Hizbullah warusha vitu vizito Tel Aviv kuleng

Hizbullah warusha vitu vizito Tel Aviv kuleng

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Katika mashambulio hayo mapya Hizbullah wametlumia makombora aina ya FAD 3 wamesema yamelenga yaliplokusudiwa ikithibitishwa na IDF waliosema wametungua baadhi yake,
Sehemu zilizokusudiwa kulengwa ni makao makuu ya Mossad na kambi za jeshi kuu za IDF

Hiyo inatokea huku jeshi la Israel likiwa limevluka mlpaka wa Lebanon
 
This warhead belongs to an Israeli Tamir missile fired at Hezbollah's Fadi 4 missile.

As you can see, the warhead is completely healthy, which shows it failed to intercept its target.

According to videos published in Israeli sources, a significant number of these interceptor and defense missiles hit the streets and surrounding fields without intercepting their targets, which shows they didn't succeeded in intercepting Hezbollah's Fadi-4 missile.

🚩 @ResistanceTrench
 
Musa alizaliwa kipindi ambapo Filauni (Farao) alikuwa ametangaza kiama kwa watoto wote wa kiume ili tu Wayahudi wasilete hatari katika nchi ya wamisiri kwa siku za usoni

Mama yake Musa ilibidi amtupe kwa mto na ule mto ndo watoto wa kishua Farao walikuwa wakipenda kuogelea, Walimwokota Musa, naye Musa alikuwa ni mtoto mchanga, alilelewa na kupewa huduma zote za kibinadamu ktk nyuma ya Kifalume,

Musa alipokuwa mtu mzima, kwanza alijitambua kuwa yeye si mmisiri ila ni Myahudi, hiki ni kitendo cha kushangaza sana kati ya simulizi zilizoko kwenye Biblia

Alijitambua kuwa yeye ni Mwisrael, Musa aliibua kisanga Siku alipowakuta Wawili wakigombana, Mmisiri na myahudi, na hapo aliwatambua mmisiri ni yupi na Myahudi ni yupi, haya nayo ni maajabu

Musa aliingilia ugomvi na kumchapa mmisiri hadi umauti


Musa alikimbia Misiri na kwenda Midiani na ndiko alikokulia na kuoa huko,

Hii ni ishara kuwa, Wayahudi ni wayahudi tu, kokote waliko wanatambua kuwa, wao ni wayahudi hata kama wana uraia wa nchi hizo, bado watatekeleza mambo yao kiyahudi na kutetea taifa lao la kiyahudi licha kwamba hawakai Israel

Sioni ajabu viongozi wa kiarabu kuuliwa kirahisi, kwa sababu myahudi kila kona yuko, na amapokuwa huko, anatabia zote za kiyahudi

Nawaambieni hivi msiowajua wayahudi, hata Irani au kiongozi wao watakapoanza kuwapiga wayahudi, wayahudi walioko huko Uran ndio watakaomuuwa

Damu ya myahudi haipotezi asili yake popote pale ilipo

Vitavya pili vya dunia vilipowatawanyisha wayahudi na kwenda kwenye nchi mbalimbali duniani, ilikuwa ni mpango kabambe wa Mungu ili wasipate shida iwapo taifa lolote litawainukia

Siri zote zitakuwa wazi kwa kiongozi wa taifa lao kutoka kwenye nchi yoyote walipo

Dunia lazima iseme, Israel ni mpango wa Mungu, na anayeshupaza shingo, atavunjwa
 
Dada utaingia period kabla ya muda...achana na kushabikia uongo
Umezoea uongo? Unanionaje wewe? Mimi si wewe so 🤐 nafatilia vitu karibu vyote duniani. Hii habari kama huna wewe bado sana, kwenye medani za kimataifa. Mnapenda kubishana hovyo, bila kuwa na taarifa sahihi.
Mwisho uwe na adabu. Una Mama,dada. Ukiwa na akili utaelewa.
 
Katika mashambulio hayo mapya Hizbullah wametlumia makombora aina ya FAD 3 wamesema yamelenga yaliplokusudiwa ikithibitishwa na IDF waliosema wametungua baadhi yake,
Sehemu zilizokusudiwa kulengwa ni makao makuu ya Mossad na kambi za jeshi kuu za IDF

Hiyo inatokea huku jeshi la Israel likiwa limevluka mlpaka wa Lebanon
Hii news yako ni jana ilitokea kabla jeshi la israel halijavuka, and hivyo vikombora vilidakwa na vingine kuangukia eneo la wazi.. kurusha makombora hivyo ni upotevu wa mbinu
 
Ukiweka habari weka na source ili watu wakajiridhishe.....
The Israeli military announces it is sending more forces to the Lebanese border area in anticipation of a Hezbollah ground assault

While threatening a ground offensive into southern Lebanon itself, the Israeli army now states that it is preparing for the event that Hezbollah takes the initiative to avenge hundreds of civilians killed in Israel’s indiscriminate bombing attacks throughout the country, including in Beirut.

Kuna shughuli inaendelea huko siyo mchezo,nenda telegram search resistance trench,uone tel aviv palivyo, zitakuja channel nyingi za aina hiyo,utapata videos na picha
 
Umezoea uongo? Unanionaje wewe? Mimi si wewe so 🤐 nafatilia vitu karibu vyote duniani. Hii habari kama huna wewe bado sana, kwenye medani za kimataifa. Mnapenda kubishana hovyo, bila kuwa na taarifa sahihi.
Mwisho uwe na adabu. Una Mama,dada. Ukiwa na akili utaelewa.
Shauri yako...
 
Musa alizaliwa kipindi ambapo Filauni (Farao) alikuwa ametangaza kiama kwa watoto wote wa kiume ili tu Wayahudi wasilete hatari katika nchi ya wamisiri kwa siku za usoni

Mama yake Musa ilibidi amtupe kwa mto na ule mto ndo watoto wa kishua Farao walikuwa wakipenda kuogelea, Walimwokota Musa, naye Musa alikuwa ni mtoto mchanga, alilelewa na kupewa huduma zote za kibinadamu ktk nyuma ya Kifalume,

Musa alipokuwa mtu mzima, kwanza alijitambua kuwa yeye si mmisiri ila ni Myahudi, hiki ni kitendo cha kushangaza sana kati ya simulizi zilizoko kwenye Biblia

Alijitambua kuwa yeye ni Mwisrael, Musa aliibua kisanga Siku alipowakuta Wawili wakigombana, Mmisiri na myahudi, na hapo aliwatambua mmisiri ni yupi na Myahudi ni yupi, haya nayo ni maajabu

Musa aliingilia ugomvi na kumchapa mmisiri hadi umauti


Musa alikimbia Misiri na kwenda Midiani na ndiko alikokulia na kuoa huko,

Hii ni ishara kuwa, Wayahudi ni wayahudi tu, kokote waliko wanatambua kuwa, wao ni wayahudi hata kama wana uraia wa nchi hizo, bado watatekeleza mambo yao kiyahudi na kutetea taifa lao la kiyahudi licha kwamba hawakai Israel

Sioni ajabu viongozi wa kiarabu kuuliwa kirahisi, kwa sababu myahudi kila kona yuko, na amapokuwa huko, anatabia zote za kiyahudi

Nawaambieni hivi msiowajua wayahudi, hata Irani au kiongozi wao watakapoanza kuwapiga wayahudi, wayahudi walioko huko Uran ndio watakaomuuwa

Damu ya myahudi haipotezi asili yake popote pale ilipo

Vitavya pili vya dunia vilipowatawanyisha wayahudi na kwenda kwenye nchi mbalimbali duniani, ilikuwa ni mpango kabambe wa Mungu ili wasipate shida iwapo taifa lolote litawainukia

Siri zote zitakuwa wazi kwa kiongozi wa taifa lao kutoka kwenye nchi yoyote walipo

Dunia lazima iseme, Israel ni mpango wa Mungu, na anayeshupaza shingo, atavunjwa
God Bless Israel
 
Hii news yako ni jana ilitokea kabla jeshi la israel halijavuka, and hivyo vikombora vilidakwa na vingine kuangukia eneo la wazi.. kurusha makombora hivyo ni upotevu wa mbinu
Leo wanetumia fad 4,hawakuwahi tumia,yameshindikana dunguliwa,mossad hq wamepewa kubwa

The Israeli military announces it is sending more forces to the Lebanese border area in anticipation of a Hezbollah ground assault

While threatening a ground offensive into southern Lebanon itself, the Israeli army now states that it is preparing for the event that Hezbollah takes the initiative to avenge hundreds of civilians killed in Israel’s indiscriminate bombing attacks throughout the country, including in Beirut.
 
Ni sahihi Hizbollah imefanya shambulizi leo hii tarehe mosi Oktoba ndani ya Israel.
Screenshot_2024-10-01-13-25-01-59_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Umezoea uongo? Unanionaje wewe? Mimi si wewe so 🤐 nafatilia vitu karibu vyote duniani. Hii habari kama huna wewe bado sana, kwenye medani za kimataifa. Mnapenda kubishana hovyo, bila kuwa na taarifa sahihi.
Mwisho uwe na adabu. Una Mama,dada. Ukiwa na akili utaelewa.
Achana naye huyo minyoo inamsumbua.
Ushahidi huo hapo chini Hizbollah imeshambulia.
Screenshot_2024-10-01-13-25-01-59_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Back
Top Bottom