Hizbullah waingiza uwanjani kombora la FAD-3.Wapiga milima ya Golan,jimbo la Syria lililotekwa na Israel mwaka 1967

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hapo juzi wapiganaji wa Hizbullah walitumia makombora ya FAD 1 na FAD 3 kupiga mji wa Haifa na makambi ya jeshi ya jirani na mji huo,
Leo wapiganaji hao wamethibitisha kuwa mapigo yote ya Israel hayajaweza kufikia ndani ya milima wanakochimbia silaha zao nzito.Wamerusha mvua (salvo) ya makombora kupiga maeneo walipo wanajeshi wa Israel kwenye milima ya Golan.
Miongoni mwa makombora yaliyotumika leo ni FAD-3 ambalo ndio mara ya mwanzo kutumiaka tangu vita vianze takriban mwaka 1 uliopita..Taarifa hiyo ni kulingana na tamko la Hizbullah kupitia akaunti yao ya Telegram.
 
Yameleta madhara gani sasa au yameua kamanda gani wa israel ila tunaona kila siku israel anavyowapukutisha makamanda wa Allah
 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un, Umepata taarifa za Israel kumtungua kamanda mkuu wa Jezbollah kikosi cha mizinga ?
 
God of Abraham, God of Isaac, God of Israel; Blessed be your Mighty Name. AMEN
 
God of Abraham, God of Isaac, God of Israel; Blessed be your Mighty Name. AMEN
Cha kushangaza hapo umetuombea dua sisi waislam kwasababu Mungu wa hao uliotajwa ndio Mungu wetu. Mazayuni hayana mungu tofautisha zionist na Judaism. Sis hatuna shida na Judaism Kama dini
 
limesaidia nini?
 
Cha kushangaza hapo umetuombea dua sisi waislam kwasababu Mungu wa hao uliotajwa ndio Mungu wetu. Mazayuni hayana mungu tofautisha zionist na Judaism. Sis hatuna shida na Judaism Kama dini
Sasa wew unahangaika na dini za nn? Dini ni kama simba na yangu tu!
 
πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† Kwa hiyo unaamini kabisa Tamko la Hisballah?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…