Hizi asilimia za kaya zilizokwisha hesabiwa wanazipata wapi?

Hizi asilimia za kaya zilizokwisha hesabiwa wanazipata wapi?

Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.
Kwenye statistics unaweza kufanya estimation ya population size (wanayo estimated annual growth rate kutokana na taarifa nyingine wanazokusanya).

Nina imani kwamba hiyo ndiyo wanayotumia kukisia asilimia ya kaya zilizokwisha hojiwa.
 
Wanaweka maotoe, yaani wanaotea kuwa kwa enoa A tutakuta kaya 200 so wakohesabu mia inakuwa asilimia 50
 
Nafikiri hizi data zinatoka kwenye lile zoezi la anuani za makazi.

Mfano makazi yapo 500,000 na tayari yamefikiwa labda makazi 100,000.
 
Mkuu usijiulize sana hii nchi yetu kila kitu kinawezekana kasoro maendeleo
Meaning of Zodwa:

1. Zodwa suggests you give up what you want so other people can have what they need. Like a six-sided cube, your personality is steady and balanced.

2. possess the nurturing side of womanhood safe, stable, warm, domestic and motherly. They are supportive, harmonious, companionable

3. responsible, reserved, and dignified nature, able to find a certain amount of success in anything you undertake.

4. distinguished by the ability to solve any problems in both the emotional and physical spheres, helping others.

5. You appear strong and powerful. You have an impressive personality and can influence and even intimidate through sheer force. You have natural authority.
 
Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.
Kabla ya sensa ilitangulia kuweka anuani za makazi ambayo imemalizika hivi karibuni hivyo wanajua idadi kamili za kaya.
 
Huu nao ulikua upigaji tu kama upigaji mwingine, kilichozingatiwa ni fungu la movie yenyewe na sio matokeo ya movie, nasema hivi kwasababu makarani wenyewe wa sensa walijihusisha na wanaowakuta home waliokua wametoka walisema watawarudia ndio tunawasubiria hapa leo siku ya 5
 
Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.

Sawa kabisa! Tumeambiwa zoezi mwisho ni kesho, lakini sisi nyumbani kwetu hajafika hata afisa yoyote hadi usiku huu wa kuamkia siku ya mwisho!
 
Kama hoja ilivyo, naomba wajuvi wa jambo hili la sensa wanieleweshe. Nimeona taarifa zikiandikwa kutoka kwa mamlaka za sensa kuwa hadi sasa kaya zilizohesabiwa ni asimia 93. Ili kupata asilimia lazima uwe na idadi halisi ya jumla ya kaya ambayo ni kamili ndipo ulinganishe na zilizokwisha hesabiwa. La si hivyo hiyo jumla ya kutafutia asilimia iwe ni ya kukadiria.

Nafikiri ingekuwa vizuri wakaandika idadi ya kaya zilizohesabiwa na si asilimia maana sensa yenyewe inatafuta jumla ya idadi ya kaya. Wakiandika asilimia inaleta picha kwamba tayari wanajua kwa ukamilifu idadi ya kaya hata kabla ya sensa hii, ila wakiandika idadi tu ni sawa maana itaendelea kuongezeka.

Naomba ufafanuzi.
Utaambiwa serikali ina mkono mrefu
 
Back
Top Bottom