chukua Dar na Dodoma ya 2010. Zilikuwa ni mbingu na ardhi ila kwa sasa kidogo Dom inaanza kupata ile hadhi inayostahili lakini wakati hili linafanyika. Lazma Dar ipungue influence

"Sijasema Dom itaipita Dar hivi karibuni kwa sababu bado imeipiga gap kubwa sana ila influence yake itapunguzwa kwa kiasi kikubwa"

"Zile zama za mtu akifikiria jambo lolote anaiona Dar, zinaisha ".hapa ndo point yangu kubwa ilipo mkuu
Kwa hiyo tukubaliane ile dhana ya Dom kuipita Dar ni ndoto za mchana
 
Watu hawalioni hili mkuu kwa sababu wana perception ya dar ndio Tanzania 😁😁

Kwa hiyo ukiwapa facts zingine ni lazma wapinge ila issue ipo wazi. Dar imekuzwa kwa serikali kufanya centralization ya shughuli zake zote lakini pia kudumaza maendeleo ya sehemu zingine. Imagine tuna bandari tatu lakini watu wote jicho lilikuwa dar

Hii situation utasema Dar ina strategic location au serikali ilitengeneza mazingira ya watu kuitumia Dar, zaidi
Mkuu uko sawa ila the deals anaongelea are too good to be done kwa muda ambao yeye anasema, na inawezekana algorithm ya vitu kama hizi ita pileup ku rise peoples hope ili hawa jamaa wapite the coming election vizuri lakin these are just stories man, we can all agree that 2005 waliwah kusema kufika 2015 tatizo la umeme litakuwa limekwisha na tutauza umeme nchi za nje right ? What year are we now and the country is experiencing shortage of power…These deals are too good to be done, somebody is trying to trick our minds, there is election coming in the near future, heads up people.
Tutafika tunapotaka kufika and thats a good thing ila sio kwa pace mnayosema ninyi inafika sehemu hata mtu wa mafinga anatukana Dar kweli mkuu ? Are they serious ?
 
Inaweza kutokea ila sio leo wala kesho
Alafu bro hakuna kitu huwa kinaniudh kama watu kama wewe ambao mnajua vitu vingi mnakuwa hampo frontline kuelekeza kipi kifanyikebili hii nchi iende mbele badala yake frontline unamkuta Mwijaku sasa kweli hapo DODOMA KUJA KUWA KAMA DAR SI NI NDOTO IZO ? Wanaonda kula Luch na weny madaraka sio wale wenye mawazo mbadala wa nini kifanyike ili Tanzania iwe hata na mikoa mi 5 kama dar badala yake unakuta lunch wanakula na kina gigy money and the likes, ndio mana me naona ni ndoto za alinacha hizo sehemu kuwa kama dar these people are not serious with whatever they are doing….
 
Mkuu uko sawa ila the deals anaongelea are too good to be done kwa muda ambao yeye anasema, na inawezekana algorithm ya vitu kama hizi ita pileup ku rise peoples hope ili hawa jamaa wapite the coming election vizuri lakin these are just stories man, we can all agree that 2005 waliwah kusema kufika 2015 tatizo la umeme litakuwa limekwisha na tutauza umeme nchi za nje right ? What year are we now and the country is experiencing shortage of power…These deals are too good to be done, somebody is trying to trick our minds, there is election coming in the near future, heads up people.
Tutafika tunapotaka kufika and thats a good thing ila sio kwa pace mnayosema ninyi inafika sehemu hata mtu wa mafinga anatukana Dar kweli mkuu ? Are they serious ?
Mkuu nakuelewa sana ila nimeweka high hopes kwa sababu naijua Dom na sio kwa kupita. Kwa kukaaa kabisaa

Dom ya 2010 ya leo ni vitu viwili tofauti kabisaa na kama kuna mkoa unaokua kwa kasi kuliko dodoma haupo Tanzania hii.

Ila ubaya unaendelezwa na serikali so, huwezi jua ni nini kitatokea pale serikali itapoweka less investment.

Ila mkuu usipate moto sana, dar ni dar tu 😁😁
 
Mkuu ivi kweli unasikiliza story za wanaccm aisee kwamba hivyo vitu vitaota kama uyoga kama umeme tu nchi hii ni tatizo ? Bro kimaandish yapo very very good ila kiutekelezaji ni tatizo kubwa sana, they are trying to contain you guys until you get them back into the white house, ndio wanavyofanyaga mkuu. Usikubali kuwa brainwashed kirahis hivyo mzee, i dont trust these people at all…Haya unayoyasema ni stori tu za wanasiasa ila nnachokisema mimi ni kitu kina tangible evidence man. Jaribu hata kurelate kidogo mkuu
Bandari ya mbambabay tayari ishaanza kujengwa. Barabara ya njombe ludewa tayari inaishia. Hivi Kwa Sasa baadhi ya makampuni yameeanza kuchimba Maka ya mawe ludewa serikali imelipa fidia wananchi liganga. Baadhi ya wazao wanajishughulisha na uhunzi. Sidhani kama hizi ni story za wanaccm
 
😁😁😁 sawa mkuu 🙏🏽
Mkuu nakubali. You are talking some good stuffs and very sensible not the other guy, yan eti saivi umchukue mtu umpeleke bahari beach, alafu saa hiyo hiyo umbebe umpeleke mafinga alafu tuseme huyo mtu hajawah kuja duniani sa atasema umemtoa peponi na umempeleka jehanam. I just dont understand hawa wanaofananisha wamefika dar wapi na wapi ? … Anyways mkuu nakubali sana, leo umenifundisha kitu ila mkuu…SALUTE MAN…
 
Alafu bro hakuna kitu huwa kinaniudh kama watu kama wewe ambao mnajua vitu vingi mnakuwa hampo frontline kuelekeza kipi kifanyikebili hii nchi iende mbele badala yake frontline unamkuta Mwijaku sasa kweli hapo DODOMA KUJA KUWA KAMA DAR SI NI NDOTO IZO ? Wanaonda kula Luch na weny madaraka sio wale wenye mawazo mbadala wa nini kifanyike ili Tanzania iwe hata na mikoa mi 5 kama dar badala yake unakuta lunch wanakula na kina gigy money and the likes, ndio mana me naona ni ndoto za alinacha hizo sehemu kuwa kama dar these people are not serious with whatever they are doing….
Mkuu system za siasa tulizonazo zipo kwa ajili ya kunufaisha watu binafsi na si kwa ajili ya future ya nchi hii

Nakumbuka nilipokuwa chuo, kuna hizi mambo za UVCCM zilikuwepo sanaaa na kuna vijana wengi walijiunga na wengine ni wale ambao hawakuipenda CCM kabisaa. Ila ndio gap la kula keki ya taifa lilipo, watafanyaje 😁

Pia kwa siasa za sasa za uchawa, ni aidha watu waliokosa competence au wale wanaoweza kujizima data ndio wanaweza pata interest za kuwa siasani. Ila kwa wengine si rahisi

Binafsi yangu nipo industry nyingine na sitegemei kuingia siasani wala serikalini unless huko mbele yatokee nisioyajua as in "never say never"
 
Mkuu nakubali. You are talking some good stuffs and very sensible not the other guy, yan eti saivi umchukue mtu umpeleke bahari beach, alafu saa hiyo hiyo umbebe umpeleke mafinga alafu tuseme huyo mtu hajawah kuja duniani sa atasema umemtoa peponi na umempeleka jehanam. I just dont understand hawa wanaofananisha wamefika dar wapi na wapi ? … Anyways mkuu nakubali sana, leo umenifundisha kitu ila mkuu…SALUTE MAN…
Shukrani mkuu 🙏🏽🙏🏽
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.


Karibu Kwa mjadala
Yaani ipitwe na hii dodoma yenye vimbi?? Maisha ghali, kupata matunda tu na baadhi ya mboga mpaka utembelee km 5 ukiwa baadhi ya maeneo... ni very unfriendly town kwangu... sioni ikiipita dar hivi karibuni labda naada ya miaka 50 na hapo far iwe imesimama tu maana na huku pia kuna miradi mikibwa ya maendeleo...
 
Hui
Shida mmeamua kubishana ila ukweli ni kwamba serikal ikiamua kuacha uchumi flani ubaki kweny asili yake...trust me baada ya 10 years gap la dar na mikoa mingne litakua dogo kabisa.

Mikoa inayongoza kuwa na ongezeko kubwa la watu kwa sas ni dom,mwanza na dar tofauti na miaka ya nyuma unakuta dar ndo inaongoza kwa ongezeko la watu.

Sijui bandar kavu zitaopperate vipi ila nahisi kuna mapato ya bandar ya dar yatapungua.

Kanda ya ziwa ni nyumbani kwa madini ila HQ ziko dar na kodi zinalipa dar.Some changes zinafanyika hili la HQ kubaki sehem ya mradi itaipunguzia dar ushawishi kiuchumi.

Kuna watu huongelea NEW YORK NA WASHINGTON MARA ABUJA NA LAGOS SIJUI MUMBAI NA NEW DELHI HAO SIO TANZANIA SIS NI NI WALE ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI.

DODOMA ITAIPUNGUZIA POWER DAR HUKU MIKOA MINGINE IKIZIDI KUISOGELEA DAR NA KUIPITA KABISA.

SAIV MWANZA NDO MKOA UNAOONGOZA KWA NYUMBA ZINAZOENDELEA KUJENGWA HII NI ISHARA MWANZA INAKUA KULIKO SEHEM YOYOTE NCHINI

Vipi kuhusu nairobi na mombasa
Huijui dar wala kariakoo kiundani,
 
Mkuu nakuelewa sana ila nimeweka high hopes kwa sababu naijua Dom na sio kwa kupita. Kwa kukaaa kabisaa

Dom ya 2010 ya leo ni vitu viwili tofauti kabisaa na kama kuna mkoa unaokua kwa kasi kuliko dodoma haupo Tanzania hii.

Ila ubaya unaendelezwa na serikali so, huwezi jua ni nini kitatokea pale serikali itapoweka less investment.

Ila mkuu usipate moto sana, dar ni dar tu 😁😁
Yeahnajua Fom pia, nna jamaangu amejenga kule ilazo, its a nice place ba nimeona nyumba zinafanana na nyumba zilizopo dar NASALUTE SANA MAN… ILA DAR NI SWALA LINGINE MKUU. Niliwah kufanya kazi ya kuzunguka mkoa kwa mkoa man nachoweza kusema kuna sehemu mkuu bado saaaaaana yan daaah mwanangu hii nchi kubwa sanaaa na sehemu kubwa haina watu kabisa yan 75 percent ya tanzania ni mapori unaweza sema wanyama ni wengi kuliko binadamu Tanzania mkuu…ILAZO A NICE PLACE nlikula sausage choma zile zinatengenezwa kenya na tulinunua shoprite kama sikosei na by that time nlikuwa sijui kama kuna shoprite Dom, tukafanya kahouse party ketu pale tukaenjoi ila pia 80% ya watu walokuwepo ni watu wa dar so bado inabid Dar uisalute…nikiendaga bambalaga na pale sijui wapi nimesahau jina sikosi mtu nnaemjua wa kumkuta viwanjani Dar ila anyways KUDOS again man..
 
Mkuu system za siasa tulizonazo zipo kwa ajili ya kunufaisha watu binafsi na si kwa ajili ya future ya nchi hii

Nakumbuka nilipokuwa chuo, kuna hizi mambo za UVCCM zilikuwepo sanaaa na kuna vijana wengi walijiunga na wengine ni wale ambao hawakuipenda CCM kabisaa. Ila ndio gap la kula keki ya taifa lilipo, watafanyaje 😁

Pia kwa siasa za sasa za uchawa, ni aidha watu waliokosa competence au wale wanaoweza kujizima data ndio wanaweza pata interest za kuwa siasani. Ila kwa wengine si rahisi

Binafsi yangu nipo industry nyingine na sitegemei kuingia siasani wala serikalini unless huko mbele yatokee nisioyajua as in "never say never"
Same here man, I salute 👍👍👍
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.


Karibu Kwa mjadala
Dar itapigwa bao na mkoa upi?
 
Back
Top Bottom