Hizi drama kwenye treni ya SGR nadhani zina lengo ovu

Hizi drama kwenye treni ya SGR nadhani zina lengo ovu

kwakweli wabongo wa ajabu sana ntu anapanda treni na sanduku sijui limebeba spear za howo? zito kweli hadi sehemu za kuwekea mabegi zinapinda, ipo haja ya kuwela limit ya kg za kubeba, lia ziletwe behewa zenye booty kama kilimanjaro express mabegi yawekwe huko

kuhusu kudhibiti mifuko ya rambo na watu kupanda na makande hongera sana, kwakweli hali ya usafi ni ya hali ga juu sana
Usiongee tu kwa sababu unao mdomo, kila abiria anaruhusiwa kibeba mzigo wenye kilo 15, treni hiyo haujawahi kupanda kwa sababu hauna kwa kwenda, hauna ndugu.
 
Usiongee tu kwa sababu unao mdomo, kila abiria anaruhusiwa kibeba mzigo wenye kilo 15, treni hiyo haujawahi kupanda kwa sababu hauna kwa kwenda, hauna ndugu.
hapana ndugu yangu yaani watu wanapanda na mabegi ya kilo 50, yaani unaona zile keria za mizigo kama zinataka kukatika
 
hapana ndugu yangu yaani watu wanapanda na mabegi ya kilo 50, yaani unaona zile keria za mizigo kama zinataka kukatika
Mliozoea kupanda ndege huwa hamchagui maneno, mizigo hupita kwenye skana na kama uzito umezidi hapo ndipo mwisho, sasa wewe unachokisema ulikiona wapi mzigo haupiti kwenye skana, ndiyo sababu nimesema haujawahi kuipanda hiyo treni.
 
Unahisi kwanini taasisi kama Berkshire Hathaway, investment groups au holding companies hazimiliki kampuni moja 100%. Unakuta wanagawa mitaji kwenye makampuni tofauti hata elfu moja, kwanini wasiweke kampuni kubwa moja au mbili?

Mashirika ya hifadhi ya jamii hayawezi fanya betting eti yawekeze kwenye bandari hela zote. Ikitokea tsunami investment yao yote ipotee kwa pamoja. Sheria moja kuu ya uwekezaji, kuna FAIDA na HASARA. Wewe unafanya assumption kwamba bandarini hakuwezekani kutokea hasara. Kosa hilo
Nimekuelewa hongera mchumi nguli
 
Ni Uzembe kutokulinda miundombinu ya SGR.polisi wako bize kulinda Chadema masaa 24 wasiandamane ila mambo ya msingi haya hatuwezi.
 
Nimekuelewa hongera mchumi nguli
Kinachokusudiwa kufanywa ni watu binafsi au matajiri wa CCM kuwekeza kwa kuingiza injini na mabehewa yao ambayo wameyanunua kwa pesa zetu, tusiruhusu hilo japo wao wananguvu za kufanya hayo wayatakayo.
 
Kuhusu portfolio nakubali ila kwa umakini mkubwa mno. Kuna sababu kwanini mashirika mengi ya hifadhi ya jamii duniani huwa hayawekezi, mifumo mingi imejaribiwa na ikachukuliwa iliyo safe zaidi.

Shirika la hifadhi ya jamii hata lisipopata faida ni sawa, kazi yake kubwa lisipate hasara maana litaua vibaya sana uchumi wa nchi.
...una maana gani kusema mashirika mengi ya hifadhi ya jamii duniani huwa hayawekezi? ni kweli..? kwanai mazingira ya uchumi na uwekezaji yanafanana kwa kila nchi? na msingi wa shirika la hifadhi kuwekeza si kupata faida ni kujenga uwezo wa kulipa waliowapa kuweka hela zao na kuwatunza pindi wanapostaafu..kama wamepewa sh. 100 watampa nini mwenye sh. 100 anapostaafu km hawawekezi?
 
...una maana gani kusema mashirika mengi ya hifadhi ya jamii duniani huwa hayawekezi? ni kweli..? kwanai mazingira ya uchumi na uwekezaji yanafanana kwa kila nchi? na msingi wa shirika la hifadhi kuwekeza si kupata faida ni kujenga uwezo wa kulipa waliowapa kuweka hela zao na kuwatunza pindi wanapostaafu..kama wamepewa sh. 100 watampa nini mwenye sh. 100 anapostaafu km hawawekezi?
Rekebisha ulichokiandika
Yeye-mashirika mengi ya hifadhi ya jamii duniani huwa hayawekezi,
Wewe-una maana gani kusema mashirika mengi ya hifadhi ya jamii duniani huwa hayawekezi? Yeye hakuuliza.
 
Back
Top Bottom