Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeanzaa eee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Yule mtoto aiseee,jibu mubashara
Hahahaa ongezea na CapeHahahaha Mzee baba kazingua sana na mbwanga wake pamoja na raba mtoni yake
Sent using Jamii Forums mobile app
You can take a man out of sukumaland but you can not take usukuma out of him
Sent using Jamii Forums mobile app
nimecheka mm Kumbe na ww umeviona😂😂angalia vigoti sasa 😂😂😂Viatu 😷
Hii raba mheshimiwa atakuwa aliingia nayo magogoni moja kwa moja kutoka chato tena atakuwa aliifungasha kwenye Rambo nyeusi
Rambo nyeusi au shangazi kajaHii raba mheshimiwa atakuwa aliingia nayo magogoni moja kwa moja kutoka chato tena atakuwa aliifungasha kwenye Rambo nyeusi