Unahisi kwanini taasisi kama Berkshire Hathaway, investment groups au holding companies hazimiliki kampuni moja 100%. Unakuta wanagawa mitaji kwenye makampuni tofauti hata elfu moja, kwanini wasiweke kampuni kubwa moja au mbili?
Mashirika ya hifadhi ya jamii hayawezi fanya betting eti yawekeze kwenye bandari hela zote. Ikitokea tsunami investment yao yote ipotee kwa pamoja. Sheria moja kuu ya uwekezaji, kuna FAIDA na HASARA. Wewe unafanya assumption kwamba bandarini hakuwezekani kutokea hasara. Kosa hilo