Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
OkResponse drill bwana. Nipo hapahapa.
Wacha utoto kijanaNaomba Mungu Hamas wawe wamekuja bongo kuondoa ma CCM n jwtz Yao, wapigwe wapigwe tu
Utasikia
Umewaza kama mimiResponse drill bwana. Nipo hapahapa.
Ni frustration tu bro! CCM wametufikisha pabaya! Nipo hapa nawasikiliza vijanq waliotoka kwenye interview Dodoma, kwanza wanadai majina ya, watoto wa wakubwa, (mfano Mabeyo) walikuwa wanafanyiwa upendeleo wa wazi! Kingine unakuta nafasi zipo 20,waliokuja ni 500+