Tetesi: Hiyo vita ya risasi Kilimanjaro Airport imesababishwa na nini?

Tetesi: Hiyo vita ya risasi Kilimanjaro Airport imesababishwa na nini?

Mtuflani Official

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2019
Posts
1,952
Reaction score
4,416
IMG_1096.jpg


"We have been caught in a shootout at Kilimanjaro International Airpot. We have no idea what it is all about. It was quite a firefight. Stopped now but staff are nowhere to be seen."
 
Duh aiseee tusubirie wanaofahamu watujuze zaidi
 
Wacha utoto kijana

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Ni frustration tu bro! CCM wametufikisha pabaya! Nipo hapa nawasikiliza vijanq waliotoka kwenye interview Dodoma, kwanza wanadai majina ya, watoto wa wakubwa, (mfano Mabeyo) walikuwa wanafanyiwa upendeleo wa wazi! Kingine unakuta nafasi zipo 20,waliokuja ni 500+
 
Back
Top Bottom