Hiyo Tarehe 29 Hali itakavyokua huko staff

Mwezi wa nane pia kama nilimsikia vizuri waziri alisema kutakuwa na "kijilikizo", nadhani hicho ndo kitakaviwa na hayo masaa mawili.
 
Mimi: sa sikiliza shule ndo hivyo mnafungua tarehe 29 hiyo mimba Fanya kuitoa mapema wasigundue usije kuniletea matatizo nina wazazi wananitegemea


Eliza: hapana mi naogopa kufa halafu pia ni dhambi


mimi : eboo yani mi nikafie jela kisa uwoga wako embu acha mambo yako ya ajabu ndo nshasema hivyo kesho tunaenda toa
 
[emoji119][emoji119][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naipenda Sana hii fani ya Ualimu kwakweli!! Mkui umeidadavua poa adi imenipa hamasa ya kupiga kazi[emoji120][emoji108]
 
Hilo lizungu lilikuwa boya tu
 
Naipenda Sana hii fani ya Ualimu kwakweli!! Mkui umeidadavua poa adi imenipa hamasa ya kupiga kazi[emoji120][emoji108]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji736][emoji736][emoji736]
 
Mimi kama professional teacher wa English nimejisikia vibaya mnavyojidai mnatujua.

Mtuache na kazi yetu ya ualimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…