Hizi biashara! Na Hii degree yangu nisipojiongeza nitaula wa chuya juma 3 naenda kwa afisa elimu

Hizi biashara! Na Hii degree yangu nisipojiongeza nitaula wa chuya juma 3 naenda kwa afisa elimu

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,965
Education ndio nimesomea, nikiwa mwaka wa mwisho nimekisoma kitabu cha rich dad poor dad nikaja mbio mtaani Toka mwaka Jana Kuja kufanya biashara lakini inaonekana mfumo wa Sasa kujiajiri Labda kama Huna majukumu utaona pesa inakaa ndani vinginevyo hapo vice versa!

Katika kutafakari na jinsi biashara ilivyo slow nimeona nitafute ajira na niingilie Gia ya kujitolea shule ya secondary iliyopo jirani Nami ili walau nifungue channel nyingine ya pesa (Kwa badae). Target yangu 1kwa1 kwa afisa elimu alie jirani Nami nikamweleze hii Nia yangu!

Mpaka hapo utakua umenielewa msomaji karibu kwa kushauri kukosoa na kudhihaki pia
 
Education ndio nimesomea, nikiwa mwaka wa mwisho nimekisoma kitabu cha rich dad poor dad nikaja mbio mtaani Toka mwaka Jana Kuja kufanya biashara lakini inaonekana mfumo wa Sasa kujiajiri Labda kama Huna majukumu utaona pesa inakaa ndani vinginevyo hapo vice versa!

Katika kutafakari na jinsi biashara ilivyo slow nimeona nitafute ajira na niingilie Gia ya kujitolea shule ya secondary iliyopo jirani Nami ili walau nifungue channel nyingine ya pesa (Kwa badae). Target yangu 1kwa1 kwa afisa elimu alie jirani Nami nikamweleze hii Nia yangu!

Mpaka hapo utakua umenielewa msomaji karibu kwa kushauri kukosoa na kudhihaki pia
Mkuu biashara hai
taji haraka hivo uwe na subira huko unako kimbilia na pabaya mara mbili mualimu wakijitolea nani akulipe hata Nauli tutakosa,kama walio ajiliwa wanalipwa kwa mafungu je wewe?
 
Mkuu biashara hai
taji haraka hivo uwe na subira huko unako kimbilia na pabaya mara mbili mualimu wakijitolea nani akulipe hata Nauli tutakosa,kama walio ajiliwa wanalipwa kwa mafungu je wewe?
Mkuu nimekuelewa umeongea point hapo kidogo hivi Siwezi pewa hata sent?
 
Sasa wewe utajitolea mpaka lini?kwani ajira za ualimu 4000 haumo?kijana ww ni mtoto wa kiume pambana hata vibarua.Mimi nilivyomaliza shule nimefanya sana vibarua viwandani nalipwa buku5 kutwa.Kama uko dar nenda viwanda vya Azam,chemicotex africana.Omba Bodaboda ya mkataba,osha magari.Kupitia kazi tajwa Mungu atakunyooshea mkono.Usisahau kusali huku ukijipendekeza kwa waumini wenye kampuni zao.
 
Mkuu unaanza kupoteza uelekeo Yaani unaacha Biashara inayokulisha ukajitolee kwa ufupi huhitaj kumuona afisa elimu nenda shule yeyote na vyeti vyako watakupokea ukafundishe bure..... kuanzia j3 to ijumaa na mitihani usahihishe....wewe ni tajiri sana. binafsi siwezi kufanya Kama wewe hongera kwa kujitoa mpo wachache sana katika hii sayari Wenye moyo wa kufanya ivyo.
 
Mkuu unaanza kupoteza uelekeo Yaani unaacha Biashara inayokulisha ukajitolee kwa ufupi huhitaj kumuona afisa elimu nenda shule yeyote na vyeti vyako watakupokea ukafundishe bure..... kuanzia j3 to ijumaa na mitihani usahihishe....wewe ni tajiri sana. binafsi siwezi kufanya Kama wewe hongera kwa kujitoa mpo wachache sana katika hii sayari Wenye moyo wa kufanya ivyo.
Mkuu kama umenifuatilia vizuri utaona lengo ni kuongeza tija na Channel ya pesa ingawa kazi yangu ya biashara inaweza ikawa matatani kutokana na Kua mimi sitosimamia kama ilivyo Sasa..
 
Education ndio nimesomea, nikiwa mwaka wa mwisho nimekisoma kitabu cha rich dad poor dad nikaja mbio mtaani Toka mwaka Jana Kuja kufanya biashara lakini inaonekana mfumo wa Sasa kujiajiri Labda kama Huna majukumu utaona pesa inakaa ndani vinginevyo hapo vice versa!

Katika kutafakari na jinsi biashara ilivyo slow nimeona nitafute ajira na niingilie Gia ya kujitolea shule ya secondary iliyopo jirani Nami ili walau nifungue channel nyingine ya pesa (Kwa badae). Target yangu 1kwa1 kwa afisa elimu alie jirani Nami nikamweleze hii Nia yangu!

Mpaka hapo utakua umenielewa msomaji karibu kwa kushauri kukosoa na kudhihaki pia
Hapa naweza kusema kuwa kuna baadhi ya vitu au mambo ulikosa kuyajua kuhusu maisha,biashara na elimu.
NB:Mwenye chake apewe

Maisha:Mkuu bado haujajiweka malengo sahihi ya maisha yako kuwa unataka uwe nani,uishi maisha ya mtindo gani na pia bado haujajingea mihimiri mahili ya mifumo ya maisha yako.Kiujumla naweza kusema bado unayumbishwa na mazingira huku sifa kama kutokujiamini,nidhamu ndogo ya kile unachofanya,huna uvumilivu wa kutoka,jealous katika kuchagua faida na hasara za kitu e.g ulisoma kitabu cha poor dad and rich dad lakini ukaona upande chanya tu wa biashara pia katika mfano wa elimu yako wakati upo huko masomoni ulikuwa unaona faida chanya tu elimu.

Biashara:Hii kitu inahitaji umakini wa hali ya juu,mkuu wewe ulikosa bussiness skills ndio maana unaona unayumba yumba.Biashara ndio msingi mkubwa wa mafanikio ya watu katika maisha unless labda unaataka kuendelea kutumikishwa katika mabiashara ya watu e.g huko shule unakoenda.
GO AND DIG DEEPER BUSSINESS SKILLS.

Elimu:Hapa mkuu ulishindwa kuitumia elimu yako ipasavyo,lakini pia elimu hiyo hiyo imekufanya ushindwe kujiamini katika uratibu wa maisha yako e.g umeamua kuanzisha biashara lakini umeficha vyeti ndani ya begi,hii inaonyesha kuwa ulishindwa kujiamini katika biashara yako ukitegemea elimu,lakini pia kama ulisoma vizuri hicho kitabu cha poor dad and rich dad kuna sehem rich dad anasema "the study of money is not at school",sasa wewe uliona hiyo elimu yako ya shule ndio msingi dhabiti wa kile unachotaka kufanya kuhusu pesa.
TOAFUTISHA KATI YA ELIMU NA ELIMU YA DARASANI

Thanks;
 
Back
Top Bottom