Hizi Cruisers Mpya J300 na Prado J50 hakuna Manual Transmission. Sahivi na sisi Madereva wa Serikali tunaenjoy utamu wa Auto!

Hizi Cruisers Mpya J300 na Prado J50 hakuna Manual Transmission. Sahivi na sisi Madereva wa Serikali tunaenjoy utamu wa Auto!

Cruiser moja j300 inajenga zahanati wilayani na kuawekea dawa za miaka 10. Kuna haja gani kutumia pesa za nchi yenye raia masikini kama Tanzania? Wa kitumia gari za bei nafuu wanapungukiwa nini?
Kumbuka hakuna uchaguzi wa bei rahisi..
Ndio maana viongozi wetu wanalindwa Kwa gharama kubwa..

Kuhusu kujengwa Kwa vituo vya afya kila KATA ndio dhamira na Lengo kuu la serikali yetu Pendwa ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Muhimu mwezi wa kumi tumpe mama mitano tena.
 
Manual transmission mbona zilishapitwa na wakati muda sana? Marekani kupata manual ni km kutafuta bikra bongo vyuoni yani!
 
Hii gari kwa sasa imekuwa kubwa jinga!

Yani inauzwa bei kubwa lakini ufanyaji kazi hauyofautiani na mtu mwenye hilux.

. Yani bora ununue hilux ya milioni 150 kuliko hilo kubwa jinga la milioni 400
Mkuu tafadhali usiivunjie heshima yake hii mashine 😂😂
 
M
Hatimae tumefikiwa.

J250 Prado na J300 Cruisers zimekuja kazini na hakuna Auto, kuuliza wanasema hakuna model yenye manual transmission.
View attachment 3226210
J300 zimekuja za diesel zenye gear 10 zile za cc 3300 twin turbo V6.
View attachment 3226211
Prado zimekuja za 2.8L gear 8 diesel.

Sasa mkono na mguu wa kushoto wacha vipumzike.
Mimi nachukia magari maakubwa kama haya siju kwanini gari kuona MBELE nitabu tupu
 
Back
Top Bottom