Hiyo Tarehe 29 Hali itakavyokua huko staff

Hiyo Tarehe 29 Hali itakavyokua huko staff

PICHA LINAANZA
"Yule Mwalimu aliyezoea kuwahi kama kawaida saa 12:30 tayari yupo shuleni"

MUDA UNAZIDI KWENDA
Walimu karibu wote wameshafika staff

MARA GHAFLA
"Kanaingia kale ka madam kazuri kuliko wote staff. Kanaonekana kamekonda kidogo tofauti na mwanzo. Kanasalimia"
Miss staff: habari zenu walimu
Wanaitikia walimu wawili tu kati ya walimu 15

WABIASHARA NAO WAPO

Madam Asha: Jamani walimu nauza barakoa
"Walimu wote wanacheka kwa sauti wakuropoka nae karopoka.... Hee hee hee barakoa hizo kwiooo..."

KWA MBALI
Anaonekana mwalim Masamela ndo anaingia shuleni.. walimu wawili wa kike wanamuona kupitia dirisha..
Madam Joy: muoneni yule baba ananikera na suruali lake Lile kama kung'utio la mashineni
Madam Linda: muache baba wa watu kwa raha zake

MTAALUMA NAE
"Jamani walimu kumbukeni kuleta maandalio yenu kabla hamjaingia darasani"
Madam Eliza: we nawe una kihere here Yani watu hata hatujapumua umeanza na maandalio yako...

HUKU MWALIMU MNEMELE NAE ANAMWITA MWANAFUNZI
Mwl MNEMELE: "Hebu ng'ombe mmoja aje hapa nimtume"
MARA MWALIMU MKUU KAINGIA STAFF..
"Jamani walimu sa nne tutakua na kikao kwa hiyo msiondoke"...
Sir adam: chai ipo boss?
Mkuu: chai ipo ila vitafunwa mtajitegemea
Madam Tunu: Yani niache kwenda kunywa chai ya maziwa kwangu ninywe michai ya rangi iyo kazi sifanyi Mimi

SIR MADENGE NAYE ANAONEKANA ANAPEKUA KWENYE MABOX KISHA ANAANZA KULALAMA
"Yani hii staff bwanaa cku tunafunga shule niliacha vifaa vyangu vyote hapa sijui kuku gani kaja kuvihamisha sivioni
Mwl mkuu: "mwl MADENGE vifaa vyako nilivihamishia maana hapo niliona hapako salama sana"...

NAYE CHAPOMBE WA SHULE ANAWAZA KIMOYOMOYO
"Yani ngoja niombe ruhusa tu niseme naenda hospital nikapumzike nyumbani mie akili yangu Leo haipo sawa"

WALIMU
" wanaanza kuingia darasani mmoja mmoja hatimae ofisini wanabaki walimu wawili tu madam Anne na sir Chande
Madam Anne: niliku miss bebe wangu
Sir chande: mi mwenyewe nilikumiss kweli..

NB: Nawatakia maandaliza mema
[emoji1787][emoji1787]
 
Mwalimu mkuu : hivi Mr Mlevi mmoja ndo muda gani wa kuripoti shule mpaka kikao tumemaliza we haupo hivi ni shule gani umeona kuna utaratibu wa hovyo kiasi hicho .


Huku pombe zikiwa bado zipo kichwani akiwa anayumba yumba kidogo huku amevaa shati lake limejikunja halijapigwa pasi na suruali nyeusi iliyopauka anajibu


Mr mlevi mmoja :hii shule au kichuguu .tusichoshane hapa


Mwalimu mkuu: halafu unakujaje umelewa hayo sio maadili ya kazi kwanza utafundishaje


Mr mlevi : hizi ng'ombe unadhani zinaelewa basi halafu mbona mi sijalewa na hata nikinywa pombe huo ni mshahara wangu we haukuhusu .we mbona unanunua chipsi funga na hatusemi

Mwalimu mkuu : kausha basi we mtu ni mtu mzima ( akimbembeleza kwa sauti ndogo)

Mara madam Anna anadakia maongezi


Madam Anna : jamani sio vizuri Mr mlevi unachofanya unajishushia heshima hata wanafunzi wanakucheka huoni una jina zuri lakini wanafunzi washakupa nick name mwalimu mlevi


Mr mlevi : hakuna mwalimu ambae hana nick name we mwenyewe wanakuita madam cha wote .eti unajijushia heshima ( huku akiigiza sauti ya madam Anna kwa kebehi ) .kama ungekuwa unaijua heshima usingekuwa unagongwa na kila mwalimu wa field anaye kuja unadhani hatujui





Mr mlevi anatoka ofsini akipiga mluzi akielekea darasa la saba kufundisha hesabu


Akiwa darasani

Wanafunzi : shikamoo mwalimuuuu

Mr mlevi: sitaki salamu zenu na siku nikija kugundua ananiita mlevi nitakuja kumpiga mabanzi *****

Wanafunzi wanacheka


Mr mlevi : halafu Merry nilikwambia unione haukuja hii ni dharau kwahyo mi ni ng'ombe sio
😅😅😅😅😅
 
Mshana bwana huwa nakukubali sana wewe kila kitu una idea nacho ndio maana vilaza wengi hawakupendi ila sisi magreat thinkers tunakuheshimu kinyama
 
Mshana bwana huwa nakukubali sana wewe kila kitu una idea nacho ndio maana vilaza wengi hawakupendi ila sisi magreat thinkers tunakuheshimu kinyama
[emoji109][emoji123][emoji120][emoji736][emoji736][emoji848][emoji23]wasinipenda nawapenda sana
 
Hapo kwa madamu anne umapatia kabisa, nilisoma shule moja kulikuwa na ticha anaitwa anne alikuwa ni balaa. Kuna kipindi alikuja mwalimu mzungu kutoka USA kuja kufundisha pale, basi anne akawa anajiwekaweka karibu na mzungu hadi yule mzungu akaenda kushtaki kwa mkuu wa shule.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kausha fursa hiyo
 
Duuh hatar fayaaa Kuna mmoja alikuja hospital kupima Juz Kitu imo
Jamaa alichanganyikiwa network ikakata ananiomba msaada
Dogo yupo form four Uuuwiiii Uuuwiiii majanga jamaa anaona jela hii hapa live

Mkuyenge umesinyaa umekua Mdogo kama wa mtoto mchanga

Aise haya mambo yasikie Kwa mwenzako tuu utatamani kunywa sumu kabsaa
Hawa wanafunzi waoneni tuu hapo road ni hatar Sana
Mimi: sa sikiliza shule ndo hivyo mnafungua tarehe 29 hiyo mimba Fanya kuitoa mapema wasigundue usije kuniletea matatizo nina wazazi wananitegemea


Eliza: hapana mi naogopa kufa halafu pia ni dhambi


mimi : eboo yani mi nikafie jela kisa uwoga wako embu acha mambo yako ya ajabu ndo nshasema hivyo kesho tunaenda toa
 
Mimi kama professional teacher wa English nimejisikia vibaya mnavyojidai mnatujua.

Mtuache na kazi yetu ya ualimu.
Wewe ndiyo unatafuna Watoto wetu wewe Kwa taarifa yako anza kutembea na Vaseline huwez kutuharibia Watoto wetu
 
Madam Anne : bebi funga mlango basi unipige kimoja fasta cha ufunguzi

Sir Chande : bebi acha utani basi yaani unataka tufumaniwe na yule chapombe hapa staff room?


Madam Anne :acha ufala bebi mie wala siogopi kitu nitainama tu na wewe utakuja nyuma yangu na kuingiza fasta mchezo unaisha ❤️

Sir Chande : haya inama ss niingize bebi fasta....

Madam Anne : hapo hapo bebii aaaashhh❤️❤️


Hao ndio maticha wa wanetu yaaani ni shida
 
[kilaza mwenyewe QUOTE="KISIWAGA, post: 35802628, member: 333861"]
Mshana bwana huwa nakukubali sana wewe kila kitu una idea nacho ndio maana vilaza wengi hawakupendi ila sisi magreat thinkers tunakuheshimu kinyama
[/QUOTE]
 
Haya mambo yupo sana kwenye staff za walimu ukiingia hakuna alienuna, Ualimu raha jamani
 
Yan hapo kwa Madan Asha Kama Asha wa shule fulan vile. Hiyo ya bila vitafunwa n hatari sana
 
Back
Top Bottom