TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
- #21
Kweli ni KondooSijalala ππππ
Na hao ndio kondoo wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ni KondooSijalala ππππ
Na hao ndio kondoo wenyewe
Au sioooNi suala la ubunifu tu, na shauku ya kutaka kufanya kitu tofauti
Upo mama?πππ
Huwezi kusema kunununua vitabu ni ujinga,vitabu vinasomwa kwa sababu maalumu,Kila mtu na ujinga wake hapo wpo wenye phd,degree na diploma zao wanapiga makofi kwa bashasha zote.
Kuna kundi jingine la wajinga hawa wanunua vitabu vya akina yeriko nyerere na Eric kaflag hawa wote na watu wa dini wajinga wa mwisho ni mitaji mikubwa sana ya wakina kabendera na wakina mwamposa.
We jamaa unaweza kumbeba mchungaji hivoπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Ni suala la ubunifu tu, na shauku ya kutaka kufanya kitu tofauti
Vitabu vya yeriko huwa unaambulia nini? kwa namna yoyote utalavyo tetea na kumwaga faida kedekede kwenye vitabu hivyo hata wafuasi wa dini zao na manabii wao watakupa faida kibao za mafuta na maji ya upako na kama haitoshi watakupa na ushuhuda kabisa kuwa alikuwa kiwete na sasa anatembea!!Huwezi kusema kunununua vitabu ni ujinga,vitabu vinasomwa kwa sababu maalumu,
Nipo Genious, how are you?Upo mama?
Mtu una akili zako timamu unaenda kununua kitabu cha Yeriko mtu ambaye ukimuangalia tu usoni unaona sio mzima.Huwezi kusema kunununua vitabu ni ujinga,vitabu vinasomwa kwa sababu maalumu,
I have been good!,about you?Nipo Genious, how are you?
Unaweza kjsoma kitabu kujua madhaifu ya mtunzi ,kiwango chake cha kufikiriaVitabu vya yeriko huwa unaambulia nini? kwa namna yoyote utalavyo tetea na kumwaga faida kedekede kwenye vitabu hivyo hata wafuasi wa dini zao na manabii wao watakupa faida kibao za mafuta na maji ya upako na kama haitoshi watakupa na ushuhuda kabisa kuwa alikuwa kiwete na sasa anatembea!!
Nahitimisha kw kusema kila mtu anaujinga wake konki ndo kama hivyo tupo wa shabiki wa mipira wengine kwa waganga wa kienyeji na wanapigwa kwelikweli wala hawawazi kitu.
I'm fine too! Habari ya mwaka mpya?I have been good!,about you?
Ngozzi nyeusi hii ina mamboKwahiyo huyu naye anaitwa BABA MCHUNGAJI,?watu wanakuwa mazwazwa sana,yaani upo busy na michezo ya kitoto eti Mungu sasa huyu siakafanye mazingala ombwe zunguni primary school
Unaweza jipaka mafuta ya mwamposa ukaona utapeli wake vilevileUnaweza kjsoma kitabu kujua madhaifu ya mtunzi ,kiwango chake cha kufikiria
Hiyo ni Imani yakoUnaweza jipaka mafuta ya mwamposa ukaona utapeli wake vilevile
Kuna mstari tofautishi mwembamba sana wa uhusiano kati ya afya ya akili na Imani za kidiniNgozzi nyeusi hii ina mambo
Mungu ana maguvu sana,miruzi mingi ila kunwa na mmbwa sipoteiI'm fine too! Habari ya mwaka mpya?
Yule Mwamposa ni Mganga wa Kidigital sio wa Kienyeji. Nakumbuka mwaka 2017 wakati bado yupo pale Sinza Vatican nilienda kwa ajili ya maombezi. Heeeh ananiombea huku anasema Baba Naomba nyota za huyu Kijana zipande na zing'ae π₯΄π₯΄π₯΄Unaweza jipaka mafuta ya mwamposa ukaona utapeli wake vilevile
Hee haya mkuuππ wimbo wa mwana FA huo naujuaaMungu ana maguvu sana,miruzi mingi ila kunwa na mmbwa sipotei
Hata Stamina kuna verse yake kwenye wimbo wa Moro Moro anasema Muziki una miluzi mingi lakini mbwa bado sijapotea πππHee haya mkuuππ wimbo wa mwana FA huo naujuaa