Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iran ya kazi gani wakati hizbullah na Hamas wanatoshaIran won’t deploy forces to Lebanon to help Hezbollah – foreign ministry
Tehran is not afraid of war but stands for a safe and stable Middle East, spokesperson Nasser Kanaani has said
Ushindi wa Israeli ni uhuru wa Palestina. Bila palestina kuwa huru sahau hiyoIsrael atabaki kuwa mshindi
Umeshawaka,tel aviv wanashuhudia idadi kubwa ya roketi dhidi yao hawajawahi onautani utani moto utawaka
🇱🇧🇮🇱 | Hezbollah’s Media Relations Officer Mohammad Afif to Reuters: 'No Israeli troops have entered Lebanese territory. The strikes on Tel Aviv earlier were only the beginning'Ushindi wa Israeli ni uhuru wa Palestina. Bila palestina kuwa huru sahau hiyo
Anasema muisrael wa uyoleHayo mashambulizi ya Hezbollah madhara yake ni madogo sana kulinganisha na Israel inapofanya mashambulizi kwa adui zake, ni mashambulizi ya kawaida sanaa
EwaaaaaMengine warushe magogoni
😂😂😂😂 myahudi wa kyela matankin aiseeAnasema muisrael wa uyole
Sawa mpalestina wa uyoleAnasema muisrael wa uyole
Israeli forces have notified a church built on land owned by the Qaisiya family in the Makhrour area of Beit Jala, west of the city of Bethlehem, with demolition, according to local sources.Sawa mpalestina wa uyole
Siyo shambulizi bali mashambuliziNi shambulizi dogo tu.
Makombora mengi yamedunguliwa.Siyo shambulizi bali mashambulizi
Huyo mimi nishaachana nae make kilichotokea na alichoniletea ni tofauti kabisa, hapo atakuumiza kichwa tuMakombora mengi yamedunguliwa.
Mafanikio makubwa kwa muda mfupi yamewapofua macho na kuwafanya wawe na dharau kupindukia, ghafla tu wameshasahau ubora wa adui yao waliemjeruhi mwenye ari na hasira!.utani utani moto utawaka