Ilo haliitaji PhD kuling'amua maana alikuwa anaongea kwa kutania kama baba na wao wakajibu kwa kutania kumbuka hiyo ni familia yake
Na mababa wote hua tunapenda kuleta midhaha na matani kwa familia zetu
All in all inaonyesha ni jinsi gani Rais alivyokuwa karibu na familia yake kwa majibizano hayo ya kiutani tofauti na watu wengi walivyotuaminisha eti Rais ni mkali na hana maoengezi ya kiutani na familia yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona alivokuwa anafanya Obama milikuwa mnafurahi meno nje kama mnatafuna miwa...acheni unafikiMisifa
Mtasema sana miaka hii 10, lakini hivi sasa ni mwendo wa DART kwenda mbele dereva akiwa JPMJamaa ana usukuma mpk leo..huo m-cape wa nn humo ndani sasa jaman..ova anafanyia wazo hill cement😏...suruali ile sasa....wenzake wknd wanavaa shorts🤗
Jamaa ana usukuma mpk leo..huo m-cape wa nn humo ndani sasa jaman..ova anafanyia wazo hill cement[emoji57]...suruali ile sasa....wenzake wknd wanavaa shorts[emoji847]
Hakuwa na ujasiri wa kwenda uwanjani? Na hiyo TV kwa nini imewekwa upande. Yaani muda wote unakunja shingo? Ni ikulu hapo kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ht mm lile jibu nimelielewa vzr.Mitandao inatudanganya sana aisee.
Lile jibu mimi nimelielewa sana, tena wote wanacheka vizuri tu.
Rais hana unform za taifa star?
Hayo makochi vipi tena
Teh Magu yupo simple sana hasa kwenye uvaaji ila mzee baba raba sebuleni za nini sasa ?
Au Sebule ina Mbigiri ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani sipati picha akivaa short [emoji3][emoji3][emoji3], mwacheni mjomba wanguJamaa ana usukuma mpk leo..huo m-cape wa nn humo ndani sasa jaman..ova anafanyia wazo hill cement[emoji57]...suruali ile sasa....wenzake wknd wanavaa shorts[emoji847]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo raba kwa hisani ya Mabeberu
Mke wake huyo Mama Janeth, hata mm sometimes wife ananijibu anavyojua tukiwa home, akiona labda nataka kuwa mbabe anakuwa mtetezi wa wengine.Mie nimependa kuna Mtu kaambiwa Na Rais nyie mnaokula shangilieni akamwambia Na Wewe tutokeee hapo, duuh anamjibu jibu Rais wetu Bila ya adabu
TV kubwa ile tena icocurved ni nchi zaidi ya 50Wangetuonesha na ka TV huenda ni HITACHI 14"
Sent from my Redmi S2 using Tapatalk