Hizi fake ID za JF kidogo ziniletee balaa

Hizi fake ID za JF kidogo ziniletee balaa

hajasema wamekubaliana, wamechat maneno mawili matatu akapewa namba kupiga ndo anakuta kumbe sis.. au kaedit?

Mi nimeelewa hivyo. Last time niko town, "kutupa mistari" ilimaanisha kutongoza. Na ukitupa mistari na kupewa number, kinachobaki nini sasa?
 
Katika kutimiza haja zangu za kirijali leo nimejikuta namtupia mistari binti mmoja maarufu humu ukumbini kwa mfumo wa PM. Sikupata adha ya kuporomoshewa mitusi Kama wadau wengine wanavyolalamikaga kuwa ukimPM binti humu ndani anakumwagia mitusi. Hali ilikuwa shwari mpaka ulipowadia Muda wa kubadilishana contact. Nilipoiweka namba yake kwenye kisemeo changu, lahaula...kumbe ni ni ndugu kabisaaaa...Hali kadhalika na kwake. Tumeombana misamaha na ninaamini yatabaki pale pale. Tuwe makini wadau unaweza tongoza Mkeo. Naamini anaisoma hii sredi, sister..nimeiweka hapa ili iwe fundisho kwa wengine.

Wakati Wewe " ukipovuka " kwa kutoa Wosia wako wenzako mpaka sasa " tunavua tu Samaki " kutoka katika Bwawa la JF na " tunawala " kwa raha zetu.
 
siku ukimtongoza mkeo bila kujuana af akakubalia yan apo ngoma itakuwa droo. ni jibu moja tu wote mtakuwa mejipanga kuchepuka hahahaaha
 
Acha ukiboro dinda mkuu kwa watu usiowajua, utaangukia domo la fisi utajuta..
 
Shwari kabisa bwana loya.

Umeshindaje leo?

USA baby
images
images
images
Hahahaha nimejijuta nakapenda haka kamsemo kako ka USA baby huwa kanani vunja mbavu japo wengine kanaonekana kuwakera...
 
Back
Top Bottom