Hizi benki zetu zina maudhi

Hizi benki zetu zina maudhi

Abu-Musab

Senior Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
151
Reaction score
85
Unakuta ndani counter ina madiridha 6, lakini teller mmoja tu! Inaleta usumbufu usio wa lazima hata kidogo. Kama hapa tupo NBC DUCE hapa Moapa stadium ni kero iliyoje. Teller mmoja tu wateja kibao. Wao wapo wanapitapita tu na meneja yupo hana habari. Jirekebisheni
 
Unakuta ndani counter ina madiridha 6, lakini teller mmoja tu! Inaleta usumbufu usio wa lazima hata kidogo. Kama hapa tupo NBC DUCE hapa Moapa stadium ni kero iliyoje. Teller mmoja tu wateja kibao. Wao wapo wanapitapita tu na meneja yupo hana habari. Jirekebisheni
Tabia moja chafu sana, na imesambaa. Wao kutoa huduma kwa wateja wanaona kama ni hiyari, this is pathetic
 
Iliwahi kunitokea bank ya NMB pale Nyamongo, nikamfuata manager nikamueleza kisha akanihudumia yeye mwenyewe kisha nikasepa.
Na hio ndio ukawa mwisho wangu kuingia bank
 
Kwo inategemea Sasa unaenda beki kutoa /kuweka laki 3 - 4-1M mkuu mawakala hujawaona
Iliwahi kunitokea bank ya NMB pale Nyamongo, nikamfuata manager nikamueleza kisha akanihudumia yeye mwenyewe kisha nikasepa.
Na hio ndio ukawa mwisho wangu kuingia bank
 
Pesa zako na bado zinakupa mateso
Meneja ni mfanyakazi wako na yuko apo kukuhudumia mfuate mtukane tena mtukane sana utaona mabadiliko
Shida ya wabongo ni waoga ad kwenye pesa zao iyo siyo serikal ya Samia apo ni bank tukana toa matusi na ikibidi piga kelele na utukane wazi wazi mbele za wateja
 
Back
Top Bottom