Hiyo Tarehe 29 Hali itakavyokua huko staff

Hiyo Tarehe 29 Hali itakavyokua huko staff

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
PICHA LINAANZA
"Yule Mwalimu aliyezoea kuwahi kama kawaida saa 12:30 tayari yupo shuleni"

MUDA UNAZIDI KWENDA
Walimu karibu wote wameshafika staff

MARA GHAFLA
"Kanaingia kale ka madam kazuri kuliko wote staff. Kanaonekana kamekonda kidogo tofauti na mwanzo. Kanasalimia"
Miss staff: habari zenu walimu
Wanaitikia walimu wawili tu kati ya walimu 15

WABIASHARA NAO WAPO

Madam Asha: Jamani walimu nauza barakoa
"Walimu wote wanacheka kwa sauti wakuropoka nae karopoka.... Hee hee hee barakoa hizo kwiooo..."

KWA MBALI
Anaonekana mwalim Masamela ndo anaingia shuleni.. walimu wawili wa kike wanamuona kupitia dirisha..
Madam Joy: muoneni yule baba ananikera na suruali lake Lile kama kung'utio la mashineni
Madam Linda: muache baba wa watu kwa raha zake

MTAALUMA NAE
"Jamani walimu kumbukeni kuleta maandalio yenu kabla hamjaingia darasani"
Madam Eliza: we nawe una kihere here Yani watu hata hatujapumua umeanza na maandalio yako...

HUKU MWALIMU MNEMELE NAE ANAMWITA MWANAFUNZI
Mwl MNEMELE: "Hebu ng'ombe mmoja aje hapa nimtume"
MARA MWALIMU MKUU KAINGIA STAFF..
"Jamani walimu sa nne tutakua na kikao kwa hiyo msiondoke"...
Sir adam: chai ipo boss?
Mkuu: chai ipo ila vitafunwa mtajitegemea
Madam Tunu: Yani niache kwenda kunywa chai ya maziwa kwangu ninywe michai ya rangi iyo kazi sifanyi Mimi

SIR MADENGE NAYE ANAONEKANA ANAPEKUA KWENYE MABOX KISHA ANAANZA KULALAMA
"Yani hii staff bwanaa cku tunafunga shule niliacha vifaa vyangu vyote hapa sijui kuku gani kaja kuvihamisha sivioni
Mwl mkuu: "mwl MADENGE vifaa vyako nilivihamishia maana hapo niliona hapako salama sana"...

NAYE CHAPOMBE WA SHULE ANAWAZA KIMOYOMOYO
"Yani ngoja niombe ruhusa tu niseme naenda hospital nikapumzike nyumbani mie akili yangu Leo haipo sawa"

WALIMU
" wanaanza kuingia darasani mmoja mmoja hatimae ofisini wanabaki walimu wawili tu madam Anne na sir Chande
Madam Anne: niliku miss bebe wangu
Sir chande: mi mwenyewe nilikumiss kweli..

NB: Nawatakia maandaliza mema
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
SEHEMU YA PILI

Huo ulikuwa utani hebu tuje kwenye hoja sasa

Soma hoja hizo



HOJA YA KWANZA
Likizo za wanafunzi zipo hivi =
a) Likizo ya mwezi wa nne week mbili=14
b) Likizo ya mwezi wa sita = siku 30
c) Likizo ya mwezi wa tisa siku= 14
d) Likizo ya mwezi wa kumi na mbili = siku 30
Ukijumlisha hizo namba ni miezi mitatu.
Ukiangalia hapo utagundua ni sawa na kusema Likizo za mwaka mzima ambazo zipo kisheria kabisa zimewekwa sehemu moja hivyo mwanafunzi hajapoteza mda wake wowote. Ndiyo hii miezi mitatu ambayo wanafunzi wamekuwa nyumbani kwa ajili ya korona.

HOJA YA PILI 2
Siku ambazo wanafunzi wanapaswa kukaa darasani akifundishwa hazijapunguzwa hata siku moja (194-197) kama hatuamini zihesabu na ndiyo maana tarehe ya kufungwa imesogezwa hadi tarehe 18/12/2020 ili ziweze kukamilika. Hesabu kuanzia shule ilipofunguliwa tarehe 07/01/2020 - 17/03/2020 na tarehe 29/06/2020 - 18/12/2020 utagundua hakuna kupunjwa.

HOJA YA TATU
Pamoja na ukweli kwamba siku za kusoma (194-197) zipo sawa kabisa lakini maelekezo ya serikali ni kwamba yaongezwe masaa mawili kila siku za masomo hivyo mda wa masomo (unaweza ukaanza 07:00 asubuhi-5:30 jioni). Kisheria hapa itabidi shule iingie mfukoni kuwalipa waalimu mda ulioongezwa (over time) fedha ambayo nina hakika haipo kwenye bajeti. Kwa sehemu kubwa hapa walio na faida ni watoto kwa sababu kwenye siku za masomo wameongezewa masaa mawili kila siku za ufundishaji. HUU SI MSAAFU NI MAWAZO TU.
 
chapombe wa shule ndio kaua... maana ye ndio anaeona nyota nyota zaidi[emoji3061][emoji3061]
NAE CHAPOMBE WA SHULE ANAWAZA KIMOYOMOYO
"Yani ngoja niombe ruhusa tu niseme naenda hospital nikapumzike nyumbani mie akili yangu Leo haipo sawa"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SEHEMU YA PILI

Huo ulikuwa utani hebu tuje kwenye hoja sasa

Soma hoja hizo



HOJA YA KWANZA
Likizo za wanafunzi zipo hivi =
a) Likizo ya mwezi wa nne week mbili=14
b) Likizo ya mwezi wa sita = siku 30
c) Likizo ya mwezi wa tisa siku= 14
d) Likizo ya mwezi wa kumi na mbili = siku 30
Ukijumlisha hizo namba ni miezi mitatu.
Ukiangalia hapo utagundua ni sawa na kusema Likizo za mwaka mzima ambazo zipo kisheria kabisa zimewekwa sehemu moja hivyo mwanafunzi hajapoteza mda wake wowote. Ndiyo hii miezi mitatu ambayo wanafunzi wamekuwa nyumbani kwa ajili ya korona.

HOJA YA PILI 2
Siku ambazo wanafunzi wanapaswa kukaa darasani akifundishwa hazijapunguzwa hata siku moja (194-197) kama hatuamini zihesabu na ndiyo maana tarehe ya kufungwa imesogezwa hadi tarehe 18/12/2020 ili ziweze kukamilika. Hesabu kuanzia shule ilipofunguliwa tarehe 07/01/2020 - 17/03/2020 na tarehe 29/06/2020 - 18/12/2020 utagundua hakuna kupunjwa.

HOJA YA TATU
Pamoja na ukweli kwamba siku za kusoma (194-197) zipo sawa kabisa lakini maelekezo ya serikali ni kwamba yaongezwe masaa mawili kila siku za masomo hivyo mda wa masomo (unaweza ukaanza 07:00 asubuhi-5:30 jioni). Kisheria hapa itabidi shule iingie mfukoni kuwalipa waalimu mda ulioongezwa (over time) fedha ambayo nina hakika haipo kwenye bajeti. Kwa sehemu kubwa hapa walio na faida ni watoto kwa sababu kwenye siku za masomo wameongezewa masaa mawili kila siku za ufundishaji. HUU SI MSAAFU NI MAWAZO TU.
hakuna namna... wazazi walipe ada tu
 
Watoto wetu walivyo wataona shule inawabana walimu wanawaonea kama hiyo ya kuingia saa moja na kutoka jioni itafuatwa.
 
MWALIMU WA CHAKULA: Mkuu kule stoo maharage yamegeuka wadudu na unga umekua mweusi nahisi utakua mchungu.

MKUU: Uliona wapi maharage yanamwagwa sababu yana wadudu. Jiongeze
[emoji848][emoji87][emoji44][emoji23][emoji23]
 
Hapo kwa madamu anne umapatia kabisa, nilisoma shule moja kulikuwa na ticha anaitwa anne alikuwa ni balaa. Kuna kipindi alikuja mwalimu mzungu kutoka USA kuja kufundisha pale, basi anne akawa anajiwekaweka karibu na mzungu hadi yule mzungu akaenda kushtaki kwa mkuu wa shule.😀😀😀😀
 
Hapo kwa madamu anne umapatia kabisa, nilisoma shule moja kulikuwa na ticha anaitwa anne alikuwa ni balaa. Kuna kipindi alikuja mwalimu mzungu kutoka USA kuja kufundisha pale, basi anne akawa anajiwekaweka karibu na mzungu hadi yule mzungu akaenda kushtaki kwa mkuu wa shule.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwalimu mkuu : hivi Mr Mlevi mmoja ndo muda gani wa kuripoti shule mpaka kikao tumemaliza we haupo hivi ni shule gani umeona kuna utaratibu wa hovyo kiasi hicho .


Huku pombe zikiwa bado zipo kichwani akiwa anayumba yumba kidogo huku amevaa shati lake limejikunja halijapigwa pasi na suruali nyeusi iliyopauka anajibu


Mr mlevi mmoja :hii shule au kichuguu .tusichoshane hapa


Mwalimu mkuu: halafu unakujaje umelewa hayo sio maadili ya kazi kwanza utafundishaje


Mr mlevi : hizi ng'ombe unadhani zinaelewa basi halafu mbona mi sijalewa na hata nikinywa pombe huo ni mshahara wangu we haukuhusu .we mbona unanunua chipsi funga na hatusemi

Mwalimu mkuu : kausha basi we mtu ni mtu mzima ( akimbembeleza kwa sauti ndogo)

Mara madam Anna anadakia maongezi


Madam Anna : jamani sio vizuri Mr mlevi unachofanya unajishushia heshima hata wanafunzi wanakucheka huoni una jina zuri lakini wanafunzi washakupa nick name mwalimu mlevi


Mr mlevi : hakuna mwalimu ambae hana nick name we mwenyewe wanakuita madam cha wote .eti unajijushia heshima ( huku akiigiza sauti ya madam Anna kwa kebehi ) .kama ungekuwa unaijua heshima usingekuwa unagongwa na kila mwalimu wa field anaye kuja unadhani hatujui





Mr mlevi anatoka ofsini akipiga mluzi akielekea darasa la saba kufundisha hesabu


Akiwa darasani

Wanafunzi : shikamoo mwalimuuuu

Mr mlevi: sitaki salamu zenu na siku nikija kugundua ananiita mlevi nitakuja kumpiga mabanzi *****

Wanafunzi wanacheka


Mr mlevi : halafu Merry nilikwambia unione haukuja hii ni dharau kwahyo mi ni ng'ombe sio
 
PICHA LINAANZA
"Yule Mwalimu aliyezoea kuwahi kama kawaida saa 12:30 tayari yupo shuleni"

MUDA UNAZIDI KWENDA
Walimu karibu wote wameshafika staff

MARA GHAFLA
"Kanaingia kale ka madam kazuri kuliko wote staff. Kanaonekana kamekonda kidogo tofauti na mwanzo. Kanasalimia"
Miss staff: habari zenu walimu
Wanaitikia walimu wawili tu kati ya walimu 15

WABIASHARA NAO WAPO

Madam Asha: Jamani walimu nauza barakoa
"Walimu wote wanacheka kwa sauti wakuropoka nae karopoka.... Hee hee hee barakoa hizo kwiooo..."

KWA MBALI
Anaonekana mwalim Masamela ndo anaingia shuleni.. walimu wawili wa kike wanamuona kupitia dirisha..
Madam Joy: muoneni yule baba ananikera na suruali lake Lile kama kung'utio la mashineni
Madam Linda: muache baba wa watu kwa raha zake

MTAALUMA NAE
"Jamani walimu kumbukeni kuleta maandalio yenu kabla hamjaingia darasani"
Madam Eliza: we nawe una kihere here Yani watu hata hatujapumua umeanza na maandalio yako...

HUKU MWALIMU MNEMELE NAE ANAMWITA MWANAFUNZI
Mwl MNEMELE: "Hebu ng'ombe mmoja aje hapa nimtume"
MARA MWALIMU MKUU KAINGIA STAFF..
"Jamani walimu sa nne tutakua na kikao kwa hiyo msiondoke"...
Sir adam: chai ipo boss?
Mkuu: chai ipo ila vitafunwa mtajitegemea
Madam Tunu: Yani niache kwenda kunywa chai ya maziwa kwangu ninywe michai ya rangi iyo kazi sifanyi Mimi

SIR MADENGE NAYE ANAONEKANA ANAPEKUA KWENYE MABOX KISHA ANAANZA KULALAMA
"Yani hii staff bwanaa cku tunafunga shule niliacha vifaa vyangu vyote hapa sijui kuku gani kaja kuvihamisha sivioni
Mwl mkuu: "mwl MADENGE vifaa vyako nilivihamishia maana hapo niliona hapako salama sana"...

NAYE CHAPOMBE WA SHULE ANAWAZA KIMOYOMOYO
"Yani ngoja niombe ruhusa tu niseme naenda hospital nikapumzike nyumbani mie akili yangu Leo haipo sawa"

WALIMU
" wanaanza kuingia darasani mmoja mmoja hatimae ofisini wanabaki walimu wawili tu madam Anne na sir Chande
Madam Anne: niliku miss bebe wangu
Sir chande: mi mwenyewe nilikumiss kweli..

NB: Nawatakia maandaliza mema
Hahahahahaha
 
PICHA LINAANZA
"Yule Mwalimu aliyezoea kuwahi kama kawaida saa 12:30 tayari yupo shuleni"

MUDA UNAZIDI KWENDA
Walimu karibu wote wameshafika staff

MARA GHAFLA
"Kanaingia kale ka madam kazuri kuliko wote staff. Kanaonekana kamekonda kidogo tofauti na mwanzo. Kanasalimia"
Miss staff: habari zenu walimu
Wanaitikia walimu wawili tu kati ya walimu 15

WABIASHARA NAO WAPO

Madam Asha: Jamani walimu nauza barakoa
"Walimu wote wanacheka kwa sauti wakuropoka nae karopoka.... Hee hee hee barakoa hizo kwiooo..."

KWA MBALI
Anaonekana mwalim Masamela ndo anaingia shuleni.. walimu wawili wa kike wanamuona kupitia dirisha..
Madam Joy: muoneni yule baba ananikera na suruali lake Lile kama kung'utio la mashineni
Madam Linda: muache baba wa watu kwa raha zake

MTAALUMA NAE
"Jamani walimu kumbukeni kuleta maandalio yenu kabla hamjaingia darasani"
Madam Eliza: we nawe una kihere here Yani watu hata hatujapumua umeanza na maandalio yako...

HUKU MWALIMU MNEMELE NAE ANAMWITA MWANAFUNZI
Mwl MNEMELE: "Hebu ng'ombe mmoja aje hapa nimtume"
MARA MWALIMU MKUU KAINGIA STAFF..
"Jamani walimu sa nne tutakua na kikao kwa hiyo msiondoke"...
Sir adam: chai ipo boss?
Mkuu: chai ipo ila vitafunwa mtajitegemea
Madam Tunu: Yani niache kwenda kunywa chai ya maziwa kwangu ninywe michai ya rangi iyo kazi sifanyi Mimi

SIR MADENGE NAYE ANAONEKANA ANAPEKUA KWENYE MABOX KISHA ANAANZA KULALAMA
"Yani hii staff bwanaa cku tunafunga shule niliacha vifaa vyangu vyote hapa sijui kuku gani kaja kuvihamisha sivioni
Mwl mkuu: "mwl MADENGE vifaa vyako nilivihamishia maana hapo niliona hapako salama sana"...

NAYE CHAPOMBE WA SHULE ANAWAZA KIMOYOMOYO
"Yani ngoja niombe ruhusa tu niseme naenda hospital nikapumzike nyumbani mie akili yangu Leo haipo sawa"

WALIMU
" wanaanza kuingia darasani mmoja mmoja hatimae ofisini wanabaki walimu wawili tu madam Anne na sir Chande
Madam Anne: niliku miss bebe wangu
Sir chande: mi mwenyewe nilikumiss kweli..

NB: Nawatakia maandaliza mema
Umetisha.
 
Back
Top Bottom