Hizi agenda zote Mbowe alikuwa wapi kuzitekeleza?

Hizi agenda zote Mbowe alikuwa wapi kuzitekeleza?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hizi agenda ni kutoka ukurasa wa mtandao wa X wa Martin Maranja Masese:
 

Attachments

  • Screenshot_20250119_114816_Chrome.jpg
    Screenshot_20250119_114816_Chrome.jpg
    260.9 KB · Views: 2
Hizi agenda ni kutoka ukurasa wa mtandao wa X wa Martin Maranja Masese:
Kila jambo na wakati wake. Bila shaka kuna mengine ameyatekeleza.

Tuwe objective katika kutazama mambo. Hata kama Mbowe hatakiwi basi sio kila jambo ni pingapinga.
 
Wanatuhadaa tu, Mbowe mwenyewe hakuwahi zitamka kokote kuwa hizi ndio sababu anataka kuendelea kuwa Mwenyekiti. Hizi zimeandaliwa tu baada ya pressure ya wanachama kuhoji mbona anaongelea historia tu haongelei anachotaka kufanya?

Hivi Mbowe tulishindwa hata kumanage Join the chain alafu tutaweza kumanage chadema family? Si ndio itakua ufisadi wa kutisha. Mbowe amefikia saturation point hana new ideas hata ukimuuliza mgombea urais wa oktoba I'm sure hajui na anasubiri atakayejiondoa CCM!!

Huyu mzee apumzishwe na wajumbe otherwise itakua miaka 5 ya maridhiano na kuibiwa kura tu
 
Wanatuhadaa tu, Mbowe mwenyewe hakuwahi zitamka kokote kuwa hizi ndio sababu anataka kuendelea kuwa Mwenyekiti. Hizi zimeandaliwa tu baada ya pressure ya wanachama kuhoji mbona anaongelea historia tu haongelei anachotaka kufanya?

Hivi Mbowe tulishindwa hata kumanage Join the chain alafu tutaweza kumanage chadema family? Si ndio itakua ufisadi wa kutisha. Mbowe amefikia saturation point hana new ideas hata ukimuuliza mgombea urais wa oktoba I'm sure hajui na anasubiri atakayejiondoa CCM!!

Huyu mzee apumzishwe na wajumbe otherwise itakua miaka 5 ya maridhiano na kuibiwa kura tu
Martin Maranja Masese nilikuwa namuona mtu smart kumbe hamna kitu.
 
Majeruhi hawatakuwa sehemu ya CDM wiki moja baada ya uchaguzi.

So hakutakuwepo wa kumtibu,azungumzie ruzuku kushuka hadi matawini,uwazi etc
 
Hizi agenda ni kutoka ukurasa wa mtandao wa X wa Martin Maranja Masese:

Hakuna cha ajabu hapo. CCM kila mwaka wanakuja na ajenda mpya za mambo waliyotakiwa kuyafanya 60 years ago na akina Lukas wanashabikia.
 
Amekimbia mdahalo ambapo angeweza kutueleza sera zake kinagaubaga, yeye kaenda kumpa mpamba wake anayezirusha twitter(X)
Uko sahihi, namheshimu Mbowe kwa harakati zake za muda mrefu katika siasa za nchi hii lakini kitendo cha kukwepa mdahalo ambao ilikuwa ni platform muhimu kueleza sera na maono yake kwa 2025-2030 maana yake hakutaka kujinadi hadharani hivyo aendelee kukaa kimya hamna anayehitaji kampeni uchwara hizi.
 
Alivyotoka getezani akaongeza namba binafsi kwe Join the Chain, huyu mzee ni mpigaji aachie ngazi
 
Hizi agenda ni kutoka ukurasa wa mtandao wa X wa Martin Maranja Masese:
Mbowe mwenyewe hajawahi kuzitamka popote toka achukue fomu.
Machawa wameamua kumlisha maneno. Mbowe hakuwa na hajawa na hoja wala agenda zozote za maana.
 
Back
Top Bottom