Hizi biashara! Na Hii degree yangu nisipojiongeza nitaula wa chuya juma 3 naenda kwa afisa elimu

Hizi biashara! Na Hii degree yangu nisipojiongeza nitaula wa chuya juma 3 naenda kwa afisa elimu

Hapa naweza kusema kuwa kuna baadhi ya vitu au mambo ulikosa kuyajua kuhusu maisha,biashara na elimu.
NB:Mwenye chake apewe

Maisha:Mkuu bado haujajiweka malengo sahihi ya maisha yako kuwa unataka uwe nani,uishi maisha ya mtindo gani na pia bado haujajingea mihimiri mahili ya mifumo ya maisha yako.Kiujumla naweza kusema bado unayumbishwa na mazingira huku sifa kama kutokujiamini,nidhamu ndogo ya kile unachofanya,huna uvumilivu wa kutoka,jealous katika kuchagua faida na hasara za kitu e.g ulisoma kitabu cha poor dad and rich dad lakini ukaona upande chanya tu wa biashara pia katika mfano wa elimu yako wakati upo huko masomoni ulikuwa unaona faida chanya tu elimu.

Biashara:Hii kitu inahitaji umakini wa hali ya juu,mkuu wewe ulikosa bussiness skills ndio maana unaona unayumba yumba.Biashara ndio msingi mkubwa wa mafanikio ya watu katika maisha unless labda unaataka kuendelea kutumikishwa katika mabiashara ya watu e.g huko shule unakoenda.
GO AND DIG DEEPER BUSSINESS SKILLS.

Elimu:Hapa mkuu ulishindwa kuitumia elimu yako ipasavyo,lakini pia elimu hiyo hiyo imekufanya ushindwe kujiamini katika uratibu wa maisha yako e.g umeamua kuanzisha biashara lakini umeficha vyeti ndani ya begi,hii inaonyesha kuwa ulishindwa kujiamini katika biashara yako ukitegemea elimu,lakini pia kama ulisoma vizuri hicho kitabu cha poor dad and rich dad kuna sehem rich dad anasema "the study of money is not at school",sasa wewe uliona hiyo elimu yako ya shule ndio msingi dhabiti wa kile unachotaka kufanya kuhusu pesa.
TOAFUTISHA KATI YA ELIMU NA ELIMU YA DARASANI

Thanks;
Barabara! Sio Ile inayotumiwa kupitisha vehicles!.. Mkuu nimekupata Sana katika makala yako Kwangu!

Maisha: Kuhusu maisha ni kweli bado sijayajua Sawa Sawa kwani miaka Toka 2001 darasa la kwanza to 2018 chuo sijaishi mtaani kiasi cha kupata unyambuliko skills kuhusu maisha.

Biashara: sijawahi fikiria hata sekunde 1 kuachana na biashara kwani najua ndio msingi mkubwa wa maisha ndio Maana nimekua nikitumia muda wangu Toka nimalize chuo kupambana na biashara, ingawa Kuna changamoto kadhaa ambazo zinapelekea nijione nimekosea na Hali ya kuto jiamini ndo imechimbuka hapo!

Elimu: nilikua nakisoma kitabu cha poor dad rich dad niliangalia upande wa advantages Sana ndio Maana nilijitutumua niingie huko kabla ya kuajiriwa! Lakini pia nilikosa kujua utofauti Kati ya elimu ya darasani na elimu ya maisha kwa ujumla wake Hali hii nayo inaniyumbisha Sana huku mtaani jambo Linafanya nifikirie tena ajira!

Mwisho kabisa Asante kwa mchango wako pia umeweka tu bayana nilivyo lakini hujanishauri lolote tafadhali kwa kutumia mantiki yako ya awali nishauri jambo mkuu

Ubarikiwe!
 
Fanya kinachotakiwa kufanywa, usisubiri mawazo ya watu.
 
Watoto wetu waelewa kweli kama mwalimu huwezi hata kujielezea,baki kwenye hiyo biashara achana ualimu.
 
Mkuu una degree ya ualimu halafu hujui kuandika, nyie ndio wale waalimu mnaozalisha zero huko mashuleni..
 
Kwahiyo afisa Elimu ndo unataka akufungulie biashara?
 
Barabara! Sio Ile inayotumiwa kupitisha vehicles!.. Mkuu nimekupata Sana katika makala yako Kwangu!

Maisha: Kuhusu maisha ni kweli bado sijayajua Sawa Sawa kwani miaka Toka 2001 darasa la kwanza to 2018 chuo sijaishi mtaani kiasi cha kupata unyambuliko skills kuhusu maisha.

Biashara: sijawahi fikiria hata sekunde 1 kuachana na biashara kwani najua ndio msingi mkubwa wa maisha ndio Maana nimekua nikitumia muda wangu Toka nimalize chuo kupambana na biashara, ingawa Kuna changamoto kadhaa ambazo zinapelekea nijione nimekosea na Hali ya kuto jiamini ndo imechimbuka hapo!

Elimu: nilikua nakisoma kitabu cha poor dad rich dad niliangalia upande wa advantages Sana ndio Maana nilijitutumua niingie huko kabla ya kuajiriwa! Lakini pia nilikosa kujua utofauti Kati ya elimu ya darasani na elimu ya maisha kwa ujumla wake Hali hii nayo inaniyumbisha Sana huku mtaani jambo Linafanya nifikirie tena ajira!

Mwisho kabisa Asante kwa mchango wako pia umeweka tu bayana nilivyo lakini hujanishauri lolote tafadhali kwa kutumia mantiki yako ya awali nishauri jambo mkuu

Ubarikiwe!
do the reverse ya makala yangu,,but fanyia kazi capital words
 
Mkuu una degree ya ualimu halafu hujui kuandika, nyie ndio wale waalimu mnaozalisha zero huko mashuleni..
wengine wanamiandiko mibaya hadi kwa madaftari yao,,usitegemee awe na muandiko mzuri huku JF
 
Sasa wewe utajitolea mpaka lini?kwani ajira za ualimu 4000 haumo?kijana ww ni mtoto wa kiume pambana hata vibarua.Mimi nilivyomaliza shule nimefanya sana vibarua viwandani nalipwa buku5 kutwa.Kama uko dar nenda viwanda vya Azam,chemicotex africana.Omba Bodaboda ya mkataba,osha magari.Kupitia kazi tajwa Mungu atakunyooshea mkono.Usisahau kusali huku ukijipendekeza kwa waumini wenye kampuni zao.
Huku ukijupendekeza [emoji23][emoji23]
 
Duuh minamaliza mwaka huu, jamaa nilikuwa nakupa vyeo nakuona kumbe inawezekana leo umenyoosha mikono juu.

Kweli sio mchezo.
 
Back
Top Bottom