Hizi Bidhaa zina soko hapa Tanzania?

BM X6

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2020
Posts
1,376
Reaction score
4,222
Wadau hope wote ni wazima humu.

Kuna bidhaa nataka kuleta Bongo kutoka china (mfano wa bidhaa hapo chini pichani) Sasa nina wasiwasi na soko, nisije nikashusha mzigo na ukanidodea

Kuna baadhi ya Products hapo pichani kuzipata ni utazunguka sana hili jiji na pengine usizipate kabsa, Sasa hicho ndicho kinachonipa wasiwasi, labda huwenda Kuna watu walijaribu kuingiza mzigo halafu soko likakataa

Ebu nishaurini kama soko lipo, coz kwangu kusafirisha huu mzigo ni Dakika 0 tu
 
picha ya kwanza ni nini hizo? zitolee ufafanuzu
Hizo ni Car Door Projector lights, zipo za Brand tofauti tofauti na pia zipo za chata zingine
 
Na hiyo picha ya mwisho naona simu ni nini?
 
Enterpreneurship is all about taking risk mkuu wangu....
 
Lete bidhaa hizo mkuu, usiogope kufanya hiyo biashara japokua mwanzo ni mgumu ila ukiwa serious utafanikiwa mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…