Hizi drama kwenye treni ya SGR nadhani zina lengo ovu

Hizi drama kwenye treni ya SGR nadhani zina lengo ovu

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,

Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!

Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?

Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?

Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.
 
serikali ina watu wajinga..badala wabaki na jukumu la ulinzi wa miundombinu wao wanadhani ni sifa serikali kuisimamia TRC kwenye uendeshaji wa kila siku..tulishawaambia achia makampuni binafsi kwenye baadhi ya majukumu km ukatishaji tiketi na usimamizi wa abiria wakati wa kuingia na wakiwa safarini nk..wameshindwa DART ndio wataweza SGR..kulalamika hujuma ni ujinga, watafute wanaohujumu usilete excuse za reje reja..!
 
Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,

Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!

Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?

Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?

Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.

Mkurugenzi TRC: Tutaruhusu Wawekezaji binafsi kwenye Mradi wa SGR kuingiza Vichwa cya Treni na mabehewa yao.​

Hawa ndio wanatengenezewa njia, wote wamo ndani ya kundi.
 
Mafanikio ya SGR sio swala la Kadogosa.

Kadogosa ni msimamizi tu wa shirika.

Ufanisi wa SGR ni swala la national interest.

Kufeli kwa SGR ni ishara ya kuwa, tuna serikali mbovu.

Hilo sio swala la Kadogosa tu, yeye ajaweka hela zake; serikali ndio uliyoweka hela na inatakiwa kuwa na kila sababu ya kuona mafanikio yake SGR kwa malengo ya mradi wa muda mrefu.

Hakuna mtu wa kupokea lawama kwa ku-fail mradi wa SGR zaidi ya serikali, huo sio mradi wa Kadogosa, bali serikali,
 
Mafanikio ya SGR sio swala la Kadogosa.

Kadogosa ni msimamizi tu wa shirika.

Ufanisi wa SGR ni swala la national interest.

Kufeli kwa SGR ni ishara ya kuwa, tuna serikali mbovu.

Hilo sio swala la Kadogosa tu, yeye ajaweka hela zake; serikali ndio uliyoweka hela na inatakiwa kuwa na kila sababu ya kuona mafanikio yake SGR kwa malengo ya mradi wa muda mrefu.

Hakuna mtu wa kupokea lawama kwa ku-fail mradi wa SGR zaidi ya serikali, huo sio mradi wa Kadogosa, bali serikali,
Kumbe! Kazi ya dereva si kuona kuwa gari inamafuta aina zote yanayotakiwa, maji ya kupoza injini, taa zote ni nzima na zinawaka, milango na bodi viko vizuri, honi inafanyakazi, wepa zinafanyakazi na breki zinafanyakazi vizuri, yeye kazi yake ni kuendesha tu.
 
Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,

Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!

Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?

Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?

Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.
waweke vibox vya maoni ya siri, watu wataje nani anafanya hujuma. wachunguzwe, na wakijulikana, huo ni uhujumu uchumi kama uhujumu uchumi mwingine tu. wanamchezea kizmkazi kwa sababu ni mwanamke. hivi angekuwa ni Magufuli, kungekuwa na ujinga kama huo? just imagine, wanamchezea uyo maza wapendavyo. nachelea basi kusema 2025 tunahitaji Rais mwanaume, kwetu sisi wa kijijini, mwanamke hata akienda kufukuza nyani wanaokula mahindi, nyani huwa hakimbii, ila mwanaume hata mdogo tu nyani anakimbia.
 
Kumbe! Kazi ya dereva si kuona kuwa gari inamafuta aina zote yanayotakiwa, maji ya kupoza injini, taa zote ni nzima na zinawaka, milango na bodi viko vizuri, honi inafanyakazi, wepa zinafanyakazi na breki zinafanyakazi vizuri, yeye kazi yake ni kuendesha tu.
☝️Maandiko hayo hayana uhusiano na lalamiko la post yako ya msingi,

Issue sio poor operational planning, bali ni operational sabotage.

Good morning 👋
 
serikali ina watu wajinga..badala wabaki na jukumu la ulinzi wa miundombinu wao wanadhani ni sifa serikali kuisimamia TRC kwenye uendeshaji wa kila siku..tulishawaambia achia makampuni binafsi kwenye baadhi ya majukumu km ukatishaji tiketi na usimamizi wa abiria wakati wa kuingia na wakiwa safarini nk..wameshindwa DART ndio wataweza SGR..kulalamika hujuma ni ujinga, watafute wanaohujumu usilete excuse za reje reja..!
machawa hayatakuelewa hapa . japo ulichokiwasilisha kimejaa ujumbe. watakwambia wewe ni CHADEMA
 
TRC ni mali ya umma na kwa ukweli huo inapaswa kumilikiwa na wananchi angalau kwa asilimia 60 wakati serikali ikimiliki asilimia 40 hata pungufu ya hapo. Ikifanyika hivyo hakuna mwananchi atakuwa tayari kuhujumu kilicho chake.

Umiliki wa mali ya umma kupitia Serikali uliishafeli tangu siku lilipoasisiwa Azimio la Arusha, ambalo lilihalalisha uporaji wa mali za watu binafsi hasa wahindi kwa gia ya kutaifisha mali Ili kujenga taifa.

Zoezi la utaifishaji kwa maana ya uporaji wa Dola, matokeo yake kama kila mdadisi anavyojua, mali zilizotaifishwa na kufanywa za umma ziliishia kwenye mikono ya mafisadi na hadi leo unachokiona huko TRC, TTCL ATCL Posta TANAPA na kwingineko ni ukosefu wa maarifa unaofanywa na hao tunaowakabidhi makampuni na mashirika yetu ya umma wayaendeshe... Au ni matendo ya kifisadi yanayowanyfaisha watawala kwa kutumia ubovu wa sera na sheria wanazoziweka wenyewe huku wakijua kuwa haziwezi kuzaa matunda.
Nini kifanyike?.....
TRC inapaswa kuthaminishwa na kupata thamani halisi ya kampuni kwa mali ilizonazo sasa.
Sehemu ya thamani ya Kampuni ya TRC inatakiwa kuwekwa kwenye mfumo wa hisa na hizo hisa ziorodheshwe kwenye soko letu la DSEX au twende zaidi ya hapo, ziorodheshwe NSEX, USEX RSEX au hata masoko ya nje.
Wananchi wahamasishwe kuzinunua hizo hisa za TRC kwenye Soko letni... DSEX Kwa vyovyote vile TRC itapata mtaji mpya tena kwa bei rahisi kutoka kwa wananchi, Ila wategemee udhibiti wa hali ya juu, maana sitaruhusu ujinga, eti ninunue hisa Harafu wakurugenzi wavurunde? Hapana!.

Fikiria tangu zimeanzishwa safari za Morogoro na Dodoma ni tickets ngapi zimenunuliwa na wananchi? Ni pesa kiasi gani TRC imeingiza hadi leo ?
Je kama tangu mwanzo ingetangazwa kuwa tununue hisa za TRC kwanza badala ya kusafiri kwenda Morogoro na Dodoma, ni mtaji kiasi gani ungeongeza ukwasi kwenye kampuni ya TRC?..... Ikifanyika hivi kwa mashirika mengine si tutakuwa mbali sana?
 
TRC ni mali ya umma na kwa ukweki huo inapaswa kumilikiwa na wananchi angalau kwa asilimia 60 wakati serikali ikimiliki asilimia 40 hata pungufu ya hapo. Ikifanyika hivyo hakuna mwananchi atakuwa tayari kuhujumu kilicho chake.

Umiliki wa mali ya umma kupitia Serikali uliishafeli tangu siku lilipoasisiwa Azimio la Arusha, ambalo lilihalalisha uporaji wa mali za watu binafsi hasa wahindi kwa gia ya kutaifisha mali Ili kujenga taifa.

Zoezi la utaifishaji kwa maana ya uporaji wa Dola, matokeo yake Kama kila mdadisi anavyojua, mali zilizotaifishwa na kufanywa za umma ziliishia kwenye mikono ya mafisadi na hadi leo unachokiona huko TRC, TTCL ATCL Posta TANAPA na kwingineko ni ukosefu wa maarifa unaofanywa na hao tunaowakabidhi makampuni na mashirika yetu ya umma wayaendeshe... Au ni matendo ya kifisadi yanayowanyfaisha watawala kwa kutumia ubovu wa sera na sheria wanazoziweka wenyewe huku wakijua kuwa haziwezi kuzaa matunda.
Nini kifanyike?.....
TRC inapaswa kuthaminishwa na kupata thamani halisi ya kampuni kwa mali ilizonazo sasa.
Sehemu ya thamani ya Kampuni ya TRC inatakiwa kuwekwa kwenye mfumo wa hisa na hizo hisa ziorodheshwe kwenye soko letu la DSEX au twende zaidi ya hapo, ziorodheshwe NSEX, USEX RSEX au hata masoko ya nje.
Wananchi wahamasishwe kuzinunua hizo hisa za TRC kwenye Soko letni... DSEX Kwa vyovyote vile TRC itapata mtaji mpya tena kwa bei rahisi kutoka kwa wananchi, Ila wategemee udhibiti wa hali ya juu, maana sitaruhusu ujinga, eti ninunue hisa Harafu wakurugenzi wavurunde? Hapana!.

Fikiria tangu zimeanzishwa safari za Morogoro na Dodoma ni tickets ngapi zimenunuliwa na wananchi? Ni pesa kiasi gani TRC imeingiza hadi leo ?
Je kama tangu mwanzo ingetangazwa kuwa tununue hisa za TRC kwanza badala ya kusafiri kwenda Morogoro na Dodoma, ni mtaji kiasi gani ungeongeza ukwasi kwenye kampuni ya TRC?..... Ikifanyika hivi kwa mashirika mengine si tutakuwa mbali sana?
Haijawahi kuelezwa kwa nini mashirika ya hifadhi za jamii kwa sasa NSSF na PSSSF hawawezi kutumia michango ya wanachama kununua hisa kwenye sekta muhimu za uchumi km madini na usafirishaji ili sehemu ya mtaji wa makampuni km Barrick(TWIGA), GGM na sasa TRC itokane na watanzania...na hivyo kushiriki kumiliki, kuendesha na kusimamia rasilimali za nchi..wanachama wanaweza ulizwa wanaopenda michango yao itumike kununua hisa za TWIGA. au TEMBO nk.. km ishu ni kupata ridhaa, sababu kuendelea kuweka fedha za wananchama kwenye majengo kwa kuiga mifuko ya nchi nyingine inavyofanya ni udumavu wa mawazo..
 
Haijawahi kuelezwa kwa nini mashirika ya hifadhi za jamii kwa sasa NSSF na PSSSF hawawezi kutumia michango ya wanachama kununua hisa kwenye sekta muhimu za uchumi km madini na usafirishaji ili sehemu ya mtaji wa makampuni km Barrick(TWIGA), GGM na sasa TRC itokane na watanzania...na hivyo kushiriki kumiliki, kuendesha na kusimamia rasilimali za nchi..wanachama wanaweza ulizwa wanaopenda michango yao itumike kununua hisa za TWIGA. au TEMBO nk.. km ishu ni kupata ridhaa, sababu kuendelea kuweka fedha za wananchama kwenye majengo kwa kuiga mifuko ya nchi nyingine inavyofanya ni udumavu wa mawazo..
Swali kama hilo niliwahi kuwauliza Utt_Amis, ule mfuko wa uwekezaji wa taifa.
Kwa mtaji ilionao umoja fund kama mfuko wa uwekezaji, ni kwa nini wasishiriki kwenye uwekezaji unaotakiwa bandarini badala ya kukimbilia waarabu wa DPW.... Sikupata majibu yanayoeleweka.
 
Swali kama hilo niliwahi kuwauliza Utt_Amis, ule mfuko wa uwekezaji wa taifa.
Kwa mtaji ilionao umoja fund kama mfuko wa uwekezaji, ni kwa nini wasishiriki kwenye uwekezaji unaotakiwa bandarini badala ya kukimbilia waarabu wa DPW.... Sikupata majibu yanayoeleweka.
Shida ipo kwenye usimamizi wa miradi. Ata wakiwekeza fedha haluna wa kuisimamia. Miradi itakufa kam DART
 
Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,

Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!

Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?

Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?

Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.
Huenda kuna nia ovu ya kutaka kumpatia mwekezaji wa kutoka Mashariki ya Kati ili aje kuendesha mradi huu.
Huenda!
 
Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,

Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!

Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?

Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?

Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.
Kama kuna hujuma, uweke wazi ushahidi usiopingika. Tujue kuna hujuma kweli.

Ili isije kuwa treni linabuma kwa uzembe, au kwa sababu ya rushwa watu wamenunua treni bovu, linabuma, halafu mnapigwa changa la macho kwamba kuna hujuma.

Yani isije kuwa hiyo kauli "kuna hujuma" ndiyo hujuma yenyewe dhidi ya wananchi walipa kodi.
 
Huenda kuna nia ovu ya kutaka kumpatia mwekezaji wa kutoka Mashariki ya Kati ili aje kuendesha mradi huu.
Huenda!
Tuepukane na maneno ya huenda na kujikita kwenye kutaka ushahidi na kuhakiki.

Kwanza kabisa, ushahidi kwamba kuna hujuma uko wapi? Hujuma gani? Nani anahujumu? Kwa sababu gani?
 
Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,

Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!

Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?

Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?

Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.
Baada ya hapo watatangaza kutaka kununua kila kitu kwa bei ya hasara, mimi nadhani vitu vya umma vibakie vya umma na vitu binafsi vibakie binafsi tusiingiliane halafu mwisho wa siku tunaviua vya umma ili wachache wadominate majority
 

Mkurugenzi TRC: Tutaruhusu Wawekezaji binafsi kwenye Mradi wa SGR kuingiza Vichwa cya Treni na mabehewa yao.​

Hawa ndio wanatengenezewa njia, wote wamo ndani ya kundi.
Wazo la kununua vichwa mtumba lilikuwa la kijinga sana, sijui tuliwaza nini. Mwendokasi inavotupeleka puta nahofia yasije kufikia kwenye mradi wa maana na mzuri kama huu
 
Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,

Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!

Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?

Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?

Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.
Hamna uwekezaji wa serikali ya chama cha mazezeta wenye matokeo mazuri
 
Back
Top Bottom