Hizi asilimia za kaya zilizokwisha hesabiwa wanazipata wapi?

Hizi asilimia za kaya zilizokwisha hesabiwa wanazipata wapi?

Mbogi

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2021
Posts
803
Reaction score
997
Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.
 
Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.
Hata mie nilikuwa najiuliza hili swali....
 
Labda chombo husika kiko chini ya mnec ambaye akili yote iko kwenye ushindi wa kishindo wa 95% bila kujambua kuwa asilimia ina kanuni na misingi yake.

Kwa kesi hii asimia haiwezi patikana vinginevyo sensa hii iwe ya maridio kwa nyingine (kama ipo) ya kutambua kaya iliyotangulia chini ya siku moja kabla ya 23-08-2022. Kaya mpya inaundwa kila baada ya muda fulani tena mfupi. Sasa hawa wamezingua sana vinginevyo watoe maelezo juu ya upatikanaji wa hiyo 93% ya kaya zote.
 
Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.
Ili ku-justfy matumizi ni lazima waje na namba, any numbers hata kama imeokotwa hewani.
 
Kwani wale mabalozi wa nyumba kumi, wenyeviti wa vitongoji na mitaa, watendaji kata na mtaa na vijijjni wanafanya kazi gani?

Hao ndio wenye taarifa kamili za kaya zilizomo katika vijiji/mitaa yao. So obvious Serikali inajua ina kaya ngapi. Wasichojua ni idadi ya watu katika kila kaya na taarifa nyingine.
 
😁😁😁👇
 
Semeni yote lakini mimi sijahesabiwa! Sijui hao mawakala wa sensa walikuwa wananiogopa!.. Kama nchini kwangu tu sihesabiwi huko mbinguni nanafasi kweli.. nikijumlisha na matukio niliyonayo I do smell something alien..🤣
 
Kwani wale mabalozi wa nyumba kumi,wenyeviti wa vitongoji na mitaa,watendaji kata na mtaa na vijijjni wanafanya kazi gani?

Hao ndio wenye taarifa kamili za kaya zilizomo katika vijiji/mitaa yao. So obvious serikali inajua ina kaya ngapi. Wasichojua ni idadi ya watu katika kila kaya na taarifa nyingine.
Kama taarifa za viongozi hao zinaaminika kiasi cha kutumia katika takwimu za kitaifa, basi nahisi hata idadi wangetwambia tu, maana hauwezi ukawasilisha idadi ya kaya ukawa hauwezi kujua idadi ya wanakaya.

Kwa maana hii labda huenda kweli wakawa tayari wanayo hata idadi ya jumla ya watu. Duu hii bongoland kwelikweli!
 
Kama taarifa za viongozi hao zinaaminika kiasi cha kutumia katika takwimu za kitaifa, basi nahisi hata idadi wangetwambia tu, maana hauwezi ukawasilisha idadi ya kaya ukawa hauwezi kujua idadi ya wanakaya.

Kwa maana hii labda huenda kweli wakawa tayari wanayo hata idadi ya jumla ya watu. Duu hii bongoland kwelikweli!
Huwa Kuna makadirio,kabla ya sensa hii pakisemwa tupo 60m,ni makadirio kutumia sensa iliyopita,haiwezekani tukawa 80m leo
 
Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.
Kwani NBS Kazi Yao ni nini? Au hiyo Ofisi iliundwa kwa jukumu Gani? Hilo ndio jibu.
 
Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.
Makadilio tu.
 
Huwa Kuna makadirio,kabla ya sensa hii pakisemwa tupo 60m,ni makadirio kutumia sensa iliyopita,haiwezekani tukawa 80m leo

Huwa Kuna makadirio,kabla ya sensa hii pakisemwa tupo 60m,ni makadirio kutumia sensa iliyopita,haiwezekani tukawa 80m leo
Basi kama ni asilimia ya makadirio, waweke vizuri na bayana taarifa yao, na itaeleweka tu.
 
If you're looking for absolute value in Bongoland, then you must be surfing the wrong place. All negative things are possible here, without excluding vincible & invincible ignorance.
🤣🤣🤣🤣
 
Kila baada ya miaka 10 hukadiriwa WATU watakuwa wameongezeka kwa asilimia fulani ya Sensa iliyotangulia

So kinachofanyika ni kuhakiki hiyo figure kama imefikiwa au la na ama imepitiliza

Mungu wa mbinguni akubariki
 
Simple method borrowed from Kenya under IEBC
"Chebukating Arithmetic Approximations Method-100.01%"
 
Back
Top Bottom