Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
hajasema wamekubaliana, wamechat maneno mawili matatu akapewa namba kupiga ndo anakuta kumbe sis.. au kaedit?
Katika kutimiza haja zangu za kirijali leo nimejikuta namtupia mistari binti mmoja maarufu humu ukumbini kwa mfumo wa PM. Sikupata adha ya kuporomoshewa mitusi Kama wadau wengine wanavyolalamikaga kuwa ukimPM binti humu ndani anakumwagia mitusi. Hali ilikuwa shwari mpaka ulipowadia Muda wa kubadilishana contact. Nilipoiweka namba yake kwenye kisemeo changu, lahaula...kumbe ni ni ndugu kabisaaaa...Hali kadhalika na kwake. Tumeombana misamaha na ninaamini yatabaki pale pale. Tuwe makini wadau unaweza tongoza Mkeo. Naamini anaisoma hii sredi, sister..nimeiweka hapa ili iwe fundisho kwa wengine.
kweli eenh! naomba namba yako basi nami nimalize mchezoNamba ni hatua nzuri ya kumaliza mchezo
JF ni msitu!
Basi sawa..Mi nimeelewa hivyo. Last time niko town, "kutupa mistari" ilimaanisha kutongoza. Na ukitupa mistari na kupewa number, kinachobaki nini sasa?
Asante mkuuAcha ukiboro dinda mkuu kwa watu usiowajua, utaangukia domo la fisi utajuta..
Nimekoma....Jamani mtakuja kutongoza watoto wenu bure..
Hahahaha nimejijuta nakapenda haka kamsemo kako ka USA baby huwa kanani vunja mbavu japo wengine kanaonekana kuwakera...Shwari kabisa bwana loya.
Umeshindaje leo?
USA baby
Hahahaha nimejijuta nakapenda haka kamsemo kako ka USA baby huwa kanani vunja mbavu japo wengine kanaonekana kuwakera...
chapa ilaleMi nimeelewa hivyo. Last time niko town, "kutupa mistari" ilimaanisha kutongoza. Na ukitupa mistari na kupewa number, kinachobaki nini sasa?
Nisifie na Mimi, hakuna mwanamke anashinda gia zangu.so umemjua kua ndg yako kua kichechee?!!
hahhaaaaa!!!aaahhh! wapiii!!!Nisifie na Mimi, hakuna mwanamke anashinda gia zangu.