Hizi dini zimegeuka biashara ..Nilisikia redion andika nakataa...Tuma msg nkatuma kilichofwata yajayo yanafurahisha sanaa

Sasa wewe unaamini ndugu yako msongo wake wa mawazo utaisha kwa kuombewa?
 
Sema imeandikwa "Usimnenee vibaya mkuu wa watu wako " , hapa nilitaka niandike.maneno fulani hivi sema nimekumbuka andiko.

Umaskini, Mungu atusaidie sana.
Hatari sana mtumishi ananisaka kila kona .Na ni daily sms ananitumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…