Hizi alama/maandishi kwenye barabara huwakilisha kitu gani?

Hizi alama/maandishi kwenye barabara huwakilisha kitu gani?

Zekoddo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
1,859
Reaction score
4,539
Naona sana nikisafiri kwenda mikoa tofautitofauti hizi alama/mabango kwenye barabara, mfano; T6 Dar es Salaam au T4 Mtwara.

Huwa zinamaanisha nini wazee wa RoadSite?
 
T1 au Trunk Road 1 ni barabara za Kitaifa mfano
T1 ni Dar es Salaam to Zambia
T2 Chalinze to Namanga (Kenya)
T3 Morogoro to Rwanda
 
T inamaanisha makutano/junction. Na hizo T1 ,T2 zinaonyesha uelekeo kwenye makutano au baada ya makutano
 
Trunk Road.
T 1 Ni hii ya Dar mpaka Moro.
Chz Sgr in namba yake,
Tan/ Msh nayo Ina code yake.
 
Naona sana nikisafiri kwenda mikoa tofautitofauti hizi alama/mabango kwenye barabara, mfano; T6 Dar es Salaam au T4 Mtwara.

Huwa zinamaanisha nini wazee wa RoadSite?
Bila picha ni umbea
 
Screenshot_20231023-120114.jpg
 
Back
Top Bottom