Sidhani kama kuna hujuma kwenye hili, Rais mwenyewe aliwahi kuisema adhma ya Serikali kununua vyuma chakavu na mikweche kwa kuanzia.... Tena hata sheria ya kununua vyuma chakavu ilitungwa .... Kwa vyombo vya umma huku ma VX ya viongozi yakinunuliwa mapya.... 🤔Kama kuna hujuma, uweke wazi ushahidi usiopingika. Tujue kuna hujuma kweli.
Ili isije kuwa treni linabuma kwa uzembe, au kwa sababu ya rushwa watu wamenunua treni bovu, linabuma, halafu mnapigwa changa la macho kwamba kuna hujuma.
Yani isije kuwa hiyo kauli "kuna hujuma" ndiyo hujuma yenyewe dhidi ya wananchi walipa kodi.
Shida ya usimamizi unaotengenezwa na hao hao viongozi wakijua kuwa wananufaika na ufisadi huu.... Kumbuka tangu awamu ya nne iliwahi kutungwa sheria inayo yalazimisha mashirika yote ya umma kuorodheshwa kwenye soko la hisa ili yauze hisa kwa wananchi na kupata mitaji. Miaka yote hii wanalikwepa hili.Shida ipo kwenye usimamizi wa miradi. Ata wakiwekeza fedha haluna wa kuisimamia. Miradi itakufa kam DART
Hakuna taasisi Tanzania yenye uchumi wa kuwekeza bandarini. Na pia ni uwendawazimu kuwekeza kwenye kitu kimoja, hiyo mifuko inawekeza kwenye porfolio sio kudumbukiza mayai yote kwenye kapu moja.Swali kama hilo niliwahi kuwauliza Utt_Amis, ule mfuko wa uwekezaji wa taifa.
Kwa mtaji ilionao umoja fund kama mfuko wa uwekezaji, ni kwa nini wasishiriki kwenye uwekezaji unaotakiwa bandarini badala ya kukimbilia waarabu wa DPW.... Sikupata majibu yanayoeleweka.
Uko sahihi kabisa. Hapo wanapanga kuwapa watu binafsi lakini wakaona watengeneze mazingira kwanza. Siku si nyingi utasikia Maushungi anasema imetushinda hivyo anapewa mwekezaji kama ilivyokuwa kwa bandari. Hizi fedha zinatumika kununua viongozi wa dini na vyama vya upinzani na kila mtu mwenye ushawishi hazitolewi bure. Ni mahesabu ya watu.Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,
Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!
Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?
Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?
Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.
Bandari mbona kama inasimamiwa vizuri haihitaji fedha za nje? Bandari zote za Tanzania ni mali ila kina maushungi waliwapa waarabu kwa sababu ya akili ndogo na ulafi na uvivu.Hakuna taasisi Tanzania yenye uchumi wa kuwekeza bandarini. Na pia ni uwendawazimu kuwekeza kwenye kitu kimoja, hiyo mifuko inawekeza kwenye porfolio sio kudumbukiza mayai yote kwenye kapu moja.
Hizi drama zinaonesha zitaendelea sana pasipo kubwa na kiongozi atakayeweza kusema hapana, kuna mdau aliwahi kuchangia nimesahau kuna lake akasema wamiliki wengi wa mabasi ya kutumia barabara hivi ya Morogoro road ni watu wenye vyeo serikalini alafu unaleta treni utategemea ifanye kazi ? Nilimwelewa sana mdauserikali ina watu wajinga..badala wabaki na jukumu la ulinzi wa miundombinu wao wanadhani ni sifa serikali kuisimamia TRC kwenye uendeshaji wa kila siku..tulishawaambia achia makampuni binafsi kwenye baadhi ya majukumu km ukatishaji tiketi na usimamizi wa abiria wakati wa kuingia na wakiwa safarini nk..wameshindwa DART ndio wataweza SGR..kulalamika hujuma ni ujinga, watafute wanaohujumu usilete excuse za reje reja..!
Ndiyo maana nataka uhakiki thabiti kwenye hizi habari za hujuma.Sidhani kama kuna hujuma kwenye hili, Rais mwenyewe aliwahi kuisema adhma ya Serikali kununua vyuma chakavu na mikweche kwa kuanzia.... Tena hata sheria ya kununua vyuma chakavu ilitungwa .... Kwa vyombo vya umma huku ma VX ya viongozi yakinunuliwa mapya.... 🤔
Really? Umoja fund waliwahi kuwekeza kwenye bank ya NMB na mafanikio yalionekana, iweje washindwe kupata pesa za kuwekeza bandarini? Vipi mifuko ya NSSF, nayo haina uchumi wa kuwekeza bandarini? 🤔Hakuna taasisi Tanzania yenye uchumi wa kuwekeza bandarini. Na pia ni uwendawazimu kuwekeza kwenye kitu kimoja, hiyo mifuko inawekeza kwenye porfolio sio kudumbukiza mayai yote kwenye kapu moja.
Unahisi kwanini taasisi kama Berkshire Hathaway, investment groups au holding companies hazimiliki kampuni moja 100%. Unakuta wanagawa mitaji kwenye makampuni tofauti hata elfu moja, kwanini wasiweke kampuni kubwa moja au mbili?Really? Umoja fund waliwahi kuwekeza kwenye bank ya NMB na mafanikio yalionekana, iweje washindwe kupata pesa za kuwekeza bandarini? Vipi mifuko ya NSSF, nayo haina uchumi wa kuwekeza bandarini? 🤔
Umesahau tuliweka watu binafsi wakachukua mabehewa na kufumua reli na ili kuenda kuuza hukokwao chuma chakavu? Reli ya kuelekea tanga na arusha huyo alipanga kuifumua. Usisahau na ATC ilivyotelekezwa na pia TANESCO. SIO VITU VYOTE VINABINAFSISHWA. HATA ULAYA MFANO BRITSH RAILWAY, AIRWAYS, SWISS AIR, KLM bado ni mali ya serikali . Fikiria zaidi. Hakuna wa kutujengea nchi zaidi sisi wenyewe.serikali ina watu wajinga..badala wabaki na jukumu la ulinzi wa miundombinu wao wanadhani ni sifa serikali kuisimamia TRC kwenye uendeshaji wa kila siku..tulishawaambia achia makampuni binafsi kwenye baadhi ya majukumu km ukatishaji tiketi na usimamizi wa abiria wakati wa kuingia na wakiwa safarini nk..wameshindwa DART ndio wataweza SGR..kulalamika hujuma ni ujinga, watafute wanaohujumu usilete excuse za reje reja..!
Ninafahamu hayo uliyosema, hata hivyo sijasema kubinafsisha yaani kugawanya umiliki au kubadilisha umiliki, ninachoshauri ni kuachia sekta binafsi kazi za kuiendesha TRC, ku-sub contract baadhi ya kazi km ulinzi, kukata tiketi, vinywaji ndani ya treni..nk ili serikali ibaki na jukumu la kusimamia na kulinda miundombinu iliyoijenga..Umesahau tuliweka watu binafsi wakachukua mabehewa na kufumua reli na ili kuenda kuuza hukokwao chuma chakavu? Reli ya kuelekea tanga na arusha huyo alipanga kuifumua. Usisahau na ATC ilivyotelekezwa na pia TANESCO. SIO VITU VYOTE VINABINAFSISHWA. HATA ULAYA MFANO BRITSH RAILWAY, AIRWAYS, SWISS AIR, KLM bado ni mali ya serikali . Fikiria zaidi. Hakuna wa kutujengea nchi zaidi sisi wenyewe.
Ushindani huleta ubora wa huduma..mabasi yatakuwepo tu km huduma zao zitavutia abiria na treni itakuwepo pia..! vyote vinategemeana! in everything there must be an alternative!Hizi drama zinaonesha zitaendelea sana pasipo kubwa na kiongozi atakayeweza kusema hapana, kuna mdau aliwahi kuchangia nimesahau kuna lake akasema wamiliki wengi wa mabasi ya kutumia barabara hivi ya Morogoro road ni watu wenye vyeo serikalini alafu unaleta treni utategemea ifanye kazi ? Nilimwelewa sana mdau
Ni Abdul mtoto wa kiume wa chura kiziwi wa kizimkazi anataka kuwekeza na Rostam Aziz. Ikumbukwe hawa wamekuwa marafki wakubwa na Abdul anaishi jumba la kifahari Dubai alilopewa bure na kampuni ya DP WORLD iliyopewa bure bandari yetuKwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi,
Wazo ambalo lilikuja mapema sana hata kabla treni hazijaanza kufanya kazi!
Nikiangalia tuhuma hizi za sasa naona kama zinatengenezwa ili ziwe kichocheo cha ajenda ya kuwa ili kuboresha ufanisi serikali iruhusu watu binafsi waingize injini na mabehewa yao kwenye SGR, tujiulize watu hao wanaopigiwa debe kabla ya wao kuomba ni akina nani?
Mimi ninadhani ni kati ya waliokuwa wanakwenda huko zilikotoka injini na mabehewa ya SGR, na je, wataleta mapya yapambane na haya yanayodaiwa kuwa ni mitumba?
Hebu tungoje kwani muda utajibu kitendawili hiki.
The end of the beginning.
una maana gani kusema hakuna wa kusimamia? hawapo wenye sifa kusimamia au uwezo? lkn kuwa na hisa si lazima uwe msimamizi wa mradi, mashirika yanaendeshwa kwa utaratibu ambao wanahisa wanataka, wakipendekeza MD apatikane kwa usaili na kwa ushindani..basi inakuwa hivyo..Shida ipo kwenye usimamizi wa miradi. Ata wakiwekeza fedha haluna wa kuisimamia. Miradi itakufa kam DART
Huko wanakotumbukiza kwenye portfolio wanapata nini?? mbona hata kulipa mafao wenye hela zao walioweka wanashindwa? mfano, hizo nyumba za kigamboni zinawapa nini NSSF kwa sasa..Hakuna taasisi Tanzania yenye uchumi wa kuwekeza bandarini. Na pia ni uwendawazimu kuwekeza kwenye kitu kimoja, hiyo mifuko inawekeza kwenye porfolio sio kudumbukiza mayai yote kwenye kapu moja.