Hizi Dini bwana

Hizi Dini bwana

Kila mtu na ujinga wake hapo wpo wenye phd,degree na diploma zao wanapiga makofi kwa bashasha zote.
Kuna kundi jingine la wajinga hawa wanunua vitabu vya akina yeriko nyerere na Eric kaflag hawa wote na watu wa dini wajinga wa mwisho ni mitaji mikubwa sana ya wakina kabendera na wakina mwamposa.
Huwezi kusema kunununua vitabu ni ujinga,vitabu vinasomwa kwa sababu maalumu,
 
Huwezi kusema kunununua vitabu ni ujinga,vitabu vinasomwa kwa sababu maalumu,
Vitabu vya yeriko huwa unaambulia nini? kwa namna yoyote utalavyo tetea na kumwaga faida kedekede kwenye vitabu hivyo hata wafuasi wa dini zao na manabii wao watakupa faida kibao za mafuta na maji ya upako na kama haitoshi watakupa na ushuhuda kabisa kuwa alikuwa kiwete na sasa anatembea!!

Nahitimisha kw kusema kila mtu anaujinga wake konki ndo kama hivyo tupo wa shabiki wa mipira wengine kwa waganga wa kienyeji na wanapigwa kwelikweli wala hawawazi kitu.
 
Vitabu vya yeriko huwa unaambulia nini? kwa namna yoyote utalavyo tetea na kumwaga faida kedekede kwenye vitabu hivyo hata wafuasi wa dini zao na manabii wao watakupa faida kibao za mafuta na maji ya upako na kama haitoshi watakupa na ushuhuda kabisa kuwa alikuwa kiwete na sasa anatembea!!

Nahitimisha kw kusema kila mtu anaujinga wake konki ndo kama hivyo tupo wa shabiki wa mipira wengine kwa waganga wa kienyeji na wanapigwa kwelikweli wala hawawazi kitu.
Unaweza kjsoma kitabu kujua madhaifu ya mtunzi ,kiwango chake cha kufikiria
 
Unaweza jipaka mafuta ya mwamposa ukaona utapeli wake vilevile
Yule Mwamposa ni Mganga wa Kidigital sio wa Kienyeji. Nakumbuka mwaka 2017 wakati bado yupo pale Sinza Vatican nilienda kwa ajili ya maombezi. Heeeh ananiombea huku anasema Baba Naomba nyota za huyu Kijana zipande na zing'ae πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄

Basi nikatoka pale na matumaini kibao maana kuna mchongo nilikuwa nausikilizia pale WHO. Kama baada ya wiki mbili nimeshuka kituoni karibu na soko nashangaa naitwa na Uncle wangu ambaye ni Mganga wa Kienyeji. Nikamsalimia pale na akaniuliza Vipi mambo yanaendaje nikamwambia kuna ishu nilikuwa naisikikizia WHO lakini naona kama nimeikosa. Akaniambia usingeweza kufanikiwa maana wale uliokuwa nao kwenye mchakato walikuzidi nyota wewe ulikuwa chini sana japo una wasifu mzuri kuliko wao.

Kuanzia siku ile nilipo linganisha maombi ya Mwamposa na uncle wangu Mganga wa kienyeji Mwamposa nilimtoa maana na sitaki kabisa hata kumuongelea kwa njia positive. πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄
 
Back
Top Bottom