Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
-
- #61
Usiongee tu kwa sababu unao mdomo, kila abiria anaruhusiwa kibeba mzigo wenye kilo 15, treni hiyo haujawahi kupanda kwa sababu hauna kwa kwenda, hauna ndugu.kwakweli wabongo wa ajabu sana ntu anapanda treni na sanduku sijui limebeba spear za howo? zito kweli hadi sehemu za kuwekea mabegi zinapinda, ipo haja ya kuwela limit ya kg za kubeba, lia ziletwe behewa zenye booty kama kilimanjaro express mabegi yawekwe huko
kuhusu kudhibiti mifuko ya rambo na watu kupanda na makande hongera sana, kwakweli hali ya usafi ni ya hali ga juu sana
hapana ndugu yangu yaani watu wanapanda na mabegi ya kilo 50, yaani unaona zile keria za mizigo kama zinataka kukatikaUsiongee tu kwa sababu unao mdomo, kila abiria anaruhusiwa kibeba mzigo wenye kilo 15, treni hiyo haujawahi kupanda kwa sababu hauna kwa kwenda, hauna ndugu.
Mliozoea kupanda ndege huwa hamchagui maneno, mizigo hupita kwenye skana na kama uzito umezidi hapo ndipo mwisho, sasa wewe unachokisema ulikiona wapi mzigo haupiti kwenye skana, ndiyo sababu nimesema haujawahi kuipanda hiyo treni.hapana ndugu yangu yaani watu wanapanda na mabegi ya kilo 50, yaani unaona zile keria za mizigo kama zinataka kukatika
Waruhusu haraka sana. Hata mimi nitaweka.Mkurugenzi TRC: Tutaruhusu Wawekezaji binafsi kwenye Mradi wa SGR kuingiza Vichwa cya Treni na mabehewa yao.
Hawa ndio wanatengenezewa njia, wote wamo ndani ya kundi.
Hautaweza kuweka, wenzako ni wale waliokwenda kiwandani kwa nauli na per diem(sic) za serikali kutununulia hii mitumba ndio wanataka wawekeze kwa kutumia cha juu walichopiga.Waruhusu haraka sana. Hata mimi nitaweka.
Nimekuelewa hongera mchumi nguliUnahisi kwanini taasisi kama Berkshire Hathaway, investment groups au holding companies hazimiliki kampuni moja 100%. Unakuta wanagawa mitaji kwenye makampuni tofauti hata elfu moja, kwanini wasiweke kampuni kubwa moja au mbili?
Mashirika ya hifadhi ya jamii hayawezi fanya betting eti yawekeze kwenye bandari hela zote. Ikitokea tsunami investment yao yote ipotee kwa pamoja. Sheria moja kuu ya uwekezaji, kuna FAIDA na HASARA. Wewe unafanya assumption kwamba bandarini hakuwezekani kutokea hasara. Kosa hilo
Kinachokusudiwa kufanywa ni watu binafsi au matajiri wa CCM kuwekeza kwa kuingiza injini na mabehewa yao ambayo wameyanunua kwa pesa zetu, tusiruhusu hilo japo wao wananguvu za kufanya hayo wayatakayo.Nimekuelewa hongera mchumi nguli
...una maana gani kusema mashirika mengi ya hifadhi ya jamii duniani huwa hayawekezi? ni kweli..? kwanai mazingira ya uchumi na uwekezaji yanafanana kwa kila nchi? na msingi wa shirika la hifadhi kuwekeza si kupata faida ni kujenga uwezo wa kulipa waliowapa kuweka hela zao na kuwatunza pindi wanapostaafu..kama wamepewa sh. 100 watampa nini mwenye sh. 100 anapostaafu km hawawekezi?Kuhusu portfolio nakubali ila kwa umakini mkubwa mno. Kuna sababu kwanini mashirika mengi ya hifadhi ya jamii duniani huwa hayawekezi, mifumo mingi imejaribiwa na ikachukuliwa iliyo safe zaidi.
Shirika la hifadhi ya jamii hata lisipopata faida ni sawa, kazi yake kubwa lisipate hasara maana litaua vibaya sana uchumi wa nchi.
Rekebisha ulichokiandika...una maana gani kusema mashirika mengi ya hifadhi ya jamii duniani huwa hayawekezi? ni kweli..? kwanai mazingira ya uchumi na uwekezaji yanafanana kwa kila nchi? na msingi wa shirika la hifadhi kuwekeza si kupata faida ni kujenga uwezo wa kulipa waliowapa kuweka hela zao na kuwatunza pindi wanapostaafu..kama wamepewa sh. 100 watampa nini mwenye sh. 100 anapostaafu km hawawekezi?